Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cassper Nyovest aweka historia kwa kuwa msanii wa kwanza wa Afrika Kusini kujaza ukumbi wa watu 20,000

cassper soldoutRapper wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest ameweka historia kwa kuwa msanii wa kwanza wa nchi hiyo kujaza ukumbi wa The Dome ulioko jijini Johannesburg kwenye show aliyoandaa mwenyewe iliyofanyika Jumamosi Oct.31. Cappser pia ndiye msanii wa kwanza wa Afrika Kusini kuutumia ukumbi huo wenye uwezo wa kujaza watu 20,000 ambao hutumika zaidi kwenye show zinazokuwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Cassper Nyovest apanga kujaza ukumbi unaochukua watu 20,000 Oct 1

October 31, rapper wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest amepania kuweka historia ya kwanza jijini Johannesburg. Rapper huyo ambaye jina lake halisi ni Refiloe Maele atafanya show yake kwenye ukumbi wa Ticketpro Dome unaochukua watu 20,000 kuthibitisha kuwa msanii wa nyumbani anaweza kuujaza. Lengo ni kuujaza ukumbi huo kuonesha uzalendo kwa kile anachodai kuwa wasouth hawaviungi […]

 

9 years ago

Bongo5

Wasouth wamponda Rais Jacob Zuma kwa kumpongeza Cassper Nyovest kufuatia kujaza ukumbi unaochukua watu 20,000

706x410q70ranjeni-heaviness

Pongezi za Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma kwa rapper Cassper Nyovest aliyeujaza ukumbi unaochukua watu 20,000 jijini Johannesburg, zimepokelewa kwa hisia tofauti.

706x410q70ranjeni-heaviness

Jumamosi iliyopita, Cassper aliweka rekodi ya kuwa msanii wa kwanza kuujaza ukumbi huo peke yake. Zuma aliamua kuungana na mamilioni ya mashabiki wa muziki nchini humo kutoa pongezi kwa hatua hiyo.

CSzsDLpUsAAZQ8P

Kwenye maelezo yake mafupi, Zuma alielezea kufurahishwa na hatua hiyo ambayo mara nyingi imekuwa ikifanikishwa na wasani wa nje...

 

9 years ago

Bongo5

Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ampongeza Cassper Nyovest kwa kuweka historia, itazame show iliyomletea heshima hiyo (Video)

casper the domeKudhihirisha kuwa rekodi aliyoiweka Cassper Nyovest, Jumamosi ya Oct.31,2015 hakikuwa kitu kidogo, Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amempongeza rapper huyo kwa kuwa msanii wa kwanza wa Afrika Kusini kujaza ukumbi wa The Dome (sold-out show) ulioko jijini Johannesburg, wenye uwezo wa kuchukua watu 20,000, akiwa mwenyewe bila msaada wa msanii yeyote wa kimataifa. President […]

 

9 years ago

Bongo5

Rapper Cassper Nyovest wa Afrika Kusini apata deal la kihistoria

Rapper wa Afrika Kusini, Refiloe Phoolo maarufu kama Cassper Nyovest amesaini deal la ubalozi kubwa zaidi katika historia ya muziki nchini humo. Welcoming @CassperNyovest to the MTN family! He's officially our new brand ambassador! Fun times ahead! #MTNCassper pic.twitter.com/6eOe0wJhMC — MTN South Africa (@MTNza) October 22, 2015 Rapper huyo amekuwa balozi wa mtandao wa MTN. […]

 

9 years ago

Bongo5

Baada #FillUpTheDome: Cassper Nyovest na mpenzi wake Boity watu Zanzibar kwa mapumziko

11909379_157693274584538_1539332956_n

Amevunja rekodi ya muziki wa Afrika Kusini kwa kujaza ukumbi unaochukua watu 20,000 jijini Johannesburg (October 31) na kupongezwa na Rais Jacob Zuma, amepata deal nono la ubalozi wa MTN, ana demu mkali, unadhani Cassper Nyovest anahitaji nini zaidi ya vacation au baecation kama anavyoiita yeye?

11909379_157693274584538_1539332956_n
Cassper Nyovest na mpenzi wake Boity

Na ni sehemu gani nyingine hapa Afrika yenye mandhari na hali ya hewa ya kuvutia zaidi ya Zanzibar? Upepo wa marashi ya pemba unaosambazwa na mawimbi ya kuvutia...

 

9 years ago

Bongo5

Cassper Nyovest akanusha kuwa alizomewa jukwaani kwa kuimba diss track ya AKA

Rapper wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest amejibu juu ya uvumi ulioenea kuwa alizomewa jukwaani weekend iliyopita alipoimba diss track ya AKA kwenye show iliyofanyika Johannesburg. Baadhi ya mashabiki waliohudhuria show hiyo ‘Homecoming Picnic’ walidai kuwa umati ulimgeuka Cassper baada ya kutumbuiza ‘Dust2Dust’ ambayo ni diss track ya AKA, na wengine kusema kuwa baadhi ya watu […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete aweka historia nyingine: Asafiri kwa treni ya TAZARA kwa mara ya kwanza

c5

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipanda treni ya TAZARA kuelekea Kisaki Mkoani Morogoro akiwa katika ziara yake ya mkoa huo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Alhamisi, Agosti 21, 2014, ameweka historia nyingine katika ziara yake ya Mkoa wa Morogoro wakati aliposafiri kwa treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ikiwa ni mara yake ya kwanza kutumia usafiri huo katika kipindi chake cha Urais.

Rais Kikwete,...

 

10 years ago

Bongo5

SA Hip Hop Awards: AKA ampiku Cassper Nyovest kwa kuondoka na nyingi!

Usiku wa jana rapper wa Levels, AKA alinyakua tuzo nne kwenye SA Hip Hop Awards. Mpinzani wake Cassper Nyovest alichukua tatu. Mpenzi wake na AKA, DJ Zinhle alitweet: “Congatulations to my winner.” Hii ni orodha nzima: Album of the Year • Cassper Nyovest- Tsholofelo Producer of the Year • Ganja Beatz Hustler of the Year […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani