Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Google kufuta historia ya watu Ulaya

Kampuni ya Google inatarajiwa kuzindua huduma ambayo, itawawezesha raia wa Ulaya kuomba viambatanishi vya mitandao yenye taarifa kuhusu maisha yao kufutwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

DIAMOND: KAWEKA HISTORIA ULAYA

Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Andrew Carlos na Musa Mateja OKTOBA 25, mwaka huu ilikuwa ni moja kati ya siku za kihistoria nchini kwa Watanzania wote kujumuika na kupiga kura za kuwachagua wabunge, madiwani na rais. Siku hiyohiyo pia katika Jiji la Milan, Italia kulikuwa na tukio la kihistoria kwa staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ambaye alikuwa akiiwakilisha Tanzania na...

 

10 years ago

GPL

UMOJA WA ULAYA WAISHTAKI KAMPUNI YA GOOGLE

Mkurugenzi Mkuu na Mwanzilishi wa Kampuni yaGoogle Inc. Lawrence "Larry" Page. Muungano wa nchi za Ulaya umeishtaki rasmi kampuni ya inayojihusisha na masuala ya kimtandao ya Google kwa matumizi mabaya ya soko lake kufuatia uchunguzi wa miaka mitano uliyofanya na taasisi za Muungano huo. Kamishna wa ushindani katika muungano huo wa Ulaya Margrethe Westager ameeleza wasiwasi wake kutokana na ripoti ya uchunguzi huo kwamba, kampuni...

 

9 years ago

BBCSwahili

Polisi Ulaya washikilia watu 17

Polisi katika nchi sita za Ulaya wamewakamata watu 17, kwa tuhuma za kupanga mashambulizi.

 

9 years ago

BBCSwahili

WHO yasema watu wengi Ulaya ni wanene

Shirika la Afya Duniani limesema watu wengi Ulaya ni wanene kupita kiasi na kuonya kwamba vijana wa sasa huenda wasiwe na maisha marefu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu maarufu waanikwa mitandaoni ulaya

Watu maarufu huko barani ulaya picha zao zaanikwa mitandaoni

 

9 years ago

Bongo5

Cassper Nyovest aweka historia kwa kuwa msanii wa kwanza wa Afrika Kusini kujaza ukumbi wa watu 20,000

cassper soldoutRapper wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest ameweka historia kwa kuwa msanii wa kwanza wa nchi hiyo kujaza ukumbi wa The Dome ulioko jijini Johannesburg kwenye show aliyoandaa mwenyewe iliyofanyika Jumamosi Oct.31. Cappser pia ndiye msanii wa kwanza wa Afrika Kusini kuutumia ukumbi huo wenye uwezo wa kujaza watu 20,000 ambao hutumika zaidi kwenye show zinazokuwa […]

 

5 years ago

Android Authority

Google Pixel 4a video leak doesn't leave much for Google to announce

Google Pixel 4a video leak doesn't leave much for Google to announce  Android AuthorityGoogle Pixel 4a stars in hands-on video review, most specs revealed - GSMArena.com news  GSMArena.comLeaked Pixel 4a video review reveals specs: packs Snapdragon 730 soc, 3080mAh battery and more  gizmochinaPixel 4a leaks in first hands-on video confirming Snapdragon 730, 6GB RAM, more [Video]  9to5GoogleGoogle Pixel 4a Spied In Hands-On Video Rocking 5.8-Inch Full HD+ Display And Snapdragon 730  Hot...

 

5 years ago

Android Authority

Google bans 600 apps from Google Play Store

Google bans 600 apps from Google Play Store  Android AuthorityGoogle Pixel 5 will support reverse wireless charging, hidden Android 11 code reveals - GSMArena.com news  GSMArena.comThe most interesting new Android 11 features so far  The VergeAndroid 11 Developer Preview is here, install it now!  Android AuthorityAndroid 11 is now available in Developer Preview form, here's what's new - GSMArena.com news  GSMArena.comView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Android Authority

Google: Don't sideload Google apps on Huawei phones

Google: Don't sideload Google apps on Huawei phones  Android AuthorityGoogle addresses Huawei ban and warns customers not to sideload apps like Gmail and YouTube  The VergeGoogle Warns Customers Against Sideloading Android Apps on ‘Uncertified’ Huawei Phones  Sputnik InternationalAndroid App Giant With Hundreds Of Millions Of Users Wiped From Play Store: Here’s What You Do Now  ForbesGoogle is cracking down on Android apps that track your location in the background  The VergeView Full...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani