Meneja wa Diamond Afunguka Kilicho Sababisha Diamond Asifanye show London Juzi Usiku
![](http://2.bp.blogspot.com/-waEv9_1PJE4/VB6bQgjGdQI/AAAAAAAAheU/dp-wZI3zqPA/s72-c/DIAMOND%2B2.jpg)
Kutokana na tukio hilo, Meneja wa mwanamuziki huyo, Hamis Taletale maarufu Babu Tale ambaye hakuambatana naye, aliliambia gazeti hili kuwa Diamond alipokea mwaliko kutoka kwa promota huyo, lakini hakulipwa fedha hata kidogo, jambo ambalo lilimfanya ashindwe kufanya uamuzi wowote.“Diamond alipofika Uingereza yule promota alimdaka juu kwa juu kwa kuwa kule alikwenda kwa ajili ya shoo ya Ujerumani itakayofanyika usiku wa leo (jana) akimtaka afanye shoo jijini London, Uingereza, alikubali na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yLBGfqJNowiz7QogX7rqllQ0YULB3MtJiIN8Wxay3UtsUaIDT3Jen7qhXe85A36qobRTE2jTswAmVXi8b4xdIj232lXl29DA/diamondplatnumz2.jpg?width=650)
DIAMOND ASHINDWA KUTOKEA KWENYE SHOW LONDON
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-5WEo2Vt-F4E/VK5IlsS7sGI/AAAAAAAAQpQ/xwdl7RmVqe0/s72-c/10890525_406552556176055_575413897_n.jpg)
Baada ya Kupiga Show ya Nguvu Nigeria, Diamond Afunguka na Kusema Haamini Macho yake
![](http://4.bp.blogspot.com/-5WEo2Vt-F4E/VK5IlsS7sGI/AAAAAAAAQpQ/xwdl7RmVqe0/s640/10890525_406552556176055_575413897_n.jpg)
“Nimefurahi maana hii inaonyesha jinsi gani...
10 years ago
Bongo520 Sep
Diamond ashindwa kutokea kwenye show London, mashabiki wamngonja hadi saa 10 alfajiri, amtupia lawama promota
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Omm4UhJ_Z-g/VX5f7VyjheI/AAAAAAAAvvU/qbsmZFcsErk/s72-c/DiamondPlatinumz.jpg)
Kilicho Mponza DIAMOND PLATNUMZ Tuzo za Kill Music Hichi Hapa, Wema na Jokate Watambiana Mabwana, Vanessa na Jux Wapakatana
![](http://1.bp.blogspot.com/-Omm4UhJ_Z-g/VX5f7VyjheI/AAAAAAAAvvU/qbsmZFcsErk/s640/DiamondPlatinumz.jpg)
Tuzo za Muziki za Kili 2015, Jumamosi ya wiki iliyopita zilitimua vumbi kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Mwenge jijini Dar es Salaam ambapo maelfu ya Watanzania wanaopenda burudani walikuwa wakifuatilia mwenendo mzima wa tuzo hizo, ambapo msanii Ali Kiba aling’ara baada ya kunyakua tuzo tano na kumuacha mbali hasimu wake mkubwa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ aliyeambulia tuzo mbili tu.Mpango mzima ulianza, mishale ya saa tatu za usiku ambapo wasanii pamoja na wadau mbalimbali walijumuika...
10 years ago
GPL26 Oct
9 years ago
Bongo517 Aug
Utani Huu: Mpambe wa Ex wa Zari anataka DNA ya mtoto wa Diamond, anadai yeye ni baba, juzi alidai Ivan ndio baba!
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_0oNJZRUcQ4/VV-AlsFiQWI/AAAAAAAHZRc/UHdiJLJs_1c/s72-c/unnamed.png)
9 years ago
Bongo507 Jan
Video: Meneja wa Diamond ataja kazi inayofuata baada ya Utanipenda
![12393885_765525026914683_1478959651_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/12393885_765525026914683_1478959651_n-300x194.jpg)
Ni kitu baada ya kitu. Baada ya kuachia video ya Utanipenda, Diamond anatarajia kuachia kazi nyingine mpya mwezi huu.
“Nadhani mwezi huu [January] tuna collaboration na AKA ambayo video yake ipo tayari,” meneja wa Diamond, Sallam ameiambia Bongo5.
Amesema kwakuwa Utanipenda ni wimbo wa huzuni na wa kusikiliza zaidi, wameona ni vyema kuachia pia wimbo wa kuparty.
“Tuna stock nyingi na hii ni collaboration, yaani ni nyimbo ya AKA na Diamond kwahiyo tunapotoa nyimbo ya collabo mara nyingi...