Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je ni msanii yupi anayelipwa pesa nyingi zaidi ?

Robert Downey Jr awapiku Jackie Chan na Tom Cruise katika orodha ya Forbes ya wasanii waliopokea mshahara mkubwa zaidi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Thiery Henry ndiye mchambuzi wa soka kwenye TV anayelipwa fedha nyingi zaidi UK

1DA5076200000578-3361435-image-a-63_1450207906418

Mchezaji wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa, Thiery Henry ndiye mchambuzi wa soka anayelipwa fedha nyingi zaidi nchini Uingereza.

1DA5076200000578-3361435-image-a-63_1450207906418

Sky Sport wanamlipa pauni milioni nne kila mwaka katika mkataba wake wa miaka sita.

Pamoja na kuwa nao, mkataba wake unamruhusu kufanya kazi hiyo na vituo vya runinga vingine.

Tayari imefahamika kuwa BBC Sport wanatarajia kumtangaza kama mchambuzi wao wa European Championship.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...

 

10 years ago

Africanjam.Com

LIST YA WACHEZAJI WANAOLIPWA PESA NYINGI ZAIDI LIGI YA MAREKANI


Kwanza kabisa ujue Kaka ndie mchezaji anaelipwa pesa nyingi kuliko wachezaji wote kwenye MLS ambapo yeye anapokea $7.16m (£4.51m) kwa mwaka. Pia anaefuatia sio Lampard wala Gerrad.Clint Dempsey ambae alikua Fulham and Tottenham na sasa anachezea Seattle Sounders, Michael Bradley wa Toronto FC wanalipwa pesa nyingi kuliko wachezaji hawa wa England.

.
Clint Dempsey analipwa kiasi cha $6.7m (£4.2m) na Michael Bradley analipwa $6.5m (£4.1m).Namba 4 anakaa Steven Gerrard amabe anacheza L.A Galaxy...

 

11 years ago

Bongo5

Forbes: Orodha ya waigizaji wa kike wa Hollywood waliolipwa pesa nyingi zaidi 2013-2014

Forbes imetoa orodha ya waigizaji wa kike wa Hollywood ambao wamelipwa pesa nyingi zaidi katika kipindi cha kati ya June 2013 na June 2014 kupitia filamu (Hollywood’s Highest Paid Actresses). Miongoni na waigizaji walioingia kwenye Top 10 ni pamoja na Sandra Bullock, Angelina Jolie, Jennifer Lawrence na Cameron Diaz. Hii ni Top 10: 1. Sandra […]

 

9 years ago

Bongo5

Hakuna msanii Bongo anayefanya show nyingi zaidi yangu — Christian Bella

Mfalme wa masauti, Christian Bella aka Obama amejigamba kuwa hakuna msanii hapa Tanzania anayefanya show nyingi kuliko yeye. Bella ameiambia Bongo5 kuwa kama akiamua kufuata mahitaji ya watu wanaomwitaji hawezi kupata muda wa kupunzika. “Unajua nyimbo zangu zimefanya watu wanihitaji sana,” amesema muimbaji huyo. “Hakuna msanii anayefanya show nyingi hapa Bongo kunizidi mimi. Yaani napigiwa […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Floyd mwanamichezo anayelipwa zaidi

Floyd Mayweather Jr ndiye mwanamichezo aliyeingiza pesa nyingi katika kipindi cha miezi 12 iliyopita jarida la Forbes laeleza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Msanii yupi atawika 2014?

Mwaka mpya mambo mapya. Je ni msanii gani atawika mwaka huu wa 2014?

 

11 years ago

GPL

MAYWEATHER MWANAMICHEZO ANAYELIPWA DAU KUBWA ZAIDI DUNIANI

Floyd Mayweather Jnr, akiwa katika gari lake aina ya Bugatti Vevron lenye thamani ya pauni milioni 1.8 (  sh bilioni 5) akiondoka katika Fainali za  Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Marekani (NBA) huko Miami, Marekani.
Akiwa na mkwanja wakati anaondoka katika fainali za Ligi ya NBA.…

 

10 years ago

Bongo5

Diamond amesharekodi collabo na msanii mkubwa wa Marekani, hutaamini ni yupi!

Diamond Platnumz is unstoppable! Ni muda mrefu sasa tumekuwa tukisikia tetesi kuwa amerekodi ngoma na msanii mkubwa wa Marekani japo hakuwahi kumtaja, lakini sasa tunaweza kuwa na ubashiri sahihi! Muimbaji huyo alikuwa akiongea kwenye kipindi cha 360 cha Clouds TV leo asubuhi ambapo aliulizwa ni msanii gani wa nje ya Afrika anayependa kufanya naye kazi. […]

 

11 years ago

Mwananchi

Rugimbana: Msikae na pesa nyingi nyumbani

Mkuu wa Wilaya Kinondoni, Jordan Rugimbana amewahimiza wafanyabiashara mbalimbali na wananchi kwa jumla kuwa na hulka ya kuweka fedha benki kwa usalama wa fedha zao na wao wenyewe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani