Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magari ya google yasiyo na dereva

Magari ya google yasiyo na dereva. Je yataendeshwa vipi?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wanasayansi wa kampuni ya Google: Wabuni magari yasiyotumia dereva

Inawezekana kuwa na magari yasiyokuwa na dereva? Kampuni ya mawasiliano ya kompyuta ya Google inasema ndiyo. Magari hayo yapo na yataongozwa kwa kutumia kompyuta pekee, huku yakiwa na uwezo mkubwa wa kuepuka au kutosababisha ajali barabarani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Magari bila ya dereva Uingereza

Uingereza itaruhusu magari bila ya dereva katika miezi 6 ijayo

 

10 years ago

BBCSwahili

Magari yasio na dereva kuendeshwa UK

Serikali inataka Uingereza kutambulika ulimwenguni kama kiongozi wa teknolojia ya magari yasiokuwa na dereva.

 

10 years ago

BBCSwahili

Magari yasio na dereva kutumika UK

Magari hayo yamezinduliwa katika maeneo manne nchini Uingereza ambapo serikali inaangazia teknologia hiyo mpya

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magari yaua dereva wa bajaji, pikipiki

DEREVA wa bajaj, Frank Satrun (26), mkazi wa Mikocheni jijini Dar es Salaam, amefariki dunia juzi baada ya kugongwa na gari. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema...

 

11 years ago

BBCSwahili

Google kuunda magari yanayojiendesha

Kampuni ya teknolojia ya Google imesema kuwa itaanza kuunda magari yanayojiendehsa yenyewe.

 

11 years ago

GPL

GOOGLE WAJA NA KITU KIPYA, WATENGENEZA MAGARI YANAYOJIENDESHA YENYEWE

Gari linalotembea bila kuwa na dereva kutoka kampuni ya Google. Kampuni ya Teknologia ya Google imetengeneza magari yanayojiendesha yenyewe.
Kampuni hiyo ambayo imejijengea sifa kwa njia ya kipekee ya utendaji kazi wake katika sekta ya kiteknolojia imekuwa ikikarabati magari ya kawaida. Lina uwezo wa kumpeleka abiria bila kuwa na dereva. Gari hilo la kiteknolojia halitakuwa na usukani.
Google imesambaza picha ya gari...

 

5 years ago

Michuzi

MBEYA: JESHI LA POLISI LAMSHIKILIA DEREVA WA BASI LA RAHABU KWA KUSABABISHA KIFO CHA DEREVA WA BAJAJI

AJALI YA GARI KUGONGA BAJAJI NA KUSABABISHA VIFO VYA WATU WAWILI.
JESHI la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Dereva AYOUB BALENZI MWANDWANGWA [36] Mkazi wa Ilomba Jijini Mbeya ambaye ni Dereva wa Basi la RAHABU linalofanya Safari zake kati ya Mbeya – Ifakara Morogoro kwa kosa la kusababisha vifo kwa dereva wa Bajaji ambaye bado hajafahamika jina na abiria wake aitwaye ESTER MBOJE [35] Mkazi wa Ilemi.Ni kwamba mnamo tarehe 24/03/2020 majira ya saa 06:15 asubuhi huko Ilomba, Kata ya Ilomba,...

 

5 years ago

Android Authority

Google Pixel 4a video leak doesn't leave much for Google to announce

Google Pixel 4a video leak doesn't leave much for Google to announce  Android AuthorityGoogle Pixel 4a stars in hands-on video review, most specs revealed - GSMArena.com news  GSMArena.comLeaked Pixel 4a video review reveals specs: packs Snapdragon 730 soc, 3080mAh battery and more  gizmochinaPixel 4a leaks in first hands-on video confirming Snapdragon 730, 6GB RAM, more [Video]  9to5GoogleGoogle Pixel 4a Spied In Hands-On Video Rocking 5.8-Inch Full HD+ Display And Snapdragon 730  Hot...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani