Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND: KAWEKA HISTORIA ULAYA

Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Andrew Carlos na Musa Mateja OKTOBA 25, mwaka huu ilikuwa ni moja kati ya siku za kihistoria nchini kwa Watanzania wote kujumuika na kupiga kura za kuwachagua wabunge, madiwani na rais. Siku hiyohiyo pia katika Jiji la Milan, Italia kulikuwa na tukio la kihistoria kwa staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ambaye alikuwa akiiwakilisha Tanzania na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Usiku wa Dec 21 Ozil kaweka rekodi hii, hakuna mchezaji yoyote wa Ligi 5 kubwa Ulaya aliyeifikia msimu huu …

Usiku wa December 21 klabu ya Arsenal inayofundishwa na kocha wa kifaransa Arsene Wenger iliingia katika headlines za ushindi baada ya kuibuka na ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Manchester City katika dimba la Emirates. Magoli ya Arsenal yalifungwa na Theo Walcott na Oliver Giroud, ila stori kubwa haikuwa ushindi wa Arsenal. Kwani katika mitandao […]

The post Usiku wa Dec 21 Ozil kaweka rekodi hii, hakuna mchezaji yoyote wa Ligi 5 kubwa Ulaya aliyeifikia msimu huu … appeared first on...

 

11 years ago

BBCSwahili

Google kufuta historia ya watu Ulaya

Kampuni ya Google inatarajiwa kuzindua huduma ambayo, itawawezesha raia wa Ulaya kuomba viambatanishi vya mitandao yenye taarifa kuhusu maisha yao kufutwa

 

11 years ago

Michuzi

DIAMOND AWEKA HISTORIA NEW JERSEY

 All Star Club Elizabeth New Jersey Diamond akikamua licha ya show kuchelewa kuanza na wapenzi wa Diamond kushikwa na jazba wakitaka aendelee lakini ikashindika kutokana na muda wa kufunga club kufika.   AJ nae akifanya yake baada ya kupewa nafasi ya ufunguzi katika show hiyo iliyofanyika New Jersey. AJ Ubao na Dirty Hary wakishambulia jukwaa kwenye show ya kufubgua pazia iliyoanyika New Jersey na baadae Prezidaa wa Wasafi, Diamond Plutnumz kuwapagawisha mashabiki wake wa ukanda wa pwani...

 

5 years ago

Bongo5

Diamond kuandika historia tena

Diamond ametangaza siku ambayo ataachia manukato yake ya mapya yajulikanayo kama Chibu Perfume.

Hatua hiyo imekua ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wake wengi tangu alipoweka hadharani ujio wa biashara hiyo mwezi Novemba mwaka jana.

Kupitia mtandao wa Istagram, Hitmaker huyo wa ‘Marry You’ ametaja siku ya kuingiza sokoni kwa perfume, “The Only Scent you deserve, @chibuperfume by Diamond Platnumz coming out this friday!! #TheScentYouDeserve.”

Endapo hilo litafanikiwa Diamond ataingia kwenye...

 

10 years ago

Mwananchi

Diamond, Vannesa waandika historia

Huenda yakawa ni mafanikio ya kufungia mwaka katika sekta ya burudani, baada ya Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Vanessa Mdee ‘Vee Money’, usiku wa kuamkia jana kutunukiwa tuzo zilizowataja kuwa ni wasanii bora Afrika Mashariki.

 

9 years ago

Global Publishers

Diamond aweka historia tena Dar Live

IMG_7348Diamond Platnumz akisema na mashabiki wake waliofurika Dar Live usiku wa kuamkia leo

IMG_7989Diamond akicheza na mashabiki wake waliofurika Dar Live.

IMG_7359

Akicheza na wacheza shoo wake wa kike.

IMG_1416Nyomi ya kufa mtu ndani ya Dar Live wakiendelea kumshangilia Diamond.

IMG_7371Wacheza shoo wa kike wa Diamond wakifanya yao.

IMG_7324Diamond akiwachombeza mashabiki.

IMG_7325Diamond akicheza na wacheza shoo wake wa kiume.

IMG_7344Akiongea na mashabiki.

IMG_7377

IMG_7379 IMG_7383Diamond akifanya yake na wacheza shoo wake.IMG_7390Diamond baada ya kuwakonga nyoyo mashabiki...

 

9 years ago

Global Publishers

10 years ago

GPL

SHOO YA DIAMOND DAR LIVE YAACHA HISTORIA

Mwanamuziki Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akipozi katika picha na mashabiki baada ya shoo ya nguvu Dar Live. Diamond akiwa na tuzo pamoja na cheti baada ya kuibuka mshindi wa shindano la Ijumaa Sexiest Bachelor.…

 

9 years ago

Global Publishers

Diamond: Nitaandika historia mpya Dar Live

Funga Mwaka Concert 2015 (10)
Diamond akiwasalimia mashabiki wake, juzi katika  eneo la Karume, Ilala jijini Dar.

Musa Mateja

ZIKIWA zimesalia saa kadhaa kufika Sikukuu ya Krismasi ambapo ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar kutakuwa na burudani kabambe, staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, amesema kuwa siku hiyo ataandika historia mpya.

Akizungumza na waandishi wa habari eneo la Karume, Ilala jijini Dar, Diamond ambaye siku hiyo ataongozana na madansa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani