Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hakuna msanii Bongo anayefanya show nyingi zaidi yangu — Christian Bella

Mfalme wa masauti, Christian Bella aka Obama amejigamba kuwa hakuna msanii hapa Tanzania anayefanya show nyingi kuliko yeye. Bella ameiambia Bongo5 kuwa kama akiamua kufuata mahitaji ya watu wanaomwitaji hawezi kupata muda wa kupunzika. “Unajua nyimbo zangu zimefanya watu wanihitaji sana,” amesema muimbaji huyo. “Hakuna msanii anayefanya show nyingi hapa Bongo kunizidi mimi. Yaani napigiwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Christian Bella: Video yangu ni milioni 17 tu

christNA MWALI IBRAHIM

MWANAMUZIKI mahiri wa muziki wa Dansi nchini, Christian Bella ‘King of the best melody’ ametamba kuwa video ya wimbo wake mpya wa ‘Nashindwa’ ndiyo bora kati ya nyimbo za dansi nchini. Bella alisema ubora huo unatokana na kuwekeza milioni 17 kwa ajili ya video hiyo ambayo picha zake zimefanyika nchini Afrika Kusini, ambapo sasa wanakumbwa na aibu ya kushambulia wageni. Bella alichambua kwamba gharama hizo zinatokana na usafiri, maandalizi yote na kukamilika kwa video hiyo...

 

10 years ago

GPL

HAKUNA KAMA CHRISTIAN BELLA

Na Waandishi Wetu/Ijumaa Wikienda
Wikiendi iliyopita, dunia nzima ilikuwa ikiadhimisha siku ya Valentine’s Day au kwa Kiswahili Siku ya Wapendanao! Mambo yalinoga ndani ya Ukumbi wa Dar Live ambapo wakali wa mapenzi, Christian Bella ‘Obama’ na Mzee Yusuf walifanya yao na kuzikonga vilivyo nyoyo za maelfu ya mashabiki waliofurika, Ijumaa Wikienda lilikuwepo kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Mkali wa mapenzi,...

 

5 years ago

Bongo5

Christian Bella kufanya show 4 mfululizo Australia

Mkali wa masauti Christian Bella weekend hii anatarajia kufanya show 4 mfululizo katika miji tofauti nchini Australia.

Akiongea na Bongo5 wiki hii, Bella amesema show hizo zitamfungulia milango mipya ya soko la muziki wake nchini Australia.

“Kwa sasa nipo Australia kwajili ya maandalizi ya tour yangu kwa sababu nitakuwa na show nne mfululizo kwa hiyo maandalizi yalikuwa yanahitajika,” alisema Bella. “Unajua tunafanya show nje siyo tu kwajili ya kupata pesa peke yake, sisi ni wasanii lazima...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Wizkid, Diamond, Christian Bella na Fid Q waangusha show ya nguvu

WizkidMuimbaji mahiri kutoka nchini Nigeria, Wizkid akisindikizwa na wasanii wakubwa wa Tanzania, Diamond, Christian Bella pamoja na Fid Q jana katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam walizikonga nyoyo za mashabiki wa muziki. Wizkid akiwa karibu na mashabiki wake Wasanii hao waliopanda kwenye jukwaa hilo katika mida mida tofauti, kila mmoja alitaka kuonyesha […]

 

10 years ago

Bongo5

Video: Christian Bella azungumzia siri ya kufanikiwa kama msanii wa bendi anayejitegemea

Ali Choki, Khalid Chokoraa, Super Nyemwela na wasanii wengine wa bendi wamewahi kujaribu kuimba kama solo artists lakini hawakuweza kufanikiwa lakini si kwa Christian Bella. Muimbaji huyo aliyeanza kujulikana na bendi yake ya Akudo, kwa sasa ni miongoni mwa wasanii wanaopendwa zaidi nchini Tanzania. Mwaka huu, Bella amekuwa miongoni mwa wasanii waliopiga show za Kili […]

 

9 years ago

Bongo5

Wasanii wengi Bongo ni wanaweza, hawana nyota tu — Christian Bella

Christian Bella amesema licha ya kufanya vizuri kimuziki hapa Tanzania haoni kama yeye ni bora kuliko wenzake. Bella ameiambia Bongo5 kuwa hapa Bongo kuna wasanii wazuri kuliko hata yeye ila bado hawajapata nafasi ya kutosha. “Hongera za watu kwangu ni zaidi ya tuzo, kwa muda huu game ni ngumu sana, kwahiyo kukubalika sio kitu rahisi […]

 

9 years ago

Bongo5

Uchambuzi: Show ya Wizkid, Diamond, Christian Bella na Fid Q ilikuwa moto wa kuotea mbali, soma yaliyojiri

WizkidWakati watanzania wakimaliza salama uchaguzi mkuu October 25 huku wakisubiria kuapishwa kwa rais mteule, Dr John Pombe Magufuli baada ya kuibuka kudedea, weekend iliyopita wapenzi wa muziki wa Dar es Salaam, walipata burudani ya kukata na shoka kutoka kwa msanii wa Nigeria, Wizkid aliyesindikizwa na Diamond, Christian Bella na Fid Q. Wizkid ambaye alitua kwa […]

 

10 years ago

Mtanzania

Christian Bella: Kukosa tuzo kutanifanya nitoe muziki mzuri zaidi

christian bellaNA RHOBI CHACHA
MWANAMUZIKI wa Bolingo, Christian Bella, ameweka wazi kwamba kukosa kwake tuzo hata moja kutampa nguvu ya kuandaa kazi nzuri zaidi ya alizozitoa kwa mwaka jana.
Bella aliongeza kwamba, anajiamini muziki anaofanya unapendwa na wengi, kukosa tuzo hakutamrudisha nyuma bali kutamfanya aongeze nguvu zaidi ya kufanya muziki mzuri.
“Unajua mimi siku zote najijua kama nafanya kazi nzuri na mashabiki wananikubali, ila kukosa tuzo hakunivunji moyo, yaani ni sawa na kunizidishia akili...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je ni msanii yupi anayelipwa pesa nyingi zaidi ?

Robert Downey Jr awapiku Jackie Chan na Tom Cruise katika orodha ya Forbes ya wasanii waliopokea mshahara mkubwa zaidi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani