AMANDA AZIDIWA, ASHINDWA KUMZIKA MEZ B
![](http://api.ning.com:80/files/e*Q7chwcF2Z16k1LQ41b41nAWFG8eL9uun*l*eYlwRNy3X87iJuZzpeSesMBktS7n3uXBbqxFCyQmUAniDk9dUOSZykAdBPA/Amanda.jpg)
Hamida Hassan/Uwazi MREMBO kunako tasnia ya filamu Bongo, Tamrina Mohamed Poshi ‘Amanda’ ameshindwa kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Moses Bushagama aliyefariki mwishoni mwa wiki iliyopita mkoani Dodoma kutokana na kuugua ghafla. Mrembo kunako tasnia ya filamu Bongo, Tamrina Mohamed Poshi ‘Amanda’. Akizungumza na Uwazi kwa masikitiko, Amanda ambaye pia ni mtu wa karibu na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania24 Feb
Mamia wajitokeza kumzika Mez B
NA RAMADHAN HASSAN, DODOMA
MAMIA ya mashabiki na wasanii wa muziki wa kizazi kipya, jana walijitokeza kuupumzisha mwili wa msanii, Moses Bushangama ‘Mez B’, katika makaburi ya Wahanga wa Treni, Mailimbili mkoani hapa.
Akizungumza wakati wa kuuaga mwili huo, mama wa marehemu, Mchungaji Mary Katambi, aliwataka vijana kumrudia Mungu.
“Mwanangu aliuona uwepo wa Mungu, nilikuwa nikimsihi kuokoka na kumrudia Mungu na alikuwa akinijibu itafika wakati mimi wa yeye kufanya hivyo,” alisema...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vuUh0rgUyT6AkBpsbpye8yIkwaB*q1NNlgcwfU0oc8wt6s3IiQ8GZrt8FV2gNklnkgUdesW0ciV5duSMs*7hwY605AEylTED/mafufu.jpg)
MAFUFU AUGUA, ASHINDWA KUMZIKA KUAMBIANA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwkY2Ya*bV9hcwEjEqSDs-v9mKv3nGr-MtcV7ADbul4LJMITTuwmSxPvqC2Fch7k6teK*W1UHJ5AG8eqTDgRgOL2/wema1.jpg?width=650)
WEMA AMFUNGIA DIAMOND, ASHINDWA KUMZIKA MZEE GURUMO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6cxj6-63DRCPoRZiWz4MCx1lVEpkjl-ORZZt9e*Uo6PJBRrYaZkxqMkT5iaFGdRESy49nXc-hH-8-WR7nZ3NLa/Ray.jpg?width=650)
RAY ASHINDWA KUMZIKA BAM’DOGO WA JOHARI
10 years ago
Habarileo04 Mar
Mdee aenda kumzika Komba, ashindwa kutokea kortini
MWENYEKITI wa Baraza la Wanawake Chadema, Halima Mdee jana alishindwa kufika mahakamani katika kesi ya kutotii amri halali ya Polisi inayomkabili na wenzake wanane, ikielezwa kuwa alikwenda kwenye maziko ya aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi mkoani Ruvuma, Kapteni John Komba.
11 years ago
Bongo Movies24 Jul
RAY ashindwa kumzika “Baba’ke” na JOHARI. Chuchu Hans 'atajwa'.
MKURUGENZI wa RJ Company, Vincent Kigosi ‘Ray’ ameshindwa kumzika baba mdogo wa mkurugenzi mwenza wa kampuni hiyo, Blandina Chagula, Clement Kiyenze Chagula.
Mzee huyo alifariki katika Hospitali ya Muhimbili kutokana na matatizo ya presha na figo yaliyokuwa yakimsumbua na kuzikwa katika Makaburi ya Kinondoni jijini Dar ambapo wasanii mbalimbali wa filamu nchini walishiriki akiwemo Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete.
Alipoulizwa Ray kwa nini hakuhudhuria mazishi hayo, alisema:
“Ukweli...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm3ceU1XS69fJJ6lf8vt7MGl8tRCWa9GnT1So1zsHODjpraIvBO9t00Iuo7042ISPgs9BSBu4O1CGlG9HUuq2VIP/MAYA3.gif?width=650)
MAYA AZIDIWA, AIKOSA KANUMBA DAY
10 years ago
CloudsFM23 Feb
10 years ago
CloudsFM20 Feb
Mez B afariki Dunia