Mdee aenda kumzika Komba, ashindwa kutokea kortini
MWENYEKITI wa Baraza la Wanawake Chadema, Halima Mdee jana alishindwa kufika mahakamani katika kesi ya kutotii amri halali ya Polisi inayomkabili na wenzake wanane, ikielezwa kuwa alikwenda kwenye maziko ya aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi mkoani Ruvuma, Kapteni John Komba.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e*Q7chwcF2Z16k1LQ41b41nAWFG8eL9uun*l*eYlwRNy3X87iJuZzpeSesMBktS7n3uXBbqxFCyQmUAniDk9dUOSZykAdBPA/Amanda.jpg)
AMANDA AZIDIWA, ASHINDWA KUMZIKA MEZ B
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vuUh0rgUyT6AkBpsbpye8yIkwaB*q1NNlgcwfU0oc8wt6s3IiQ8GZrt8FV2gNklnkgUdesW0ciV5duSMs*7hwY605AEylTED/mafufu.jpg)
MAFUFU AUGUA, ASHINDWA KUMZIKA KUAMBIANA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwkY2Ya*bV9hcwEjEqSDs-v9mKv3nGr-MtcV7ADbul4LJMITTuwmSxPvqC2Fch7k6teK*W1UHJ5AG8eqTDgRgOL2/wema1.jpg?width=650)
WEMA AMFUNGIA DIAMOND, ASHINDWA KUMZIKA MZEE GURUMO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6cxj6-63DRCPoRZiWz4MCx1lVEpkjl-ORZZt9e*Uo6PJBRrYaZkxqMkT5iaFGdRESy49nXc-hH-8-WR7nZ3NLa/Ray.jpg?width=650)
RAY ASHINDWA KUMZIKA BAM’DOGO WA JOHARI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yLBGfqJNowiz7QogX7rqllQ0YULB3MtJiIN8Wxay3UtsUaIDT3Jen7qhXe85A36qobRTE2jTswAmVXi8b4xdIj232lXl29DA/diamondplatnumz2.jpg?width=650)
DIAMOND ASHINDWA KUTOKEA KWENYE SHOW LONDON
11 years ago
Bongo Movies24 Jul
RAY ashindwa kumzika “Baba’ke” na JOHARI. Chuchu Hans 'atajwa'.
MKURUGENZI wa RJ Company, Vincent Kigosi ‘Ray’ ameshindwa kumzika baba mdogo wa mkurugenzi mwenza wa kampuni hiyo, Blandina Chagula, Clement Kiyenze Chagula.
Mzee huyo alifariki katika Hospitali ya Muhimbili kutokana na matatizo ya presha na figo yaliyokuwa yakimsumbua na kuzikwa katika Makaburi ya Kinondoni jijini Dar ambapo wasanii mbalimbali wa filamu nchini walishiriki akiwemo Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete.
Alipoulizwa Ray kwa nini hakuhudhuria mazishi hayo, alisema:
“Ukweli...
10 years ago
Bongo520 Sep
Diamond ashindwa kutokea kwenye show London, mashabiki wamngonja hadi saa 10 alfajiri, amtupia lawama promota
10 years ago
CloudsFM04 Mar
Wanusurika kifo wakienda kumzika Kapteni John Komba.
Watu watatu wakiwemo wanawake wawili na mwanaume mmoja wamenusurika kifo baada ya gari yao yenye namba ya usajili STK 7472 Kupinduka eneo la Tutukila mkoani Ruvuma katika barabara kuu ya Njombe-Songea wakielekea kumzika Kapteni John Komba.
Kwa mujibu wa mashuhuda wameiambia Kijukuu Blog kuwa tukio hilo limetokea majira ya saa saba usiku juzi na kuongeza kuwa hakuna mtu yeyote aliyepoteza maisha katika ajali hiyo.
Source:Kijukuu Blog