Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Wyre Ft. Khaligraph Jones – Hotter

Screen-Shot-2015-12-12-at-11.39.14-AM

This is Wyre’s 2nd single off the LION Album. He combines forces with one of Kenya’s finest HipHop artists, Khaligraph Jones. Once again Dancehall meets HipHop in this chune! Audio produced by Mwax the Herbalist and Video by Picha Moja Films.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Muthoni Drummer Queen ft. Khaligraph Jones & M.I Abaga – Turn On The Lights

Rapper wa Kenya, Muthoni Drummer Queen ameungana na Khaligraph Jones (Kenya) pamoja na rapper wa Nigeria, M.I kukuletea single mpya iitwayo ‘Turn On The Lights’. Wimbo huu umeachiwa pamoja na video yake. Kuhusu Muthoni Drummer Queen: In her previous lives, the girl currently known as Muthoni Ndonga aka “The Drummer Queen” was among other things […]

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Wyre atoa video ya wimbo alio-sample ‘Monie’ ya Kanda Bongo Man

Muimbaji wa Dancehall, Wyre a.k.a The Love Child kutoka Kenya ametoa video ya wimbo aliosample kutoka kwenye hit song ya mkongwe wa Soukous, Kanda Bongo Man wa ‘Monie’. Mwaka jana mwishoni Wyre alisema kuwa Kanda Bongo Man alimpa haki zote za kusample wimbo huo (Ingia hapa) ambao ameuchanganya na vionjo vya dancehall.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Wyre — Kingston Girl

‘Kingston Girl’ ni single ya kwanza kutoka kwenye album mpya ya msanii wa dancehall, Wyre the Love Child kutoka Kenya iitwayo LION. Video imefanywa na Young Wallace Productions huku mdundo ukiwa ni Country Bus Riddim ya Chimney Records. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za […]

 

9 years ago

Bongo5

Producer Tiddy Hotter wa One Love Fx ya Mwanza atangaza kuhamia Dar na kufungua studio nyingine

tiddy hotter

Producer aliyetengeneza singles kama ‘Listen’ ya Belle 9, ‘Mwambie Mwenzio’ ya stamina, ‘Nisome’ ya Godzila na G-nako na nyingine kadhaa, Tiddy Hotter ametangaza kuhamisha makazi yake jijini Dar es salaam kutoka jijini mwanza.

tiddy hotter

Tiddy ambaye anamiliki studio ya One Love FX ya Mwanza amesema kuwa pia anafungua studio nyingine Dar, na ile ya mwanza itaendelea kuwepo.

Producer huyo ameitaja sababu kubwa ya kurudi Dar ambako alianzia kabla ya kwenda kufungua studio Mwanza, “Nimeona nisogee...

 

10 years ago

GPL

BABY MADAHA: AJIWEKA KIMAPENZI KWA WYRE

Stori: Shani Ramadhani
MWANADADA  anayefanya vizuri katika muziki Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ kwa sasa amejiweka kimapenzi na msanii anayetamba Kenya, Kevin Wyre baada ya kuwepo kwa tetesi za kutemana na mtu wake wa awali, Joe Kairuki aliyekuwa pia ni meneja wake. Mwanadada anayefanya vizuri katika muziki Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ akipozi na Kevin Wyre. Watu walio...

 

10 years ago

Michuzi

Mziiki welcomes Kenyan reggae star Wyre to the family

WyreMziiki, the largest African music-streaming app has just signed Kenyan R&B and reggae/Dance Hall star Kevin Wyre (otherwise known as Wyre) to join the movement as Brand Partner. Wyre joins Tanzanian Bongo Flava star Diamond Platnumz whose association was announced recently.

As brand partner for Mziiki Wyre becomes a face of the brand in Kenya. “Mziiki is a cool place for people to find new music and enjoy music from their favourite artists. It’s very exciting to be a part of the Mziiki...

 

10 years ago

BBC

Jones one of 59 in for Ivory Coast job

Ivory Coast name all 59 applicants to become national manager and ex-Sheffield Wednesday boss Dave Jones is on the list.

 

9 years ago

Global Publishers

Diamond, Romy Jones watibuana

uamed Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’,.

MUSA MATEJA
Kimenuka! Mbongo-Fleva mwenye taito kubwa Afrika kwa sasa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, anadaiwa kutibuana na kaka yake, Romy Jones ‘Romy Jons’, kiasi kwamba hata mawasiliano ya simu hayapo kama ilivyokuwa zamani.

Hivi karibuni chanzo makini kimeliambia gazeti hili kwamba, Diamond na kaka yake huyo ambaye ni mtoto wa mama yake mdogo wamefikia hatua ya kutoongea na hata kuambatana katika kazi zao kama ilivyokuwa mwanzo ambapo Romy Jons ndiye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani