Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ROMY JONES (Diamond Platnumz DJ) Exclusive On The Sporah Show

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Global Publishers

Diamond, Romy Jones watibuana

uamed Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’,.

MUSA MATEJA
Kimenuka! Mbongo-Fleva mwenye taito kubwa Afrika kwa sasa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, anadaiwa kutibuana na kaka yake, Romy Jones ‘Romy Jons’, kiasi kwamba hata mawasiliano ya simu hayapo kama ilivyokuwa zamani.

Hivi karibuni chanzo makini kimeliambia gazeti hili kwamba, Diamond na kaka yake huyo ambaye ni mtoto wa mama yake mdogo wamefikia hatua ya kutoongea na hata kuambatana katika kazi zao kama ilivyokuwa mwanzo ambapo Romy Jons ndiye...

 

10 years ago

Vijimambo

MOSES IYOBO, RAMA TONSA NA DJ ROMY JONES WAWASILI WASHINGTON, DC, DIAMOND KUWASILI LEO

 kutoka kushoto ni Dj Romy Jones, Moses Iyobo na Rama Tonsa wakisubili usafiri na huku wakijaribu kupata mawasiliano mara tu baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia tayari kwa kuwasha moto leo kwenye sherehe ya Uhuru itakayofanyika Sheraton ya Downtown Silver Spring. Moses Iyobo, Dj Romy Jones wakiwa uwanja wa ndege wa kimataifa mara tu baada ya kuwasili siku ya Ijumaa Desemba 5, 2014 kwa ajili ya sherehe ya Uhuru itakayofanyika leo Jumamosi...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

DIAMOND, ROMY JONES TANGU 'LONG TIME' KITAMBO

Na Musa Mateja
Kwa sasa tunapozungumzia mastaa wa muziki wanaofanya vizuri hapa Bongo, jina la Nasibu Abdul ‘Diamond’ lazima litachukua nafasi ya kwanza kisha wengine watafuata. Ni kijana anayejituma sana na jitihada zake hizo zimemfanya awe maarufu barani Afrika. Picha tofauti wakati wa utoto wao. Nyuma ya mafanikio ya Diamond wapo watu wengi. Mwenyewe amekuwa akimshukuru sana mama yake, Sanura Kassim...

 

11 years ago

GPL

A CANDID INTERVIEW WITH SPORAH NJAU (FOUNDER AND HOST OF THE SPORAH SHOW)

Sporah Njau-The Host To a large extent, and for all the right reasons, we all have dreams and aspirations. We are constantly encouraged to dare, dream big and seize any great opportunity that jot in our lives. Dreaming and acting on our dreams or opportunities is only sure way for the complete circle of manifestation.   A few years ago, a young lady from Northern Tanzania, a student/ immigrant in the United Kingdom, saw an...

 

10 years ago

Michuzi

SNEAK PREVIEW: EXCLUSIVE DIAMOND PLATNUMZ LIKE NEVER BEFORE

Dont Miss Diamond Platnumz One On One with Sporah this Tuesday 30th Sep.EUROPE: At 8:00pm(GMT) On VOXAFRICA TV SKY CHANNEL 218AFRICA: At 8:00pm(GMT) On DSTV CHANNEL 191REPEAT: Thursday at 8:00am(GMT)Friday at 05:15pm(GMT)Sunday at 6:00pm(GMT)
TANZANIA: ON CLOUDS TV Jumanne Saa Nne UsikuMARUDIO :Ijumaa Saa Nane Mchana NaJumapili Saa Sita Na Nusu Mchana.
DONT MISS OUT THIS TUESDAY 30th SEP 2014.    https://www.youtube.com/watch?v=4bd8e7EkNn4
THE SPORAH SHOW TEAM  Tel: 0044 (0) 2075360382Mob: 0044...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani