Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond kuweka historia tena Dar Live

diamond

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Diamond aweka historia tena Dar Live

IMG_7348Diamond Platnumz akisema na mashabiki wake waliofurika Dar Live usiku wa kuamkia leo

IMG_7989Diamond akicheza na mashabiki wake waliofurika Dar Live.

IMG_7359

Akicheza na wacheza shoo wake wa kike.

IMG_1416Nyomi ya kufa mtu ndani ya Dar Live wakiendelea kumshangilia Diamond.

IMG_7371Wacheza shoo wa kike wa Diamond wakifanya yao.

IMG_7324Diamond akiwachombeza mashabiki.

IMG_7325Diamond akicheza na wacheza shoo wake wa kiume.

IMG_7344Akiongea na mashabiki.

IMG_7377

IMG_7379 IMG_7383Diamond akifanya yake na wacheza shoo wake.IMG_7390Diamond baada ya kuwakonga nyoyo mashabiki...

 

9 years ago

Global Publishers

10 years ago

GPL

USIKU WA NANI KAMA MAMA DAR LIVE... BELLA KUWEKA HISTORIA MPYA

Stori: Showbiz WAKATI siku zikizidi kukatika kuelekea Desemba 6, katika ule Usiku wa Nani Kama Mama ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar ambapo Mfalme wa Masauti, Christian Bella ‘Obama’ anatarajiwa kuweka historia mpya ndani ya ukumbi huo. Mfalme wa Masauti, Christian Bella ‘Obama’. Akipiga stori na Showbiz, Meneja wa Bella, Amiri Marusu aliongelea usiku huo...

 

10 years ago

GPL

USIKU WA NANI KAMA MAMA DAR LIVE BELLA KUWEKA HISTORIA LEO

DAR ES SALAAM,  Tanzania
YAMETIMIA! Baada ya kusubiriwa kwa hamu na wapenzi wa burudani, hatimaye leo, Desemba 6, mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’, anatarajiwa kuweka historia mpya katika uzinduzi wa albamu yake mpya ya Nani Kama Mama ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar. Mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’. Meneja wa Bella, Amiri Marusu,...

 

9 years ago

Global Publishers

Diamond: Nitaandika historia mpya Dar Live

Funga Mwaka Concert 2015 (10)
Diamond akiwasalimia mashabiki wake, juzi katika  eneo la Karume, Ilala jijini Dar.

Musa Mateja

ZIKIWA zimesalia saa kadhaa kufika Sikukuu ya Krismasi ambapo ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar kutakuwa na burudani kabambe, staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, amesema kuwa siku hiyo ataandika historia mpya.

Akizungumza na waandishi wa habari eneo la Karume, Ilala jijini Dar, Diamond ambaye siku hiyo ataongozana na madansa...

 

10 years ago

GPL

SHOO YA DIAMOND DAR LIVE YAACHA HISTORIA

Mwanamuziki Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akipozi katika picha na mashabiki baada ya shoo ya nguvu Dar Live. Diamond akiwa na tuzo pamoja na cheti baada ya kuibuka mshindi wa shindano la Ijumaa Sexiest Bachelor.…

 

10 years ago

GPL

TAMASHA LA WAFALME: DIAMOND, MZEE YUSUF WAWEKA HISTORIA DAR LIVE

Diamond Platnumz akisema na mashabiki wake waliofurika Dar Live usiku wa kuamkia leo. Diamond akiwachombeza mashabiki.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani