Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond, Romy Jones watibuana

uamed Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’,.

MUSA MATEJA
Kimenuka! Mbongo-Fleva mwenye taito kubwa Afrika kwa sasa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, anadaiwa kutibuana na kaka yake, Romy Jones ‘Romy Jons’, kiasi kwamba hata mawasiliano ya simu hayapo kama ilivyokuwa zamani.

Hivi karibuni chanzo makini kimeliambia gazeti hili kwamba, Diamond na kaka yake huyo ambaye ni mtoto wa mama yake mdogo wamefikia hatua ya kutoongea na hata kuambatana katika kazi zao kama ilivyokuwa mwanzo ambapo Romy Jons ndiye...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MOSES IYOBO, RAMA TONSA NA DJ ROMY JONES WAWASILI WASHINGTON, DC, DIAMOND KUWASILI LEO

 kutoka kushoto ni Dj Romy Jones, Moses Iyobo na Rama Tonsa wakisubili usafiri na huku wakijaribu kupata mawasiliano mara tu baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia tayari kwa kuwasha moto leo kwenye sherehe ya Uhuru itakayofanyika Sheraton ya Downtown Silver Spring. Moses Iyobo, Dj Romy Jones wakiwa uwanja wa ndege wa kimataifa mara tu baada ya kuwasili siku ya Ijumaa Desemba 5, 2014 kwa ajili ya sherehe ya Uhuru itakayofanyika leo Jumamosi...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, ROMY JONES TANGU 'LONG TIME' KITAMBO

Na Musa Mateja
Kwa sasa tunapozungumzia mastaa wa muziki wanaofanya vizuri hapa Bongo, jina la Nasibu Abdul ‘Diamond’ lazima litachukua nafasi ya kwanza kisha wengine watafuata. Ni kijana anayejituma sana na jitihada zake hizo zimemfanya awe maarufu barani Afrika. Picha tofauti wakati wa utoto wao. Nyuma ya mafanikio ya Diamond wapo watu wengi. Mwenyewe amekuwa akimshukuru sana mama yake, Sanura Kassim...

 

10 years ago

Vijimambo

HISTORIA YA MAISHA YA KING DIAMOND PLUTNUMZ NA DJ WAKE ROME JONES

Na Musa MatejaKwa sasa tunapozungumzia mastaa wa muziki wanaofanya vizuri hapa Bongo, jina la Nasibu Abdul ‘Diamond’ lazima litachukua nafasi ya kwanza kisha wengine watafuata. Ni kijana anayejituma sana na jitihada zake hizo zimemfanya awe maarufu barani Afrika.Nyuma ya mafanikio ya Diamond wapo watu wengi. Mwenyewe amekuwa akimshukuru sana mama yake, Sanura Kassim ‘Sandra’ kwa malezi aliyompa hadi kufikia hapo alipo leo. Ukimuacha mama yake, wapo watu wengine wengi lakini leo nataka kukupa...

 

11 years ago

GPL

LINAH, MCHUMBA’KE WATIBUANA!

Stori: Musa Mateja
MCHELE ulionyooka! Staa wa Bongo Fleva, mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni, Estelina Sanga ‘Linah’ na mchumba’ke, Nangari Kombo wanadaiwa kutibuana, kisa kikidaiwa ni maneno ya wanafiki yasiyokuwa na ukweli. Staa wa Bongo Fleva, mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni, Estelina Sanga ‘Linah’ Habari za chini ya kapeti zilinyetisha kwamba mtiti kati ya wawili hao ulijiri...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ryan Jones astaafu raga.

Nahodha wa zamani wa Wales Ryan Jones amestaafu kucheza mchezo wa raga kutokana na ushauri wa madaktari.

 

10 years ago

BBC

Jones one of 59 in for Ivory Coast job

Ivory Coast name all 59 applicants to become national manager and ex-Sheffield Wednesday boss Dave Jones is on the list.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Wyre Ft. Khaligraph Jones – Hotter

Screen-Shot-2015-12-12-at-11.39.14-AM

This is Wyre’s 2nd single off the LION Album. He combines forces with one of Kenya’s finest HipHop artists, Khaligraph Jones. Once again Dancehall meets HipHop in this chune! Audio produced by Mwax the Herbalist and Video by Picha Moja Films.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

TheCitizen

GAVIN JONES : Why reforms don’t work so well in Italy

When Italian Public Administration Minister Marianna Madia tried to take advantage of a reform that should have allowed her to change her residency online, the local council said it couldn’t be done.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani