Video: Diamond alipotumbuiza kwenye ‘African Unplugged’ iliyofanyika London (Sept 14)
Diamond Platnumz jana (September 14) alishare jukwaa moja na mastaa wa Nigeria Davido na Tiwa Savage katika show kubwa ya ‘African Unplugged’ iliyofanyika kwenye ukumbi wa 02 Academy Brixton jijini London, Uingereza. Kituo cha televisheni BET International chenye makao yake makuu London, Uingereza walikuwa wakishare matukio (live) ya kilichokuwa kinaendelea jukwaani kupitia akaunti yao ya […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/12AEA/production/_84822567_de27.jpg)
VIDEO: Why African fashion thrives in London
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yLBGfqJNowiz7QogX7rqllQ0YULB3MtJiIN8Wxay3UtsUaIDT3Jen7qhXe85A36qobRTE2jTswAmVXi8b4xdIj232lXl29DA/diamondplatnumz2.jpg?width=650)
DIAMOND ASHINDWA KUTOKEA KWENYE SHOW LONDON
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78295000/jpg/_78295658_78295650.jpg)
VIDEO: Leading African art fair in London
10 years ago
Bongo520 Sep
Diamond ashindwa kutokea kwenye show London, mashabiki wamngonja hadi saa 10 alfajiri, amtupia lawama promota
10 years ago
Bongo506 Oct
Best African Entertainer: Diamond ambwaga Davido kwenye tuzo za IRAWMA
9 years ago
Bongo524 Nov
Diamond aongoza kwenye orodha ya ‘Top 15 African Artists of 2015’ ya Afrimma
![mondi new](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mondi-new-300x194.jpg)
Waandaaji wa tuzo za African Muzik Magazine (AFRIMMA) wametoa orodha yao ya wasanii 15 bora wa Afrika kwa mwaka huu, ‘Top 15 African Artists of 2015’.
Kupitia website yao, Afrimma wameandika kuwa Diamond Platnumz ndiye msanii aliyeshika nafasi ya kwanza katika orodha hiyo, huku Wzkid kutoka Nigeria akifata kwenye nafasi ya pili, Olamide kwenye nafasi ya tatu na na Davido akiwa kwenye nafasi ya nne.
Kwenye tuzo za Afrimma mwaka huu zilizofanyika Oct. 10 Dallas, Marekani, Diamond alishinda...
10 years ago
Vijimambo26 Sep
AFRICAN NIGHT SATURDAY SEPT 27 AT ALAMO MT VERNON, NY
10 years ago
Bongo528 Feb
Diamond atajwa kuwania kipengele cha ‘African Artiste of The Year’ kwenye Ghana Music Awards