Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JOH MAKINI ATOBOA SIRI YA KOLABO YAKE NA DAVIDO

Staa wa Hip Hop Bongo anayewakilisha Kundi la Weusi, John Simon ‘Joh Makini’ Staa wa muziki kutoka Nigeria, David Adeleke ‘Davido’ STAA wa Hip Hop Bongo anayewakilisha Kundi la Weusi, John Simon ‘Joh Makini’ ametoboa siri ya kolabo yake na staa wa muziki kutoka Nigeria, David Adeleke ‘Davido’ kuwa Davido ndiye alikuwa na shauku ya kufanya naye kolabo na kumtafuta kwenye mitandao ya kijamii. Akichonga na Showbiz,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Davido atangaza ujio wa collabo yake na Joh Makini

Hakuna surprise nzuri kama ile ambayo hukuwahi kuona hata dalili, na kwenye muziki hasa kwa msanii wa Bongo hakuna kitu kizuri kama msanii mkubwa wa nje kuanza kutease ujio wa kazi yenu hata kabla yako. Ndicho kilichotokea usiku wa Sept 18 pale staa wa Nigeria, Davido alipotweet kuwa kuna collabo yake na Joh Makini inakuja. […]

 

9 years ago

Bongo5

Unapenda kufahamu collabo ya Joh Makini na Davido imefikia wapi? Joh afunguka

joh davido

Kama unawasiwasi juu akiba ya collabo za kimataifa alizonazo John Simon Mseke a.k.a Joh Makini, ondoa hofu kwasababu ile collabo yake na nyota wa Nigeria, David Adedeji Adeleke a.k.a DaVIDO imeshaingizwa kwenye computer ya studio ya The Industry.

joh davido

Davido anamkubali sana Joh Makini, na alithibitisha hilo September 18, 2015 alipovujisha taarifa ambayo muda wake ulikuwa bado, kuhusu yeye na rapper wa ‘Don’t Bother’, Joh Makini kufanya collabo.

Bongo5 ilipomtafuta Joh Makini wakati huo...

 

5 years ago

Michuzi

JOH MAKINI AKANUSHA KUMNYIMA KOLABO DIAMOND PLATINUM

         Na Khadija seif, Michuzi TvMKALI wa Muziki wa hiphop kutoka kaskazini John Makini akanusha tetesi zilizozaga mitandaoni siku za nyuma kuwa alimnyima kolabo Diamond platnum.
Akizungumza na kituo kimoja cha redio hapa nchini joh makini amesema habagui kufanya kazi na wasanii wowote na yupo tayari kufanya kazi nao na kutaka taarifa hizo zipuuzwe japo anajua kuwa nani alizisambaza mitandaoni.
"Ikitokea nimefanya kazi nae nadhani itakua nzuri kutokana na uwezo wake na ni miongoni mwa...

 

11 years ago

CloudsFM

JOH MAKINI APIGA KOLABO NA MSANII CHIDINMA WA NIGERIA

Wiki iliyopita Mkali wa Hip Hop, John Makini kutoka kampuni ya Weusi alidondoka Jijini Nairobi kwa ajili ya dili la kurekodi kipindi cha Coke Studio, kwenye ‘live performance’ John Makini alishare stage moja na mwanadada kutoka Nigeria Chidinma ambaye amewahi kunyakua tuzo za Nigeria Music Video Aawards pamoja na Kora Awards pia amewahi kuwa nominated kwenye tuzo za MTV na Chanel O music video awards, harakati za Joh wakamvuta Chidinma mpaka studio za R.K na kurekodi ngoma.

 

9 years ago

MillardAyo

Exclusive: Uliyokua huyajui ya Joh Makini alivyomfata A.K.A , Davido na wanaosema WEUSI wanapendelewa

Rapper Joh Makini kutoka kwenye headlines za hiphop Tanzania alikutana na reporter wako wa nguvu Millard Ayo kwenye Exclusive Interview akaongelea kolabo yake na A.K.A na jinsi alivyojihami kama A.K.A asingetokea kwenye video, wanaosema WEUSI wanapendelewa, anamuhitaji nani mwingine kwenye kolabo na mengine mengi kwenye hii video hapa chini… Unataka kutumiwa MSG za habari zote […]

The post Exclusive: Uliyokua huyajui ya Joh Makini alivyomfata A.K.A , Davido na wanaosema WEUSI wanapendelewa...

 

9 years ago

MillardAyo

EXLUSIVE: Majibu ya Alikiba kuhusu kolabo yake na Davido

Ni Exclusive Interview Alikiba aliyoifanya na MillardAyo baada ya maswali kuendelea kuwepo kuhusu walipofikia baada ya Davido kuongea kwenye Interview na Millard Ayo July 2014 na kusema single nyingine na mkali wa bongofleva itakua ni yeye na Alikiba, sasa kujua alichosema Alikiba tazama hii Interview hapa chini.

The post EXLUSIVE: Majibu ya Alikiba kuhusu kolabo yake na Davido appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Bongo Movies

Lungi Atoboa Siri Yake ya Kujikojolea!

Staa mrembo wa Bongo Movies,  Lungi Maulanga hivi karibuni ametoa ushuhuda wake kwamba alikuwa akisumbuliwa na tatizo la kujisaidia kitandani mpaka alipofika kidato cha pili lakini alipona katika mazingira ya kushangaza.

 “Nikiri tu kwamba nilikuwa kikojozi mpaka nafikia form two, nilikuwa naona aibu sana lakini aliyenisaida ni bibi mmoja ambaye aliniponya katika mazingira ya kushangaza.

“Baada ya kumwambia tatizo langu, aliniambia nipande kwenye mti wa muembe nikiwa na nguo zangu, nikiwa...

 

9 years ago

Bongo5

Don’t Bother ya Joh Makini yamshika Mama yake Dully Sykes

Dully

Si vijana tu wanaopagawa na ngoma mpya ya Joh Makini aliyomshirikisha AKA, ‘Don’t Bother.

Mama yake mzazi na Dully Sykes naye ni shabiki wa ngoma hiyo.

Akizungumza XXL ya Clouds FM, Dully alisema mama yake mara kwa mara amekuwa akijaribu kuuimba wimbo huo unaofanya vizuri kwa sasa.

“Mama yangu anapenda sana hip hop na sasa hivi anapenda sana na ananiimbiaga Don’t Brother,”alisema Dully.

“Don’t Brother ndio nyimbo yake ya Joh Makini. Mama yangu ni shabiki wa Hip hop, ni shabiki mkubwa wa...

 

9 years ago

Bongo5

Bonta atoa maelezo kuhusu post yake ya Instagram iliyozua utata kama anamwombea kifo Joh Makini!

BONTA

Bonta ni rapper wa Weusi Kampuni ambayo inaundwa na Nikki Wa Pili, Joh Makini, G-Nako na yeye mwenyewe. Baada ya Joh Makini kuachia wimbo wake mpya na video, ‘Don’t Bother’ aliomshirikisha rapper AKA wa Afrika Kusini , Bonta aliandika post yenye utata kidogo kwenye akaunti yake ya Instagram.

BONTA

Hiki ndicho aliandika;

“JOHN aka
RUPTURE aka
@joh_makini aka
MWAMBA aka
ADILI KUMBUKA aka
D ROB aka
MTOTO WA DANDU aka
STIVE II K aka
COW BAMA aka
LANGA aka
FREDY JEBI aka
BABA KING / BABA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani