JOH MAKINI AKANUSHA KUMNYIMA KOLABO DIAMOND PLATINUM
![](https://1.bp.blogspot.com/-QJ7C9DpUpiY/Xk0ysw5WI8I/AAAAAAALeUg/lvrszk_brwEz-xYP8ryikCaFEwZi40oDQCLcBGAsYHQ/s72-c/images%2B%25282%2529.jpeg)
Na Khadija seif, Michuzi TvMKALI wa Muziki wa hiphop kutoka kaskazini John Makini akanusha tetesi zilizozaga mitandaoni siku za nyuma kuwa alimnyima kolabo Diamond platnum.
Akizungumza na kituo kimoja cha redio hapa nchini joh makini amesema habagui kufanya kazi na wasanii wowote na yupo tayari kufanya kazi nao na kutaka taarifa hizo zipuuzwe japo anajua kuwa nani alizisambaza mitandaoni.
"Ikitokea nimefanya kazi nae nadhani itakua nzuri kutokana na uwezo wake na ni miongoni mwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM15 Jul
JOH MAKINI APIGA KOLABO NA MSANII CHIDINMA WA NIGERIA
Wiki iliyopita Mkali wa Hip Hop, John Makini kutoka kampuni ya Weusi alidondoka Jijini Nairobi kwa ajili ya dili la kurekodi kipindi cha Coke Studio, kwenye ‘live performance’ John Makini alishare stage moja na mwanadada kutoka Nigeria Chidinma ambaye amewahi kunyakua tuzo za Nigeria Music Video Aawards pamoja na Kora Awards pia amewahi kuwa nominated kwenye tuzo za MTV na Chanel O music video awards, harakati za Joh wakamvuta Chidinma mpaka studio za R.K na kurekodi ngoma.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/Joh-makini.jpg)
JOH MAKINI ATOBOA SIRI YA KOLABO YAKE NA DAVIDO
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Wanaomtaka Joh Makini kimataifa? Diamond na Nahreel kuhusu ‘Nana’? Simba ya Mr. Blue na Diamond? (+Audio)
Kama ulipitwa na stori kubwa tatu kwenye 255 iliyosikika kwenye show ya XXL Clouds FM, ninazo hapa za Joh Makini, Diamond na Afande Sele. Joh Makini kwenye level za kimataifa sasahivi… rapper huyo amesema kuna majina makubwa ya wanaotaka collabo ila hawezi kuyataja japo kwenye majina hayo yupo Davido pia kutoka Nigeria. Nahreel aliwahi kuzungumzia […]
The post Wanaomtaka Joh Makini kimataifa? Diamond na Nahreel kuhusu ‘Nana’? Simba ya Mr. Blue na Diamond? (+Audio) appeared first on...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/4xy8gY5pZyQ/default.jpg)
9 years ago
Bongo514 Nov
Unapenda kufahamu collabo ya Joh Makini na Davido imefikia wapi? Joh afunguka
![joh davido](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/joh-davido-300x194.jpg)
Kama unawasiwasi juu akiba ya collabo za kimataifa alizonazo John Simon Mseke a.k.a Joh Makini, ondoa hofu kwasababu ile collabo yake na nyota wa Nigeria, David Adedeji Adeleke a.k.a DaVIDO imeshaingizwa kwenye computer ya studio ya The Industry.
Davido anamkubali sana Joh Makini, na alithibitisha hilo September 18, 2015 alipovujisha taarifa ambayo muda wake ulikuwa bado, kuhusu yeye na rapper wa ‘Don’t Bother’, Joh Makini kufanya collabo.
Bongo5 ilipomtafuta Joh Makini wakati huo...
5 years ago
Bongo Movies02 Mar
VideoMPYA: Nikki wa II ft. Joh Makini & S2kizzy ‘hesabu’ Joh Mwalimu.. Wanafunzi ni Ebitoke, Ben Pol, Quick na wengine
Unakaribishwa kuitazama ngoma mpya ya Nikki wa Pili ambayo amewashirikisha Joh Makini na S2Kizzy inaitwa ‘hesabu’ ambapo humo ndani Joh Makini amecheza kama Mwalimu huku Wanafunzi darasani wakiwa ni Ebitoke, Ben Pol, Quick Rocka, Linah na wengine
9 years ago
Bongo511 Sep
Shetta akanusha kubebwa kwenye kolabo anazofanya
11 years ago
GPL25 Jun
10 years ago
Jamtz.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-H6WV--261DI/VIlwW7nsvsI/AAAAAAAABR8/dY7rMT5rLt8/s72-c/Joh%2BMakini%2BXO%2B(1).jpg)