Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cassper Nyovest apanga kujaza ukumbi unaochukua watu 20,000 Oct 1

October 31, rapper wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest amepania kuweka historia ya kwanza jijini Johannesburg. Rapper huyo ambaye jina lake halisi ni Refiloe Maele atafanya show yake kwenye ukumbi wa Ticketpro Dome unaochukua watu 20,000 kuthibitisha kuwa msanii wa nyumbani anaweza kuujaza. Lengo ni kuujaza ukumbi huo kuonesha uzalendo kwa kile anachodai kuwa wasouth hawaviungi […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Wasouth wamponda Rais Jacob Zuma kwa kumpongeza Cassper Nyovest kufuatia kujaza ukumbi unaochukua watu 20,000

706x410q70ranjeni-heaviness

Pongezi za Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma kwa rapper Cassper Nyovest aliyeujaza ukumbi unaochukua watu 20,000 jijini Johannesburg, zimepokelewa kwa hisia tofauti.

706x410q70ranjeni-heaviness

Jumamosi iliyopita, Cassper aliweka rekodi ya kuwa msanii wa kwanza kuujaza ukumbi huo peke yake. Zuma aliamua kuungana na mamilioni ya mashabiki wa muziki nchini humo kutoa pongezi kwa hatua hiyo.

CSzsDLpUsAAZQ8P

Kwenye maelezo yake mafupi, Zuma alielezea kufurahishwa na hatua hiyo ambayo mara nyingi imekuwa ikifanikishwa na wasani wa nje...

 

9 years ago

Bongo5

Cassper Nyovest aweka historia kwa kuwa msanii wa kwanza wa Afrika Kusini kujaza ukumbi wa watu 20,000

cassper soldoutRapper wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest ameweka historia kwa kuwa msanii wa kwanza wa nchi hiyo kujaza ukumbi wa The Dome ulioko jijini Johannesburg kwenye show aliyoandaa mwenyewe iliyofanyika Jumamosi Oct.31. Cappser pia ndiye msanii wa kwanza wa Afrika Kusini kuutumia ukumbi huo wenye uwezo wa kujaza watu 20,000 ambao hutumika zaidi kwenye show zinazokuwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Baada #FillUpTheDome: Cassper Nyovest na mpenzi wake Boity watu Zanzibar kwa mapumziko

11909379_157693274584538_1539332956_n

Amevunja rekodi ya muziki wa Afrika Kusini kwa kujaza ukumbi unaochukua watu 20,000 jijini Johannesburg (October 31) na kupongezwa na Rais Jacob Zuma, amepata deal nono la ubalozi wa MTN, ana demu mkali, unadhani Cassper Nyovest anahitaji nini zaidi ya vacation au baecation kama anavyoiita yeye?

11909379_157693274584538_1539332956_n
Cassper Nyovest na mpenzi wake Boity

Na ni sehemu gani nyingine hapa Afrika yenye mandhari na hali ya hewa ya kuvutia zaidi ya Zanzibar? Upepo wa marashi ya pemba unaosambazwa na mawimbi ya kuvutia...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Cassper Nyovest — No Worries

Cassper-Nyovest-Ashes2Ashes-428-To-SA-640x431South African record producer and A-List rapper ‘Cassper Nyovest‘ who is all set to fill up the dome to day (31.10.2015) has ‘No Worries‘ as he put out another material to whet the appetite of his fans in anticipation of the big one #FillUpTheDome. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na […]

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Cassper Nyovest — Phumakim

Family Tree proudly presents CASSPER NYOVEST’s highly anticipated PHUMAKIM music video. Shot in multiple locations across South African townships over two days with the help & support of Redds and most importantly Cassper’s friends & fans.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Cassper Nyovest — Travel The World

Video mpya ya rapper kutoka South Africa Cassper Nyovest wimbo huu Produced by Uhuru unaitwa “Travel The World” Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Cassper Nyovest adai ‘Composure’ ya AKA ilimchoma!

Rapper Cassper Nyovest wa Afrika Kusini amezungumza kwa mara ya kwanza kuhusu maumivu aliyojisikia baada ya AKA kuachia single iliyomdiss. Rappers hao wawili wamekuwa na uhasama kwa miezi sasa ikiwa pamoja na kutoa ngoma za kudisiana. Alianza AKA kwa kuachia ngoma yake Composure akimchana Cassper kuwa hana lolote. Akiongea na waandishi wa habari jana jijini […]

 

9 years ago

Bongo5

Cassper Nyovest wants South Africans to start treating him like Beyoncé

cass

Despite all the winnings, who else think South African rapper, Cassper Nyovest is being treated like Michelle of Destiny’s Child? Cassper.

cass

Cassper wants to be treated like Beyonce.

According to reports, poor Cassper is tired of radio stations not playing his hits, and so in an interview with SA’s Metro FM, he suggested that South African’s should start appreciating him for the star he is.

According to Nyovest; ‘I just put out 20 songs. I don’t have one song that’s playing on radio. We’ve...

 

9 years ago

Bongo5

Publicity from AKA, Cassper Nyovest war worth millions

The escalating bickering between rappers AKA and Cassper Nyovest – whose real names are Kiernan Forbes and Refiloe Phoolo, respectively – has earned them millions of rands in free publicity. That’s according to online monitoring company BrandsEye, which compiled a social-listening report for City Press showing how much free marketing the two appear to have […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani