LUNGI AFUNGUKIA NDOA YA SIRI

Stori: Laurent Samatta/Ijumaa Wikienda STAA wa sinema za Kibongo, Lungi Maulanga, amesema baada ya kufunga ndoa ya siri Novemba, mwaka jana na Jonson, Raia wa Cameroon, walidumu kwa muda mfupi kwenye ndoa na sasa wameachana. Akifafanua undani wa sakata hilo, Lungi alisema alikubali kuolewa na mwanaume kwa ajili ya yeye kujipatia fedha na hakuwa akimpenda kwa dhati. Staa wa sinema za Kibongo, Lungi Maulanga. “Mimi mtoto...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies20 Apr
Lungi Atoboa Siri Yake ya Kujikojolea!
Staa mrembo wa Bongo Movies, Lungi Maulanga hivi karibuni ametoa ushuhuda wake kwamba alikuwa akisumbuliwa na tatizo la kujisaidia kitandani mpaka alipofika kidato cha pili lakini alipona katika mazingira ya kushangaza.
“Nikiri tu kwamba nilikuwa kikojozi mpaka nafikia form two, nilikuwa naona aibu sana lakini aliyenisaida ni bibi mmoja ambaye aliniponya katika mazingira ya kushangaza.
“Baada ya kumwambia tatizo langu, aliniambia nipande kwenye mti wa muembe nikiwa na nguo zangu, nikiwa...
10 years ago
GPL
NAY AFUNGUKIA NDOA NA SHAMSA
10 years ago
GPL
WOLPER KUFUNGA NDOA YA SIRI
11 years ago
GPL
P FUNK AFUNGA NDOA YA SIRI
11 years ago
GPL
SIRI 7 ZA KUVUNJA NDOA NA MBUNGE MZEE
11 years ago
GPL
JOYCE KIRIA AFICHUA SIRI YA NDOA ZAKE
10 years ago
GPL
SIRI NDOA YA THEA, MIKE KUYUMBA YAVUJA
11 years ago
GPL
AMINI AANIKA SIRI NDOA YA FASTA, ABADILI JINA
10 years ago
GPL
NICKI, MEEK WADAIWA KUANDAA NDOA KWA SIRI