DIAMOND ASHINDWA KUTOKEA KWENYE SHOW LONDON
![](http://api.ning.com:80/files/yLBGfqJNowiz7QogX7rqllQ0YULB3MtJiIN8Wxay3UtsUaIDT3Jen7qhXe85A36qobRTE2jTswAmVXi8b4xdIj232lXl29DA/diamondplatnumz2.jpg?width=650)
Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz. Kwa mara nyingine tena, mashabiki wa Diamond Platnumz wameshindwa kumuona akitumbuiza licha ya kumsubiria hadi saa 10 Alfajiri. Awamu hii imetokea jijini London, Uingereza katika show aliyoitangaza kwa kiasi kikubwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii. Tofauti na Stuttgurt, Ujerumani ambako mashabiki walifanya uharibifu mkubwa, mashabiki wa London waliamua kuwa wapole tu na kurejea...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo520 Sep
Diamond ashindwa kutokea kwenye show London, mashabiki wamngonja hadi saa 10 alfajiri, amtupia lawama promota
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-waEv9_1PJE4/VB6bQgjGdQI/AAAAAAAAheU/dp-wZI3zqPA/s72-c/DIAMOND%2B2.jpg)
Meneja wa Diamond Afunguka Kilicho Sababisha Diamond Asifanye show London Juzi Usiku
![](http://2.bp.blogspot.com/-waEv9_1PJE4/VB6bQgjGdQI/AAAAAAAAheU/dp-wZI3zqPA/s640/DIAMOND%2B2.jpg)
10 years ago
Habarileo04 Mar
Mdee aenda kumzika Komba, ashindwa kutokea kortini
MWENYEKITI wa Baraza la Wanawake Chadema, Halima Mdee jana alishindwa kufika mahakamani katika kesi ya kutotii amri halali ya Polisi inayomkabili na wenzake wanane, ikielezwa kuwa alikwenda kwenye maziko ya aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi mkoani Ruvuma, Kapteni John Komba.
10 years ago
Dewji Blog05 Feb
Yamoto Band kufanya Live Show kwa mara ya kwanza kwenye jiji la London
YAMOTO BAND COMFIRMED will performing all their major hits including NITAJUTA, NISEME, WAMBEA, NITAKUPWELEPWETA and many more @ The Royal Regency Banquet Hall, Sat 21 Feb 2015 From 8pm to 3:30am, there are limited VIP Tables available book yours now for ultimate VIP treatment or individual place your booking early to avoid disappointment. Table bookings please call 07405824696/ WhatsApp +44755730494
info@bongodeejays.com or jestinageorge@gmail.com
![](http://1.bp.blogspot.com/-o8NwUQF6m08/VNLBDAYZnFI/AAAAAAAC_VU/fxXVlhokWS0/s1600/the%2Broyal%2Bregency.jpg)
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-Kjjw6PwgaQI/VNKIoKVrEsI/AAAAAAAC_UI/10RTz4yVebo/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-04%2Bat%2B21.00.29.png)
YAMOTO BAND KUFANYA LIVE SHOW KWA MARA YA KWANZA KWENYE JIJI LA LONDON
10 years ago
Bongo515 Sep
Video: Diamond alipotumbuiza kwenye ‘African Unplugged’ iliyofanyika London (Sept 14)
10 years ago
Bongo502 Jan
Tazama picha ambazo hujaziona kutoka kwenye show ya Diamond, Rwanda
10 years ago
Vijimambo25 Jan
HABARI NDIYO HII ALIKIBA NA DIAMOND KWENYE SHOW YA TIGO LEADERS
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-3AUa1GgfLs0%2FVMUTMw68YYI%2FAAAAAAADWZY%2FFUZ_GWgm9EA%2Fs1600%2F10940634_1027280177301372_6364638304841605929_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-TwBnNTm25ik%2FVMUTMw3m7TI%2FAAAAAAADWZU%2FAd9LToKrMSk%2Fs1600%2F10933904_1027280180634705_3632186259029423821_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Kiba 4ril waliotaka kuanza kumrushia MAKOPO akawatuliza kwa bonge la show lililojaa ril VOKAL siku hizi anajua kudance pia, Mwisho wa siku wote wako poa kuna tofauti kati ya USHINDANI na BEEF wa tz wengi hatuelewi, ikifa SIMBA timu YANGA itacheza na nani? BE GUD!