Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond atajwa kuwania kipengele cha ‘African Artiste of The Year’ kwenye Ghana Music Awards

Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo za 16 za Vodafone Ghana Music (Awards), VGMA 2015. Majina ya wasanii watakaowania tuzo hizo yametajwa kwenye hoteli ya La Palm Royal Beach Hotel jijini Accra, jana Ijumaa, February 27. Diamond ametajwa kuwania kipengele cha msanii bora wa Afrika (African Artiste of The Year). Wasanii wengine watakaowania kipengele hicho ni […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Diamond atajwa kuwania ‘African Youth Choice Awards’ za Nigeria

Msimu wa tuzo kwa Diamond Platnumz a.k.a baba Tiffah bado unaendelea, ametajwa kuwania ‘African Youth Choice Awards’ AYCA2015 za nchini Nigeria. Muimbaji huyo wa ‘Nana’ anawania vipengele viwili kwenye tuzo hizo, ambavyo ni YOUTH CHOICE Artiste Of The Year pamoja na YOUTH CHOICE Best Male. Hivi ni vipengele anavyoshindania: YOUTH CHOICE Artiste Of The Year: […]

 

9 years ago

Bongo5

Diamond atajwa kuwania tuzo zingine Nigeria, ‘The African Entertainment Legend Awards’ (AELA)

Diamond Platnumz a.k.a Baba Tiffah yuko kwenye orodha ya waliotajwa kuwania tuzo zingine za nchini Nigeria, ‘The African Entertainment Legend Awards (AELA)’. Platnumz ametajwa kuwania vipengele viwili, ‘African Legends Artist of The Year’ akichuana na Dbanj, P-Square, Faze, Reggie Rockstone, Asa, R2bees pamoja na 2face. Kipengele cha pili anachowania ni ‘Best collabolation’ kupitia wimbo wake […]

 

9 years ago

Bongo5

Diamond kuchuana na Priyanka Chopra kwenye MTV Europe Music Awards, kipengele ni ‘Best Worldwide Act: Africa/India’

Diamond Platnumz amekuwa mshindi wa kipengele cha ‘Best African Act’ kwenye tuzo za MTV Europe Music [Awards] baada ya kuwabwaga, Davido, Yemi Alade, AKA na DJ Arafat. Na sasa muimbaji huyo aliyewasili Alhamis hii kutoka Dallas, Texas alikoshinda tuzo tatu za Afrimma, ana mtihani mkubwa zaidi mbele yake. Atashindana kipengele kimoja cha ‘Best Worldwide Act: […]

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATINUMZ ATAJWA KUWANIA NEA AWARDS 2015 NCHINI NIGERIA

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond'. AFRICAN ARTIST:
Eddie kenzo
Sauti Sol
Diamond Platnumz
Sarkodie
Stonebwoy
AKA
Mzvee HOTTEST SINGLE:
Kiss Daniel – Woju
Lil Kesh – Shoki Remix Ft Olamide & Davido
Mavins – Dorobucci
Wizkid – Ojuelegba
Skales – Shake Body

BEST NEW ACT:
Kiss Daniel
Lil Kesh
Di’ja
CDQ
Ayo Jay
Falz
Korede… ...

 

10 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee atajwa kuwania ‘All Africa Music Awards’ AFRIMA 2014, kuchuana na 2 Face na Maurice Kirya

Vanessa Mdee pamoja na Diamond Platnumz ndio wasanii wa Tanzania waliotajwa kuwania tuzo za ‘All Africa Music Awards’ AFRIMA 2014 huko Nigeria. Vanessa ametajwa kuwania vipengele viwili ambavyo ni ‘Msanii Bora wa kike Afrika Mashariki’ pamoja na ‘Best African RNB Soul’ kupitia wimbo wa ‘Come Over’. Vee Money anachuana na Wahu na Size 8 wa […]

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATINUMZ ATAJWA KUWANIA TUZO YA 'RADIO AFRO AUSTRALIA SONG OF THE YEAR 2014’

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' .
Muonekano wa kipengele cha tuzo anachowania Diamond Platinumz. STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametajwa kuwania tuzo ya 'Radio AFRO Australia Song of the Year 2014' kupitia wimbo wake wa Number 1 Remix’ aliyomshirikisha staa wa Nigeria Davido.
 
Wasanii wengine kutoka Afrika wanaowania Tuzo hizo ni pamoja na Davido ambaye ana nyimbo...

 

10 years ago

Bongo5

Diamond atajwa kuwania vipengele 4 kwenye tuzo za CHOAMVA 2014

Channel O wametangaza majina ya wasanii watakaowania tuzo za CHOAMVA mwaka huu. Diamond ametajwa kuwania vipengele vinne ambavyo ni pamoja na MOST GIFTED VIDEO OF THE YEAR, MOST GIFTED NEWCOMER, MOST GIFTED AFRO POP na MOST GIFTED EAST. MOST GIFTED MALE CASSPER NYOVEST – DOC SHEBELEZA DAVIDO – AYE RIKY RICK FT OKMALUMKOOLKAT – AMANTOMBAZANE […]

 

10 years ago

Bongo5

Diamond na Ommy Dimpoz watajwa kuwania tuzo za HiPipo Music Awards 2015 za Uganda

Mastaa wa Tanzania Nasibu Abdul a.k.a Diamond Platnumz na Omary Nyembo a.k.a Ommy Dimpoz, nyimbo zao zimetajwa kuwania tuzo za HiPipo Music Awards (HMA2015) za Uganda zinazotarajiwa kutolewa mwakani. ‘Number One’ (original) ya Diamond na ‘Ndagushima’ ya Dimpoz zinachuana na nyimbo zingine za Afrika Mashariki kwenye kipengele kimoja cha East Africa Super Hit. Nyimbo za […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani