Wanasayansi wa kampuni ya Google: Wabuni magari yasiyotumia dereva
Inawezekana kuwa na magari yasiyokuwa na dereva? Kampuni ya mawasiliano ya kompyuta ya Google inasema ndiyo. Magari hayo yapo na yataongozwa kwa kutumia kompyuta pekee, huku yakiwa na uwezo mkubwa wa kuepuka au kutosababisha ajali barabarani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
10 years ago
BBCSwahili14 Feb
Magari yasio na dereva kutumika UK
Magari hayo yamezinduliwa katika maeneo manne nchini Uingereza ambapo serikali inaangazia teknologia hiyo mpya
11 years ago
BBCSwahili30 Jul
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
Magari yasio na dereva kuendeshwa UK
Serikali inataka Uingereza kutambulika ulimwenguni kama kiongozi wa teknolojia ya magari yasiokuwa na dereva.
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Magari yaua dereva wa bajaji, pikipiki
DEREVA wa bajaj, Frank Satrun (26), mkazi wa Mikocheni jijini Dar es Salaam, amefariki dunia juzi baada ya kugongwa na gari. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema...
11 years ago
BBCSwahili28 May
Google kuunda magari yanayojiendesha
Kampuni ya teknolojia ya Google imesema kuwa itaanza kuunda magari yanayojiendehsa yenyewe.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MjUiWVyv*JLUXV5pDZ3a7R9jIXFmCO688apsIAg9ku-b1EWEtMsKjyejEpFGU9yo7aG1FyXHQYh2sT6iveBdn4K0bmmf-5ph/1.jpg)
GOOGLE WAJA NA KITU KIPYA, WATENGENEZA MAGARI YANAYOJIENDESHA YENYEWE
Gari linalotembea bila kuwa na dereva kutoka kampuni ya Google. Kampuni ya Teknologia ya Google imetengeneza magari yanayojiendesha yenyewe.
Kampuni hiyo ambayo imejijengea sifa kwa njia ya kipekee ya utendaji kazi wake katika sekta ya kiteknolojia imekuwa ikikarabati magari ya kawaida. Lina uwezo wa kumpeleka abiria bila kuwa na dereva. Gari hilo la kiteknolojia halitakuwa na usukani.
Google imesambaza picha ya gari...
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Kampuni ya Google yashtakiwa
Muungano wa Ulaya umeishtaki rasmi kampuni ya google kwa utumizi m'baya wa soko lake kufuatia uchunguzi wa miaka mitano.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xkVCMRT4uG-m1zlRFjg29nkKg0plPb-U2efKCDocqmDR3NnQQ39yS7wwWc2cKHZ-djKVVT*aGeNjZUuokX8AbVXyU91RLBtg/ScreenShot20121211at13.42.57.jpg?width=650)
UMOJA WA ULAYA WAISHTAKI KAMPUNI YA GOOGLE
Mkurugenzi Mkuu na Mwanzilishi wa Kampuni yaGoogle Inc. Lawrence "Larry" Page. Muungano wa nchi za Ulaya umeishtaki rasmi kampuni ya inayojihusisha na masuala ya kimtandao ya Google kwa matumizi mabaya ya soko lake kufuatia uchunguzi wa miaka mitano uliyofanya na taasisi za Muungano huo. Kamishna wa ushindani katika muungano huo wa Ulaya Margrethe Westager ameeleza wasiwasi wake kutokana na ripoti ya uchunguzi huo kwamba, kampuni...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania