Baada ya Kupiga Show ya Nguvu Nigeria, Diamond Afunguka na Kusema Haamini Macho yake
![](http://4.bp.blogspot.com/-5WEo2Vt-F4E/VK5IlsS7sGI/AAAAAAAAQpQ/xwdl7RmVqe0/s72-c/10890525_406552556176055_575413897_n.jpg)
STAA Afrika Mashariki, Nasibu Abdul ‘Diamond’, amefunguka kwamba haamini kama kweli amepata nafasi ya kutumbuiza kwenye sherehe za utoaji tuzo za wanamichezo bora zilizoandaliwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) ambazo zimefanyika huko jijini, Lagos, Nigeria.Akizungumza na Showbiz, Diamond alisema amefurahi kupata nafasi ya pekee ambayo mara nyingi hutolewa kwa wasanii wakubwa Marekani na kuamini kwamba muziki wa Tanzania unathaminika kila kona.
“Nimefurahi maana hii inaonyesha jinsi gani...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-waEv9_1PJE4/VB6bQgjGdQI/AAAAAAAAheU/dp-wZI3zqPA/s72-c/DIAMOND%2B2.jpg)
Meneja wa Diamond Afunguka Kilicho Sababisha Diamond Asifanye show London Juzi Usiku
![](http://2.bp.blogspot.com/-waEv9_1PJE4/VB6bQgjGdQI/AAAAAAAAheU/dp-wZI3zqPA/s640/DIAMOND%2B2.jpg)
9 years ago
Michuzi17 Dec
9 years ago
Bongo501 Nov
Picha: Wizkid, Diamond, Christian Bella na Fid Q waangusha show ya nguvu
![Wizkid](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Wizkid1-94x94.jpg)
10 years ago
GPLBAADA YA KUTWAA TUZO 3 SAUZ, DIAMOND KUPIGA SHOO MAREKANI
10 years ago
Bongo513 Oct
Diamond afunguka juu ya tofauti zilizokuwa zikizungumzwa baina yake na Alikiba