Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Wizkid, Diamond, Christian Bella na Fid Q waangusha show ya nguvu

WizkidMuimbaji mahiri kutoka nchini Nigeria, Wizkid akisindikizwa na wasanii wakubwa wa Tanzania, Diamond, Christian Bella pamoja na Fid Q jana katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam walizikonga nyoyo za mashabiki wa muziki. Wizkid akiwa karibu na mashabiki wake Wasanii hao waliopanda kwenye jukwaa hilo katika mida mida tofauti, kila mmoja alitaka kuonyesha […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Uchambuzi: Show ya Wizkid, Diamond, Christian Bella na Fid Q ilikuwa moto wa kuotea mbali, soma yaliyojiri

WizkidWakati watanzania wakimaliza salama uchaguzi mkuu October 25 huku wakisubiria kuapishwa kwa rais mteule, Dr John Pombe Magufuli baada ya kuibuka kudedea, weekend iliyopita wapenzi wa muziki wa Dar es Salaam, walipata burudani ya kukata na shoka kutoka kwa msanii wa Nigeria, Wizkid aliyesindikizwa na Diamond, Christian Bella na Fid Q. Wizkid ambaye alitua kwa […]

 

5 years ago

Bongo5

Christian Bella kufanya show 4 mfululizo Australia

Mkali wa masauti Christian Bella weekend hii anatarajia kufanya show 4 mfululizo katika miji tofauti nchini Australia.

Akiongea na Bongo5 wiki hii, Bella amesema show hizo zitamfungulia milango mipya ya soko la muziki wake nchini Australia.

“Kwa sasa nipo Australia kwajili ya maandalizi ya tour yangu kwa sababu nitakuwa na show nne mfululizo kwa hiyo maandalizi yalikuwa yanahitajika,” alisema Bella. “Unajua tunafanya show nje siyo tu kwajili ya kupata pesa peke yake, sisi ni wasanii lazima...

 

9 years ago

Bongo5

Hakuna msanii Bongo anayefanya show nyingi zaidi yangu — Christian Bella

Mfalme wa masauti, Christian Bella aka Obama amejigamba kuwa hakuna msanii hapa Tanzania anayefanya show nyingi kuliko yeye. Bella ameiambia Bongo5 kuwa kama akiamua kufuata mahitaji ya watu wanaomwitaji hawezi kupata muda wa kupunzika. “Unajua nyimbo zangu zimefanya watu wanihitaji sana,” amesema muimbaji huyo. “Hakuna msanii anayefanya show nyingi hapa Bongo kunizidi mimi. Yaani napigiwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Tazama picha za behind the scenes za video ya ‘Nagharamia’ ya Alikiba na Christian Bella

20151221025145 (1)

Alikiba na Christian Bella wameachia video ya wimbo wao wa pamoja ‘Nagharamia’ iliyoongozwa na Enos Olik jijini Nairobi Kenya.

Kwenye video hiyo anaonekana msichana mrembo sana ambaye wawili hao wote anawachanganya.

20151221025145 (1)

Ina kisa kizuri ambacho mwisho wa siku Kiba ndiye anaondoka na mzigo na kumuacha Bella akijichekea tu kwa butwaa. Tazama picha za utengenezaji wa video hiyo hapo chini.

20151221030028

20151221025143 (1)

20151221025143 (2)

20151221025143

20151221025144

20151221025145 (2)

20151221025145 (3)

20151221025145

20151221025150

20151221025926

20151221025959

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Christian Bella awashirikisha Weusi, Nahreel kutayarisha ngoma

Christian Bella ameamua kujichanganya kwenye muziki wa hip hop kwa kuwashirikisha Wuesi kwenye ngoma mpya. Bella ameingia kwenye studio za The Industry ya Nahreel kurekodi wimbo na Joh Makini na G-Nako. “Kazi imeisha Leo na Weusi, ratiba ni mwishoni October tunaachia Nagharamia na Alikiba na mwishoni November nakuja na Joh Makini, G.Nako nA Nahreel,” ameandika […]

 

9 years ago

Bongo5

Hii ndio sababu ya Christian Bella kusita kufanya wimbo na Diamond

Christian Bella amesema anashindwa kumwambia Diamond waingie studio na kufanya kolabo kutokana na hofu kuwa huenda muimbaji huyo asipokee vizuri ombi hilo. Bella ambaye alikuwa nyumbani kwa Diamond weekend iliyopita wakati wa 40 ya Tiffah, ameiambia Bongo5 kuwa yeye pamoja na mashabiki wake wanatamani kuona kazi yao ya pamoja. “Wasanii sisi labda nataka niimbe na […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Runtown, Christian Bella, Navy Kenzo, Peter Msechu na Kala walivyotumbuiza kwenye BSS

Msanii wa muziki kutoka Nigeria, Runtown akisindikizwa na wasanii wa Tanzania, Christian Bella, Navy Kenzo, Peter Msechu, Yamoto Band pamoja na Kala Jeremiah walitumbuiza kwenye fainali za shindano la Bongo Star Search (BSS) zilizofanyika katika ukumbi wa King Solomon uliopo Namanga, jijini Dar es Salaam. Runtown akionyesha maujanja yake Licha ya burudani hizo kutoka kwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Dully awakusanya Diamond, Christian Bella na Mzee Yusuf kwenye ngoma zake mbili mpya

Dully

Baada ya kuachia kolabo yake akiwa na vijana wa Yamoto Band, Dully Sykes anatarajia kuachia kolabo zake nyingine mbili ambapo moja akiwa na Diamond na nyingine akiwa na Christian Bella na Mzee Yusuf.

Dully

Akizungumza na kipindi cha Siz Kitaa kinachoruka kupitia Clouds TV, Dully alisema tayari ameshafanya nyimbo nyingi akiwa peke yake na wakati huu ni wa kolabo.

“Mimi nimefanya nyimbo nyingi sana mwenyewe na nyingi zimefanya vizuri. Kwahiyo sasa hivi mimi natoa nyimbo ambazo nimeshirikiana. Baada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani