Jose Chameleone: Sijamuomba collabo Diamond, mimi si msanii mchanga (Exclusive Audio)
Msanii mkongwe wa Uganda, Jose Chameleone, amekanusha ripoti zilizoandikwa kwenye mtandao wa BigEye wa Uganda kuwa amemuomba Diamond Platnumz wafanye collabo. Chameleone ameiambia Bongo5 kuwa application ya Mziiki ambayo Diamond ni balozi wake wa Tanzania ipo kwenye mazungumzo naye ili kumfanya balozi wake wa Uganda na hivyo ilimuomba afanye wimbo na Diamond kama anthem ya […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Oct
Nawaomba radhi mashabiki wangu sitaweza kutoa collabo yangu na Jose Chameleone Ijumaa hii — Barnaba
9 years ago
Bongo524 Oct
Jose Chameleone: Nasaidia wasanii wachanga kwasababu nilipokuwa msanii mdogo nilinyimwa nafasi hiyo
10 years ago
Bongo527 Nov
Exclusive: Diamond afunguka kuhusu Wema, Zari, Penny, Chameleone, Yemi Alade, Waje na mengine (Video)
10 years ago
Bongo530 Dec
Diamond ameenda Rwanda na timu ya watu 22 (Exclusive Audio)
10 years ago
Bongo510 Apr
Diamond amesharekodi collabo na msanii mkubwa wa Marekani, hutaamini ni yupi!
11 years ago
Bongo531 Jul
Exclusive Audio: Diamond akirap kwenye beat ya ‘Show Me’ (Kid Ink f/ Chris Brown)
10 years ago
Bongo519 Nov
New Music: Jose Chameleone — Milliano
9 years ago
Mtanzania08 Sep
Jose Chameleone afurahia maisha Marekani
BAADA ya wasanii wengi kukosa muda wa kuwa karibu na familia zao, msanii tajiri Afrika Mashariki, Jose Chameleone, ameonyesha
mfano bora kwa kusafiri na familia yake ya watoto watatu na mke, Daniella katika ziara ya onyesho lake jijini New York, nchini Marekani.
Mkali huyo wa wimbo wa ‘Tubonge’, alitumia fursa hiyo kuzunguka mitaa mbalimbali ya jiji hilo huku akifurahi na kupiga picha na familia yake kisha kuzituma katika mitandao yake ya kijamii.
Haya wasanii wetu wakati ni huu wa...