Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanasayansi wa kampuni ya Google: Wabuni magari yasiyotumia dereva

Inawezekana kuwa na magari yasiyokuwa na dereva? Kampuni ya mawasiliano ya kompyuta ya Google inasema ndiyo. Magari hayo yapo na yataongozwa kwa kutumia kompyuta pekee, huku yakiwa na uwezo mkubwa wa kuepuka au kutosababisha ajali barabarani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Magari ya google yasiyo na dereva

Magari ya google yasiyo na dereva. Je yataendeshwa vipi?

 

10 years ago

BBCSwahili

Magari yasio na dereva kutumika UK

Magari hayo yamezinduliwa katika maeneo manne nchini Uingereza ambapo serikali inaangazia teknologia hiyo mpya

 

11 years ago

BBCSwahili

Magari bila ya dereva Uingereza

Uingereza itaruhusu magari bila ya dereva katika miezi 6 ijayo

 

10 years ago

BBCSwahili

Magari yasio na dereva kuendeshwa UK

Serikali inataka Uingereza kutambulika ulimwenguni kama kiongozi wa teknolojia ya magari yasiokuwa na dereva.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magari yaua dereva wa bajaji, pikipiki

DEREVA wa bajaj, Frank Satrun (26), mkazi wa Mikocheni jijini Dar es Salaam, amefariki dunia juzi baada ya kugongwa na gari. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema...

 

11 years ago

BBCSwahili

Google kuunda magari yanayojiendesha

Kampuni ya teknolojia ya Google imesema kuwa itaanza kuunda magari yanayojiendehsa yenyewe.

 

11 years ago

GPL

GOOGLE WAJA NA KITU KIPYA, WATENGENEZA MAGARI YANAYOJIENDESHA YENYEWE

Gari linalotembea bila kuwa na dereva kutoka kampuni ya Google. Kampuni ya Teknologia ya Google imetengeneza magari yanayojiendesha yenyewe.
Kampuni hiyo ambayo imejijengea sifa kwa njia ya kipekee ya utendaji kazi wake katika sekta ya kiteknolojia imekuwa ikikarabati magari ya kawaida. Lina uwezo wa kumpeleka abiria bila kuwa na dereva. Gari hilo la kiteknolojia halitakuwa na usukani.
Google imesambaza picha ya gari...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kampuni ya Google yashtakiwa

Muungano wa Ulaya umeishtaki rasmi kampuni ya google kwa utumizi m'baya wa soko lake kufuatia uchunguzi wa miaka mitano.

 

10 years ago

GPL

UMOJA WA ULAYA WAISHTAKI KAMPUNI YA GOOGLE

Mkurugenzi Mkuu na Mwanzilishi wa Kampuni yaGoogle Inc. Lawrence "Larry" Page. Muungano wa nchi za Ulaya umeishtaki rasmi kampuni ya inayojihusisha na masuala ya kimtandao ya Google kwa matumizi mabaya ya soko lake kufuatia uchunguzi wa miaka mitano uliyofanya na taasisi za Muungano huo. Kamishna wa ushindani katika muungano huo wa Ulaya Margrethe Westager ameeleza wasiwasi wake kutokana na ripoti ya uchunguzi huo kwamba, kampuni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani