Je ni msanii yupi anayelipwa pesa nyingi zaidi ?
Robert Downey Jr awapiku Jackie Chan na Tom Cruise katika orodha ya Forbes ya wasanii waliopokea mshahara mkubwa zaidi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo516 Dec
Thiery Henry ndiye mchambuzi wa soka kwenye TV anayelipwa fedha nyingi zaidi UK
![1DA5076200000578-3361435-image-a-63_1450207906418](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1DA5076200000578-3361435-image-a-63_1450207906418-300x194.jpg)
Mchezaji wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa, Thiery Henry ndiye mchambuzi wa soka anayelipwa fedha nyingi zaidi nchini Uingereza.
Sky Sport wanamlipa pauni milioni nne kila mwaka katika mkataba wake wa miaka sita.
Pamoja na kuwa nao, mkataba wake unamruhusu kufanya kazi hiyo na vituo vya runinga vingine.
Tayari imefahamika kuwa BBC Sport wanatarajia kumtangaza kama mchambuzi wao wa European Championship.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-xJJ-zEgkCes/VYmR6c45qJI/AAAAAAAACMg/n5TyPxN_kUg/s72-c/Apresentacao-Kaka-Foto-DivulgacaoOrlando-City_LANIMA20140807_0210_25.jpg)
LIST YA WACHEZAJI WANAOLIPWA PESA NYINGI ZAIDI LIGI YA MAREKANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-xJJ-zEgkCes/VYmR6c45qJI/AAAAAAAACMg/n5TyPxN_kUg/s400/Apresentacao-Kaka-Foto-DivulgacaoOrlando-City_LANIMA20140807_0210_25.jpg)
Kwanza kabisa ujue Kaka ndie mchezaji anaelipwa pesa nyingi kuliko wachezaji wote kwenye MLS ambapo yeye anapokea $7.16m (£4.51m) kwa mwaka. Pia anaefuatia sio Lampard wala Gerrad.Clint Dempsey ambae alikua Fulham and Tottenham na sasa anachezea Seattle Sounders, Michael Bradley wa Toronto FC wanalipwa pesa nyingi kuliko wachezaji hawa wa England.
![](http://2.bp.blogspot.com/-RVqc5XtTMr8/VYmRGmXgxtI/AAAAAAAACMQ/mz6cuKwuZIc/s400/2462E86100000578-2895288-image-m-8_1420291496128.jpg)
.
Clint Dempsey analipwa kiasi cha $6.7m (£4.2m) na Michael Bradley analipwa $6.5m (£4.1m).Namba 4 anakaa Steven Gerrard amabe anacheza L.A Galaxy...
11 years ago
Bongo505 Aug
Forbes: Orodha ya waigizaji wa kike wa Hollywood waliolipwa pesa nyingi zaidi 2013-2014
9 years ago
Bongo530 Sep
Hakuna msanii Bongo anayefanya show nyingi zaidi yangu — Christian Bella
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Floyd mwanamichezo anayelipwa zaidi
11 years ago
BBCSwahili08 Jan
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC3bspTb-m*4Il3nr4dk9bxAjjJg51kcDUgTgjKv6JrgTFBu67CObIJ62yr78pfH1aoKGP50emS59eFEsxW5CNZ5/FloydMayweather1.jpg?width=650)
MAYWEATHER MWANAMICHEZO ANAYELIPWA DAU KUBWA ZAIDI DUNIANI
10 years ago
Bongo510 Apr
Diamond amesharekodi collabo na msanii mkubwa wa Marekani, hutaamini ni yupi!
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Rugimbana: Msikae na pesa nyingi nyumbani