Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lungi Atoboa Siri Yake ya Kujikojolea!

Staa mrembo wa Bongo Movies,  Lungi Maulanga hivi karibuni ametoa ushuhuda wake kwamba alikuwa akisumbuliwa na tatizo la kujisaidia kitandani mpaka alipofika kidato cha pili lakini alipona katika mazingira ya kushangaza.

 “Nikiri tu kwamba nilikuwa kikojozi mpaka nafikia form two, nilikuwa naona aibu sana lakini aliyenisaida ni bibi mmoja ambaye aliniponya katika mazingira ya kushangaza.

“Baada ya kumwambia tatizo langu, aliniambia nipande kwenye mti wa muembe nikiwa na nguo zangu, nikiwa...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

JOH MAKINI ATOBOA SIRI YA KOLABO YAKE NA DAVIDO

Staa wa Hip Hop Bongo anayewakilisha Kundi la Weusi, John Simon ‘Joh Makini’ Staa wa muziki kutoka Nigeria, David Adeleke ‘Davido’ STAA wa Hip Hop Bongo anayewakilisha Kundi la Weusi, John Simon ‘Joh Makini’ ametoboa siri ya kolabo yake na staa wa muziki kutoka Nigeria, David Adeleke ‘Davido’ kuwa Davido ndiye alikuwa na shauku ya kufanya naye kolabo na kumtafuta kwenye mitandao ya kijamii. Akichonga na Showbiz,...

 

10 years ago

GPL

LUNGI AFUNGUKIA NDOA YA SIRI

Stori: Laurent Samatta/Ijumaa Wikienda
STAA wa sinema za Kibongo, Lungi Maulanga, amesema baada ya kufunga ndoa ya siri Novemba, mwaka jana na Jonson, Raia wa Cameroon, walidumu kwa muda mfupi kwenye ndoa na sasa wameachana.
Akifafanua undani wa sakata hilo, Lungi alisema alikubali kuolewa na mwanaume kwa ajili ya yeye kujipatia fedha na hakuwa akimpenda kwa dhati. Staa wa sinema za Kibongo, Lungi Maulanga. “Mimi mtoto...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Zitto atoboa siri

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, amemlipua Mbunge wa Kishapu mkoani Shinyanga, Suleimani Nchambi (CCM), kuwa ni kati ya waliohusika kugawa rushwa y ash milioni...

 

11 years ago

GPL

HAUSIGELI ATOBOA SIRI

Stori: Haruni Sanchawa
NYUMAya pazia! Yule msichana Yusta Lucas (20) mwenyeji wa Mkoa wa Tabora ambaye alifika jijini Dar kufanya kazi ya u-hausigeli na kufanyiwa ukatili wa kutisha na bosi wake kisha habari zake kuandikwa, ametoa siri nzito, Uwazi limemegewa. Yusta Lucas akionyesha majeraha ya meno aliyong'atwa na bosi yake. Akizungumza kwa uchungu na gazeti hili akiwa wodini kwenye Hospitali ya Mkoa wa Kitabibu Kinondoni,...

 

11 years ago

Mwananchi

Mkono atoboa siri za Zitto

Mbunge wa Musoma Vijijini (CCM), Nimrod Mkono ametoa ufafanuzi juu ya uhusiano wake na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe.

 

9 years ago

Habarileo

Pluijm atoboa siri Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amesema siri kubwa ya kikosi chake kufanikiwa kuvunja mwiko wa kuifunga Mtibwa Sugar ilitokana na wachezaji wake kucheza kwa nidhamu ya kiufundi.

 

11 years ago

Mwananchi

Msekwa atoboa siri ya Muungano

>Wiki mbili kabla ya Tanzania kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa ametoboa siri ya Muungano huo akisema “mchakato wa kuundwa kwake ulifanywa kwa siri na haraka sana,” kutokana na upepo wa kisiasa na usalama wa kipindi hicho.

 

10 years ago

Mtanzania

Mlinzi wa Dk. Slaa atoboa siri

NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
TUHUMA za mauaji ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, zimeendelea kutikisa pembe za nchi huku mlinzi wake binafsi, Khalid Kagenzi, akitoboa siri za mkasa huo.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mabere Marando, kudai mlinzi huyo alikuwa akitumiwa na vyombo vya usalama kwa lengo la kumuua Dk. Slaa.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Kagenzi alisema...

 

9 years ago

GPL

SHILOLE ATOBOA SIRI TATTOO YA NUH

Gladness Mallya
STAA wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ametoboa siri ya kujichora tattoo yenye jina la mpenzi wake Naftari Mlawa ‘Nuh’ akisema alifanya hivyo ili kumpa imani mwanaume huyo kuwa anampenda sana. Staa wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Akizungumza na gazeti hili juzikati, Shilole alisema siku zote mpenzi wake hakuwa akiamini kama anampenda, licha ya ukweli kwamba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani