Cassper Nyovest apanga kujaza ukumbi unaochukua watu 20,000 Oct 1
October 31, rapper wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest amepania kuweka historia ya kwanza jijini Johannesburg. Rapper huyo ambaye jina lake halisi ni Refiloe Maele atafanya show yake kwenye ukumbi wa Ticketpro Dome unaochukua watu 20,000 kuthibitisha kuwa msanii wa nyumbani anaweza kuujaza. Lengo ni kuujaza ukumbi huo kuonesha uzalendo kwa kile anachodai kuwa wasouth hawaviungi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo503 Nov
Wasouth wamponda Rais Jacob Zuma kwa kumpongeza Cassper Nyovest kufuatia kujaza ukumbi unaochukua watu 20,000
![706x410q70ranjeni-heaviness](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/706x410q70ranjeni-heaviness-300x194.jpg)
Pongezi za Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma kwa rapper Cassper Nyovest aliyeujaza ukumbi unaochukua watu 20,000 jijini Johannesburg, zimepokelewa kwa hisia tofauti.
Jumamosi iliyopita, Cassper aliweka rekodi ya kuwa msanii wa kwanza kuujaza ukumbi huo peke yake. Zuma aliamua kuungana na mamilioni ya mashabiki wa muziki nchini humo kutoa pongezi kwa hatua hiyo.
Kwenye maelezo yake mafupi, Zuma alielezea kufurahishwa na hatua hiyo ambayo mara nyingi imekuwa ikifanikishwa na wasani wa nje...
9 years ago
Bongo502 Nov
Cassper Nyovest aweka historia kwa kuwa msanii wa kwanza wa Afrika Kusini kujaza ukumbi wa watu 20,000
![cassper soldout](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/cassper-soldout-94x94.png)
9 years ago
Bongo505 Nov
Baada #FillUpTheDome: Cassper Nyovest na mpenzi wake Boity watu Zanzibar kwa mapumziko
![11909379_157693274584538_1539332956_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11909379_157693274584538_1539332956_n-300x194.jpg)
Amevunja rekodi ya muziki wa Afrika Kusini kwa kujaza ukumbi unaochukua watu 20,000 jijini Johannesburg (October 31) na kupongezwa na Rais Jacob Zuma, amepata deal nono la ubalozi wa MTN, ana demu mkali, unadhani Cassper Nyovest anahitaji nini zaidi ya vacation au baecation kama anavyoiita yeye?
Cassper Nyovest na mpenzi wake Boity
Na ni sehemu gani nyingine hapa Afrika yenye mandhari na hali ya hewa ya kuvutia zaidi ya Zanzibar? Upepo wa marashi ya pemba unaosambazwa na mawimbi ya kuvutia...
9 years ago
Bongo531 Oct
Video: Cassper Nyovest — No Worries
![Cassper-Nyovest-Ashes2Ashes-428-To-SA-640x431](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Cassper-Nyovest-Ashes2Ashes-428-To-SA-640x431-94x94.jpg)
10 years ago
Bongo519 Sep
New Video: Cassper Nyovest — Phumakim
9 years ago
Bongo519 Oct
Video: Cassper Nyovest — Travel The World
9 years ago
Bongo513 Oct
Cassper Nyovest adai ‘Composure’ ya AKA ilimchoma!
9 years ago
Bongo512 Dec
Cassper Nyovest wants South Africans to start treating him like Beyoncé
![cass](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/cass-300x194.jpg)
Despite all the winnings, who else think South African rapper, Cassper Nyovest is being treated like Michelle of Destiny’s Child? Cassper.
Cassper wants to be treated like Beyonce.
According to reports, poor Cassper is tired of radio stations not playing his hits, and so in an interview with SA’s Metro FM, he suggested that South African’s should start appreciating him for the star he is.
According to Nyovest; ‘I just put out 20 songs. I don’t have one song that’s playing on radio. We’ve...
9 years ago
Bongo512 Oct
Publicity from AKA, Cassper Nyovest war worth millions