Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaomtaka Joh Makini kimataifa? Diamond na Nahreel kuhusu ‘Nana’? Simba ya Mr. Blue na Diamond? (+Audio)

Kama ulipitwa na stori kubwa tatu kwenye 255 iliyosikika kwenye show ya XXL Clouds FM, ninazo hapa za Joh Makini, Diamond na Afande Sele. Joh Makini kwenye level za kimataifa sasahivi… rapper huyo amesema kuna majina makubwa ya wanaotaka collabo ila hawezi kuyataja japo kwenye majina hayo yupo Davido pia kutoka Nigeria. Nahreel aliwahi kuzungumzia […]

The post Wanaomtaka Joh Makini kimataifa? Diamond na Nahreel kuhusu ‘Nana’? Simba ya Mr. Blue na Diamond? (+Audio) appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Diamond: Sikukata jina la Nahreel kwenye beat ya ‘Nana’

Diamond

Siku kadhaa zilizopita mtayarishaji wa muziki wa studio ya The Industry, Nahreel alilalamikia kitendo cha utambulisho wake ‘Nahreel on the beat’ kuondolewa kwenye hit song ya Diamond Platnumz ‘Nana’ ambayo ndiye aliyei-produce.

Diamond

Diamond naye amepata nafasi ya kueleza sababu ya utambulisho huo kutokuwepo kwenye wimbo huo.

Baba Tiffah amesema kuwa mwanzoni wakati anataka kushoot video hiyo Nahreel alimpa demo ambayo ilikuwa bado haijawekewa sign hiyo, hivyo baada ya kushoot na director...

 

9 years ago

MillardAyo

Alichokisema Mr. Blue kuhusu Diamond kutumia jina la Simba…(+Audio)

Hivi karibuni Msanii Diamond Platnumz amekuwa akilitumia jina la Simba kama moja ya a.k.a katika maeneo mbalimbali hasa akiwa kwenye stage, Lakini hapa nakukutanisha na Msanii Mr. Blue akielezea watu wanaotumia jina hilo. Unaweza kubonyeza Play hapa chini na ukapata full stori Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]

The post Alichokisema Mr. Blue kuhusu Diamond kutumia jina la Simba…(+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

5 years ago

Michuzi

JOH MAKINI AKANUSHA KUMNYIMA KOLABO DIAMOND PLATINUM

         Na Khadija seif, Michuzi TvMKALI wa Muziki wa hiphop kutoka kaskazini John Makini akanusha tetesi zilizozaga mitandaoni siku za nyuma kuwa alimnyima kolabo Diamond platnum.
Akizungumza na kituo kimoja cha redio hapa nchini joh makini amesema habagui kufanya kazi na wasanii wowote na yupo tayari kufanya kazi nao na kutaka taarifa hizo zipuuzwe japo anajua kuwa nani alizisambaza mitandaoni.
"Ikitokea nimefanya kazi nae nadhani itakua nzuri kutokana na uwezo wake na ni miongoni mwa...

 

9 years ago

Bongo5

Joh Makini aliamini kipaji changu nilipokuwa na miaka 14 – Nahreel

761122d130c0d8ac30cf994bc2dc7576

Joh Makini na Nahreel hawajafahamiana jana au juzi – kitambo.

761122d130c0d8ac30cf994bc2dc7576

Producer huyo amedai kuwa Joh alikikubali kipaji chake katika utengenezaji wa midundo tangu akiwa na umri wa miaka 14.

“Mtu wa kwanza aliyeniamini ni Joh Makini nilipokuwa na miaka 14. Alipokuja kusikia kazi zangu aliniambia kuwapa watu wanaostahili tu muziki wangu. Aliona kitu ndani yangu tangu mwanzo. Ni mwana familia,” Nahreel ameiambia Blog ya Coke Studio.

Hadi sasa ni Nahreel ndiye aliyetayarisha ngoma nyingi na zilizofanya...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Nikki wa Pilli Ft Joh Makini, G Nako, Nahreel, Aika, Jux ,Vanessa — Safari

Huu ni wimbo mpya kutoka kwa Nikki wa Pilli akiwashirikisha Joh Makini,G Nako,Nahreel,Aika, Jux, Vanessa wimbo unaitwa “Safari” Producer Nahreel

 

10 years ago

Bongo5

Nikki wa pili afanya collabo ya wasanii sita, Vanessa Mdee , Joh Makini, Jux, Nahreel, Aika na G-Nako

Nikki Wa Pili kutoka Weusi ameingia studio kufanya wimbo mpya ambao amewashirikisha wasanii sita. Wasanii walioshirikishwa kwenye wimbo huo ambao unafaywa kwenye studio ya The Industry ya producer Nahreel, ni Vanessa Mdee , Joh Makini, Jux, Nahreel, Aika na G-Nako. Kupitia Instagram Aika Marealle wa kundi la Navy Kenzo amerepost picha wakiwa studio na kuandika, […]

 

9 years ago

MillardAyo

Mr. Blue bado analalamikia jina la ‘Simba’? Vipi ana tatizo na Diamond Platnumz? Hii hapa.. #UHeard (+Audio)

Ishu ilianza kwenye mtandao wa Instagram ambapo Mr. Blue alipost kwamba amesikia kuna watu wanajiita simba akati yeye alijiita jina hilo kwa sababu ya style yake ya kuchana. Blue amesema hana kinyongo kwa kuigwa lakini aliona aweke wazi ili watu wajue kwamba anaigwa na wengi na anajivunia kwa kuwa mfano wa kuigwa… Kuhusu ishu ya […]

The post Mr. Blue bado analalamikia jina la ‘Simba’? Vipi ana tatizo na Diamond Platnumz? Hii hapa.. #UHeard (+Audio) appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Mr Blue kwenye headlines za kuanzisha idea ya jina la Simba analolitumia Diamond Platnumz….

Itakuwa sio mara yako ya kwanza kuona jina la Simba likitumika katika post za Diamond Platnumz hasa kupitia mtandao wa instagram, sasa leo Dec 28 Mr Blue kupitia ukurasa wake wa instagram ameandika madai na kusema kuwa ndio mwanzilishi wa idea wa jina la Simba. Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram aliandika madai hayo kwa […]

The post Mr Blue kwenye headlines za kuanzisha idea ya jina la Simba analolitumia Diamond Platnumz…. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani