Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond ameenda Rwanda na timu ya watu 22 (Exclusive Audio)

Diamond Platnumz amesafiri na timu ya watu 22 kwaajili ya show yake ya mwaka mpya jijini Kigali Rwanda. Diamond akiongea na waandishi wa habari jijini Kigali Kwenye timu hiyo ofcourse yumo first lady Zari the Bosslady, mameneja wake, bodyguard, DJ, wapiga picha wake na dancers. Staa huyo anatarajiwa kutumbuiza kwenye matamasha mawili ambayo ni pamoja […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Jose Chameleone: Sijamuomba collabo Diamond, mimi si msanii mchanga (Exclusive Audio)

Msanii mkongwe wa Uganda, Jose Chameleone, amekanusha ripoti zilizoandikwa kwenye mtandao wa BigEye wa Uganda kuwa amemuomba Diamond Platnumz wafanye collabo. Chameleone ameiambia Bongo5 kuwa application ya Mziiki ambayo Diamond ni balozi wake wa Tanzania ipo kwenye mazungumzo naye ili kumfanya balozi wake wa Uganda na hivyo ilimuomba afanye wimbo na Diamond kama anthem ya […]

 

11 years ago

Bongo5

Exclusive Audio: Diamond akirap kwenye beat ya ‘Show Me’ (Kid Ink f/ Chris Brown)

Kabla ya kutoka na ‘Kamwambie’ na kisha kufuata na hits nyingi mfululizo, Diamond alikuwa rapper. Na katika kuthibitisha kuwa bado anaweza kuchana, hitmaker huyo ameitumia beat ya wimbo ‘Show Me’ wa Kid Ink f/ Chris Brown kwenye kipindi cha The Hitlist cha Choice FM na kuwaacha watangazaji wa show hiyo mdomo wazi. Msikilize mwenyewe hapo […]

 

9 years ago

MillardAyo

Wanaomtaka Joh Makini kimataifa? Diamond na Nahreel kuhusu ‘Nana’? Simba ya Mr. Blue na Diamond? (+Audio)

Kama ulipitwa na stori kubwa tatu kwenye 255 iliyosikika kwenye show ya XXL Clouds FM, ninazo hapa za Joh Makini, Diamond na Afande Sele. Joh Makini kwenye level za kimataifa sasahivi… rapper huyo amesema kuna majina makubwa ya wanaotaka collabo ila hawezi kuyataja japo kwenye majina hayo yupo Davido pia kutoka Nigeria. Nahreel aliwahi kuzungumzia […]

The post Wanaomtaka Joh Makini kimataifa? Diamond na Nahreel kuhusu ‘Nana’? Simba ya Mr. Blue na Diamond? (+Audio) appeared first on...

 

9 years ago

BBCSwahili

Timu 16 kuchuana CHAN 2016 - Rwanda .

Rais wa Shirikisho la Soka Rwanda Vincent Nzamwita amesema viwanja vitakavyotumika kwa mashindano ya CHAN, vipo tayari.

 

9 years ago

BBCSwahili

Atiati katika timu ya baiskeli ya Rwanda

Waendeshaji baiskeli wa timu ya taifa ya Rwanda watishia kususia mashindano ya kimataifa ya 'tour of Rwanda' wakidai kiinuamgongo

 

11 years ago

GPL

EXCLUSIVE: MGANGA WA DIAMOND YAMEMKUTA

Stori: CHANDE ABDALLAH NA DENIS MTIMA
KIBAO kimegeuka! Yule mganga anayejitapa kumtengenezea nyota ya mvuto staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ustadh Yahya yamemkuta mazito.
Habari za uhakika zilizolifikia gazeti hili zinaeleza kuwa jamaa huyo anahenyeshwa na polisi akiwa mahabusu kufuatia madai ya wizi wa gari aina Toyota Rav 4 ‘milango mitatu’.
Kwa mujibu wa chanzo makini,...

 

10 years ago

Michuzi

SNEAK PREVIEW: EXCLUSIVE DIAMOND PLATNUMZ LIKE NEVER BEFORE

Dont Miss Diamond Platnumz One On One with Sporah this Tuesday 30th Sep.EUROPE: At 8:00pm(GMT) On VOXAFRICA TV SKY CHANNEL 218AFRICA: At 8:00pm(GMT) On DSTV CHANNEL 191REPEAT: Thursday at 8:00am(GMT)Friday at 05:15pm(GMT)Sunday at 6:00pm(GMT)
TANZANIA: ON CLOUDS TV Jumanne Saa Nne UsikuMARUDIO :Ijumaa Saa Nane Mchana NaJumapili Saa Sita Na Nusu Mchana.
DONT MISS OUT THIS TUESDAY 30th SEP 2014.    https://www.youtube.com/watch?v=4bd8e7EkNn4
THE SPORAH SHOW TEAM  Tel: 0044 (0) 2075360382Mob: 0044...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani