Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EXCLUSIVE: MGANGA WA DIAMOND YAMEMKUTA

Stori: CHANDE ABDALLAH NA DENIS MTIMA
KIBAO kimegeuka! Yule mganga anayejitapa kumtengenezea nyota ya mvuto staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ustadh Yahya yamemkuta mazito.
Habari za uhakika zilizolifikia gazeti hili zinaeleza kuwa jamaa huyo anahenyeshwa na polisi akiwa mahabusu kufuatia madai ya wizi wa gari aina Toyota Rav 4 ‘milango mitatu’.
Kwa mujibu wa chanzo makini,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MGANGA WA DIAMOND JELA MIAKA 7

Stori: Richard Bukos/Amani
Yule mganga aliyejitapa kumtengenezea nyota ya mvuto staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ustadh Yahya amehukumiwa kifungo cha miaka saba (7) jela baada ya kukutwa na hatia katika kisa cha kuchanganya akihusishwa na wizi wa gari. Ustadh Yahya akiwa chini ya ulinzi. TUJIUNGE MAHAKAMA YA WILAYA YA ILALA
Habari za uhakika zilieleza kwamba aliyehitimisha kesi hiyo ni...

 

11 years ago

GPL

YAMEMKUTA!

Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela
Yelewiii!  Dereva ‘suka’ wa kampuni moja binafsi yenye makao yake makuu Kurasini jijini Dar (jina halikupatikana) Jumapili iliyopita alinaswa akifanya mapenzi na changudoa  ndani ya gari la kampuni hiyo, kikosi cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) kilishuhudia tukio hilo laivu. Dereva huyo akiwa na mwenzake walifika maeneo ya Mbagala Zakhem saa 7 usiku wa Februari 16,...

 

10 years ago

Michuzi

SNEAK PREVIEW: EXCLUSIVE DIAMOND PLATNUMZ LIKE NEVER BEFORE

Dont Miss Diamond Platnumz One On One with Sporah this Tuesday 30th Sep.EUROPE: At 8:00pm(GMT) On VOXAFRICA TV SKY CHANNEL 218AFRICA: At 8:00pm(GMT) On DSTV CHANNEL 191REPEAT: Thursday at 8:00am(GMT)Friday at 05:15pm(GMT)Sunday at 6:00pm(GMT)
TANZANIA: ON CLOUDS TV Jumanne Saa Nne UsikuMARUDIO :Ijumaa Saa Nane Mchana NaJumapili Saa Sita Na Nusu Mchana.
DONT MISS OUT THIS TUESDAY 30th SEP 2014.    https://www.youtube.com/watch?v=4bd8e7EkNn4
THE SPORAH SHOW TEAM  Tel: 0044 (0) 2075360382Mob: 0044...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, ZARI WAFANYIWA EXCLUSIVE INTERVIEW CLOUDS TV/RADIO

Diamond na mpenzi wake Zari katika Exclusive One on One Interview ya Power Breakfast ya Clouds FM na 360 ya Clouds TV. Diamond akimuweka sawa mpenzi wake. Mtangazani mwenye jina kubwa wa Radio Clouds FM, Gerald Hando 'Mzee Mnoko' (kushoto) na Edson Kamoga wa 360 ya Clouds TV (kulia) wakiendelea kufanyia…

 

10 years ago

Bongo5

Diamond ameenda Rwanda na timu ya watu 22 (Exclusive Audio)

Diamond Platnumz amesafiri na timu ya watu 22 kwaajili ya show yake ya mwaka mpya jijini Kigali Rwanda. Diamond akiongea na waandishi wa habari jijini Kigali Kwenye timu hiyo ofcourse yumo first lady Zari the Bosslady, mameneja wake, bodyguard, DJ, wapiga picha wake na dancers. Staa huyo anatarajiwa kutumbuiza kwenye matamasha mawili ambayo ni pamoja […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani