Diamond amesharekodi collabo na msanii mkubwa wa Marekani, hutaamini ni yupi!
Diamond Platnumz is unstoppable! Ni muda mrefu sasa tumekuwa tukisikia tetesi kuwa amerekodi ngoma na msanii mkubwa wa Marekani japo hakuwahi kumtaja, lakini sasa tunaweza kuwa na ubashiri sahihi! Muimbaji huyo alikuwa akiongea kwenye kipindi cha 360 cha Clouds TV leo asubuhi ambapo aliulizwa ni msanii gani wa nje ya Afrika anayependa kufanya naye kazi. […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo518 Nov
Jose Chameleone: Sijamuomba collabo Diamond, mimi si msanii mchanga (Exclusive Audio)
9 years ago
Bongo529 Oct
Video ya collabo ya Diamond na Ne-Yo kufanyika Marekani na Afrika
9 years ago
Dewji Blog16 Oct
TIGO yampokea Msanii Diamond, Umati mkubwa wafurika kumlaki jijini Dar
Meneja wa Tigo music, Hamza Balla akiongea na waandishi wa habari na mashabiki waliojitokeza kwa wingi kumpokea msanii wa kizazi kipya Nassib Abdul Diamond (kushoto)mara baada ya kuwasili kutoka nchini Marekani alikopokea Tuzo za Afrimma. Pembeni kulia Mtaalam wa mitandao ya kijamii toka Tigo Samira Baamar.
Msanii Diamond Platnumz akiongea na waandishi wa habari na mashabiki waliojitokeza kumpokea mara baada ya kuwasili kutoka nchini Marekani alikopokea Tuzo za Afrimma. Wengine kushoto...
11 years ago
BBCSwahili08 Jan
10 years ago
BBCSwahili06 Aug
Je ni msanii yupi anayelipwa pesa nyingi zaidi ?
10 years ago
Bongo521 Apr
Hutaamini rapper wa Marekani aliyetangaza kugombea Urais mwaka 2016!
10 years ago
Bongo528 Jan
Hutaamini alichopost Youtube msichana huyu wa Kenya kumtongoza Diamond ‘I am ready to start a project with you’
10 years ago
Bongo522 Sep
Diamond au Alikiba? Mr Blue aeleza yupi anayependa kufanya naye ngoma