Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HISTORIA YA MAISHA YA KING DIAMOND PLUTNUMZ NA DJ WAKE ROME JONES

Na Musa MatejaKwa sasa tunapozungumzia mastaa wa muziki wanaofanya vizuri hapa Bongo, jina la Nasibu Abdul ‘Diamond’ lazima litachukua nafasi ya kwanza kisha wengine watafuata. Ni kijana anayejituma sana na jitihada zake hizo zimemfanya awe maarufu barani Afrika.Nyuma ya mafanikio ya Diamond wapo watu wengi. Mwenyewe amekuwa akimshukuru sana mama yake, Sanura Kassim ‘Sandra’ kwa malezi aliyompa hadi kufikia hapo alipo leo. Ukimuacha mama yake, wapo watu wengine wengi lakini leo nataka kukupa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Clarence B. Jones, mshauri wa Dr. Martin Luther King, atembelea White House

President Barack Obama meets with Clarence Jones (2)Rais Barack Obama akiongea na Clarence Jones, ambaye aliwahi kufanyakazi na Martin Luther King, Jr. kwenye hotuba ya “I Have a Dream" , siku ya Jumatatu, Feb. 2, 2015. siku Clarence Jones, alipotembelea White House (Picha kwa hisani ya  White House Photo na Pete Souza)

 

9 years ago

Global Publishers

Diamond, Romy Jones watibuana

uamed Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’,.

MUSA MATEJA
Kimenuka! Mbongo-Fleva mwenye taito kubwa Afrika kwa sasa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, anadaiwa kutibuana na kaka yake, Romy Jones ‘Romy Jons’, kiasi kwamba hata mawasiliano ya simu hayapo kama ilivyokuwa zamani.

Hivi karibuni chanzo makini kimeliambia gazeti hili kwamba, Diamond na kaka yake huyo ambaye ni mtoto wa mama yake mdogo wamefikia hatua ya kutoongea na hata kuambatana katika kazi zao kama ilivyokuwa mwanzo ambapo Romy Jons ndiye...

 

10 years ago

Vijimambo

MOSES IYOBO, RAMA TONSA NA DJ ROMY JONES WAWASILI WASHINGTON, DC, DIAMOND KUWASILI LEO

 kutoka kushoto ni Dj Romy Jones, Moses Iyobo na Rama Tonsa wakisubili usafiri na huku wakijaribu kupata mawasiliano mara tu baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia tayari kwa kuwasha moto leo kwenye sherehe ya Uhuru itakayofanyika Sheraton ya Downtown Silver Spring. Moses Iyobo, Dj Romy Jones wakiwa uwanja wa ndege wa kimataifa mara tu baada ya kuwasili siku ya Ijumaa Desemba 5, 2014 kwa ajili ya sherehe ya Uhuru itakayofanyika leo Jumamosi...

 

10 years ago

Michuzi

HISTORIA YAANDIKWA MJINI ADDIS ABABA- WHEN PRINCE OF SWAHILI BLUES MET THE LEGENDARY KING OF ETHIO JAZZ

 Hannival akipapasa zeze la Kihabeshi Timu kamili ya Ethio-Swahili  Fusion wakishambulia Juma Setumbi akipongezwa na mkongwe Dr Mulatu
Shabiki kutoka Brazil akimpongeza Dr Mulatu Leo Mkanyia akimkaribisha rasmi King of Ethio Jazz Dr Mulatu Dr Mulatu na Leo wakishambulia jukwaa Wadada wa Kihabeshi wakitwanga Swahili Blues kihabeshi habeshi
Dr Mulatu na Leo wakishambulia jukwaaMkongwe Dr Mulatu akimtoa kamasi Leo

Siku ya Jumamosi ya tarehe 4 April 2015 mjini Addis Ababa, historia iliandikwa pale...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, ROMY JONES TANGU 'LONG TIME' KITAMBO

Na Musa Mateja
Kwa sasa tunapozungumzia mastaa wa muziki wanaofanya vizuri hapa Bongo, jina la Nasibu Abdul ‘Diamond’ lazima litachukua nafasi ya kwanza kisha wengine watafuata. Ni kijana anayejituma sana na jitihada zake hizo zimemfanya awe maarufu barani Afrika. Picha tofauti wakati wa utoto wao. Nyuma ya mafanikio ya Diamond wapo watu wengi. Mwenyewe amekuwa akimshukuru sana mama yake, Sanura Kassim...

 

9 years ago

GPL

DIAMOND: KAWEKA HISTORIA ULAYA

Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Andrew Carlos na Musa Mateja OKTOBA 25, mwaka huu ilikuwa ni moja kati ya siku za kihistoria nchini kwa Watanzania wote kujumuika na kupiga kura za kuwachagua wabunge, madiwani na rais. Siku hiyohiyo pia katika Jiji la Milan, Italia kulikuwa na tukio la kihistoria kwa staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ambaye alikuwa akiiwakilisha Tanzania na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani