Mamia wajitokeza kumzika Mez B
NA RAMADHAN HASSAN, DODOMA
MAMIA ya mashabiki na wasanii wa muziki wa kizazi kipya, jana walijitokeza kuupumzisha mwili wa msanii, Moses Bushangama ‘Mez B’, katika makaburi ya Wahanga wa Treni, Mailimbili mkoani hapa.
Akizungumza wakati wa kuuaga mwili huo, mama wa marehemu, Mchungaji Mary Katambi, aliwataka vijana kumrudia Mungu.
“Mwanangu aliuona uwepo wa Mungu, nilikuwa nikimsihi kuokoka na kumrudia Mungu na alikuwa akinijibu itafika wakati mimi wa yeye kufanya hivyo,” alisema...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Mamia wajitokeza kumzika Gurumo
10 years ago
Mtanzania17 Feb
Mamia wajitokeza kumzika Ebby Sykes
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
SAFARI ya mwisho ya aliyekuwa mkongwe wa muziki wa Ragger nchini ambaye pia ni baba mzazi wa msanii, Dully Sykes, Ebby Sykes (62), imehitimishwa jana kwenye makaburi ya Kisutu, Dar es Salaam.
Mkongwe huyo alifikwa na umauti juzi mchana katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa vidonda miguuni vilivyodaiwa kueneza sumu mwilini mwake kutokana na matumizi ya uvutaji wa sigara.
Wasanii mbalimbali wameonyesha kusikitishwa na kifo...
10 years ago
GPLMAMIA WAJITOKEZA KUMZIKA MWANAMUZIKI SHEM KARENGA
10 years ago
Bongo522 Oct
Video/Picha: Mamia wajitokeza kwa kumzika YP
10 years ago
GPLMAMIA WAJITOKEZA KUMZIKA KAKA WA MWANDISHI WA GPL
10 years ago
Vijimambo18 Jul
PICHA: MAMIA WAJITOKEZA KUMZIKA BANZA STONE
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fapi.ning.com%2Ffiles%2FYGRK3QDGhjBMrFXiO5KHBiI0F5h24K0PqYkuZU09ODUzw*c6tdXkmv7rsQPQucdQEzxP3it66pm*GiB4rjgnPMN7Sr-pg7V*%2FArWBAjf5czyy_LMzr73Z49qwLyFu_dhXM7q9rRtyU_B.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Mamia ya Waumini wa Kiislam wakiwa wamebeba Jeneza lenye mwili wa Marehemu Ramadhan Masanja 'Banza Stone' wakati wakiutoa mwili huo nyumbani kwao kuelekea Msikitini kwa kuswaliwa na kisha kwenda kuuhifandi kwenye Makaburi ya Sinza, Jijini Dar es salaam alasiri hii.
11 years ago
GPLMAMIA WAJITOKEZA KUMZIKA KATIBU WA CCM MKOA WA IRINGA SIKU YA JANA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e*Q7chwcF2Z16k1LQ41b41nAWFG8eL9uun*l*eYlwRNy3X87iJuZzpeSesMBktS7n3uXBbqxFCyQmUAniDk9dUOSZykAdBPA/Amanda.jpg)
AMANDA AZIDIWA, ASHINDWA KUMZIKA MEZ B
9 years ago
Mtanzania15 Sep
Mbowe aongoza mamia kumzika Mtoi
NA OSCAR ASSENGA, LUSHOTO
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendelo (Chadema), jana ameongoza mamia ya wananchi wa Jimbo la Lushoto mkoani Tanga, wakati wa mazishi ya aliyekuwa mgombea wa jimbo hilo, marehemu Mohomed Mtoi.
Katika mazishi hayo, Mbowe aliiomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ihairishe uchaguzi wa jimbo la Lushoto ili waweze kuanza mchakato wa kutafuta mgombea mwingine wa kuziba nafasi iliyoachwa na marehemu Mtoi ambaye alifariki kwa ajali ya gari juzi.
Alisema uchaguzi wa...