UMOJA WA ULAYA WAISHTAKI KAMPUNI YA GOOGLE

Mkurugenzi Mkuu na Mwanzilishi wa Kampuni yaGoogle Inc. Lawrence "Larry" Page. Muungano wa nchi za Ulaya umeishtaki rasmi kampuni ya inayojihusisha na masuala ya kimtandao ya Google kwa matumizi mabaya ya soko lake kufuatia uchunguzi wa miaka mitano uliyofanya na taasisi za Muungano huo. Kamishna wa ushindani katika muungano huo wa Ulaya Margrethe Westager ameeleza wasiwasi wake kutokana na ripoti ya uchunguzi huo kwamba, kampuni...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO ZA MABALOZI WA UMOJA WA JAMHURI YA KOREA, UMOJA WA ULAYA NA PALESTINA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
11 years ago
MichuziTANZANIA YAONGOZA MKUTANO WA PAMOJA KATI YA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA (AU) NA KAMATI YA SIASA NA USALAMA YA UMOJA WA ULAYA (EU) MJINI BRUSSELS, UBELGIJI
11 years ago
BBCSwahili30 May
Google kufuta historia ya watu Ulaya
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Kampuni ya Google yashtakiwa
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Wanasayansi wa kampuni ya Google: Wabuni magari yasiyotumia dereva
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
Mchunguzi wa Umoja wa Ulaya aachiliwa
10 years ago
BBCSwahili25 Aug
Umoja wa Ulaya na tatizo la wahamiaji
10 years ago
Habarileo02 Apr
Umoja wa Ulaya wavutiwa na Kigoma
MABALOZI kutoka Umoja wa Ulaya (EU) wameeleza kuridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya wananchi, inayofadhiliwa na umoja huo na wameahidi kuongeza misaada yao zaidi kwa mkoa wa Kigoma.
10 years ago
Mtanzania25 Sep
Waangalizi Umoja wa Ulaya wawasili
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
UJUMBE wa waangalizi 34 wa uchaguzi kutoka Umoja wa Ulaya (EU), wamewasili Dar es Salaam kwa ajili ya kufuatilia mwenendo wa uchaguzi mkuu.
Waangalizi hao wanaungana na kundi kuu la EU EOM la watathmini wa uchaguzi ambao waliwasili Septemba 11, mwaka huu.
Msafara wa EU EOM nchini Tanzania, utaongozwa na Mbunge wa Bunge la Ulaya kutoka nchini Uholanzi, Judith Sargentini.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari mjini Dar es Salaam jana na Ofisa Habari wa...