Wasouth wamponda Rais Jacob Zuma kwa kumpongeza Cassper Nyovest kufuatia kujaza ukumbi unaochukua watu 20,000
Pongezi za Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma kwa rapper Cassper Nyovest aliyeujaza ukumbi unaochukua watu 20,000 jijini Johannesburg, zimepokelewa kwa hisia tofauti.
Jumamosi iliyopita, Cassper aliweka rekodi ya kuwa msanii wa kwanza kuujaza ukumbi huo peke yake. Zuma aliamua kuungana na mamilioni ya mashabiki wa muziki nchini humo kutoa pongezi kwa hatua hiyo.
Kwenye maelezo yake mafupi, Zuma alielezea kufurahishwa na hatua hiyo ambayo mara nyingi imekuwa ikifanikishwa na wasani wa nje...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo524 Oct
Cassper Nyovest apanga kujaza ukumbi unaochukua watu 20,000 Oct 1
9 years ago
Bongo502 Nov
Cassper Nyovest aweka historia kwa kuwa msanii wa kwanza wa Afrika Kusini kujaza ukumbi wa watu 20,000
![cassper soldout](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/cassper-soldout-94x94.png)
9 years ago
Bongo502 Nov
Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ampongeza Cassper Nyovest kwa kuweka historia, itazame show iliyomletea heshima hiyo (Video)
![casper the dome](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/casper-the-dome-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo505 Nov
Baada #FillUpTheDome: Cassper Nyovest na mpenzi wake Boity watu Zanzibar kwa mapumziko
![11909379_157693274584538_1539332956_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11909379_157693274584538_1539332956_n-300x194.jpg)
Amevunja rekodi ya muziki wa Afrika Kusini kwa kujaza ukumbi unaochukua watu 20,000 jijini Johannesburg (October 31) na kupongezwa na Rais Jacob Zuma, amepata deal nono la ubalozi wa MTN, ana demu mkali, unadhani Cassper Nyovest anahitaji nini zaidi ya vacation au baecation kama anavyoiita yeye?
Cassper Nyovest na mpenzi wake Boity
Na ni sehemu gani nyingine hapa Afrika yenye mandhari na hali ya hewa ya kuvutia zaidi ya Zanzibar? Upepo wa marashi ya pemba unaosambazwa na mawimbi ya kuvutia...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KMrGqQvz-wg/U4BTrawLmhI/AAAAAAAFktY/cgU4W9j_bQE/s72-c/pre1.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI PRETORIA KUSHUHUDIA KUAPISHWA KWA RAIS WA AFRIKA KUSINI MHE JACOB ZUMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-KMrGqQvz-wg/U4BTrawLmhI/AAAAAAAFktY/cgU4W9j_bQE/s1600/pre1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ie_VJFYFN2M/U4BTr80DnFI/AAAAAAAFktc/anGRX1hQVQo/s1600/pre2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yXJ2qmtAGsk/U4BTsBA36fI/AAAAAAAFktk/erLnSWG_lPQ/s1600/pre3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Jg0wNQVSgfU/U4BdHWXDFHI/AAAAAAAFkuM/dc3sRMKFZRo/s72-c/20140524_102810.jpg)
wengi wajitokeza kwenye hafla ya kuapishwa kwa Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-Jg0wNQVSgfU/U4BdHWXDFHI/AAAAAAAFkuM/dc3sRMKFZRo/s1600/20140524_102810.jpg)
10 years ago
VijimamboRAIS JACOB ZUMA AKUTANA NA RAIS KIKWETE IKULU-MAKAMU WA RAIS AMSINDIKIZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-MA1_ZFohI7c/VJgW4lraY4I/AAAAAAAAZho/geWMTtNN3d0/s640/D92A4124.jpg)
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
ANC:Rais Jacob Zuma hatajiuzulu ng'o
11 years ago
BBCSwahili07 Jun
Rais Jacob Zuma alazwa hospitalini