Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHILOLE ATOBOA SIRI TATTOO YA NUH

Gladness Mallya
STAA wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ametoboa siri ya kujichora tattoo yenye jina la mpenzi wake Naftari Mlawa ‘Nuh’ akisema alifanya hivyo ili kumpa imani mwanaume huyo kuwa anampenda sana. Staa wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Akizungumza na gazeti hili juzikati, Shilole alisema siku zote mpenzi wake hakuwa akiamini kama anampenda, licha ya ukweli kwamba...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Shilole achekelea kufuta tattoo ya Nuh

shshiNA CHRISTOPHER MSEKENA

DIVA matata kwenye muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amesema anajisikia fahari kufuta tattoo iliyokuwa na jina la aliyekuwa mpenzi wake, Nuh Mziwanda.

Akibonga na Swaggaz, Shilole alisema kwa muda mrefu alikuwa kwenye uhusiano usio na maana, lakini sasa anafurahi kujiondoa kwa Nuh na kufanikiwa ku­futa tattoo yenye jina la zilipendwa wake huyo.

“Ni maamuzi tu, huu ni mwili wangu kwahiyo wakati nilipokuwa naye niliamua kuandika jina lake na sasa nimeondoa...

 

11 years ago

GPL

NUH MZIWANDA: NITAKWENDA KABURINI NA TATTOO YA SHILOLE

Nuhu Mziwanda akiwa na mpenzi wake Zuwena Mohamed 'Shilole'. Nuhu Mziwanda akiwa amejichora Tattoo yenye jina la mpenzi wake, Shilole ikiwa imeandikwa ‘ShiShiBaby’. Juzi, Nuhu Mziwanda alipost picha kwenye Instagram ikionesha Tattoo…

 

10 years ago

Bongo Movies

Shilole Atoboa Sababu ya Kuachana na Nuh Mziwanda

Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amedai kuwa wivu ndiyo uliosababisha yeye na mchumba wake Nuh Mziwanda kuachana.

“Nuh haniamini kabisa na ana wivu kupitiliza ndo chanzo cha kuachana”  Shilole  amenukuliwa na Eatv.tv akieleza.

Wawili hao wamekuwa wakijibizana kwa maneno ya shombo kwenye midandao ya kijamii mara baada ya kuachana.

 

 

9 years ago

Bongo5

Shilole kuchora tattoo nyingine ya Nuh Mziwanda kalioni!

Hivi karibuni Zuwena Mohamed ‘Shilole’ alichora tattoo yenye jina la boyfriend wake Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ kwenye kifua chake, ikiwa ni ishara ya kuwa mapenzi yao yanazidi kushamiri. Kama vile haitoshi Shishi bado ana mpango wa kuongeza mchoro mwingine kwenye sehemu za siri. Akizungumza na Global Publishers, Staa huyo wa mduara, Shishi amesema ana mpango […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Shilole aonesha tattoo mpya ya jina la ‘Nuh’ aliyochora kifuani

Shilole amewathibitishia mashabiki na ‘haters’ wake kuwa mapenzi yake na Nuh Mziwanda ni ‘Unstoppable’. Staa huyo wa muziki na filamu ameonesha tattoo mpya aliyochora kifuani kwake yenye jina la mpenzi wake ‘Nuh’. Katika post yenye picha hiyo Shishi ameandika “Lv ya ukweli inaongea”. Mapenzi ya wawili hao yamekuwa yakikumbwa na dhoruba ya mara kwa mara […]

 

9 years ago

Bongo Movies

Shilole Afuta Tattoo ya Nuh Kifuani, Yasemekana Penzi Lao Limeingia Mchanga!

Kuna taarifa mtaani kuwa penzi la mastaa wa muziki, Shilole na Nuh Mziwanda limevunjika. Japokuwa sio mara ya kwanza kwa tetesi kama hizo kuhusu couple hiyo, lakini safari hii kuna dalili kuwa inaweza kuwa ‘serious’.

shilole-2

Moja ya vitu vinavyoongeza nguvu ya tetesi hizo, Shishi amefuta ile tattoo aliyochora kifuani kwake miezi kadhaa iliyopita, yenye jina la ‘Nuh’ na kuchora UA juu yake.

SHISHI tattoo mpya
Tattoo mpya

shishiiiii

SHISHI tattoo zamani
Tattoo iliyofutwa

Kipindi cha karibuni wawili hao hawaonekani pamoja kama ilivyozoeleka, na kila...

 

9 years ago

Bongo5

Shilole naye achora Tattoo ya jina la mpenzi wake Nuh Mziwanda (Picha)

Couple ya Shilole na Nuh Mziwanda sasa ni ngoma droo upande wa kuchora Tattoo za majina yao kwenye miili yao. Nuh ndiye aliyeanza kuchora tattoo kwenye mikono yake yote miwili. Tattoo ya kwanza ilikuwa ya jina la Shishi Bybee, na baadaye alikuja kuongeza Tattoo ya pili yenye sura ya Shishi. Mpenzi wake Shilole naye ameamua […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Shilole afuta tattoo ya Nuh kifuani, yasemekana penzi lao limeingia mchanga!

shilole-2

Kuna taarifa mtaani kuwa penzi la mastaa wa muziki, Shilole na Nuh Mziwanda limevunjika. Japokuwa sio mara ya kwanza kwa tetesi kama hizo kuhusu couple hiyo, lakini safari hii kuna dalili kuwa inaweza kuwa ‘serious’.

shilole-2

Moja ya vitu vinavyoongeza nguvu ya tetesi hizo, Shishi amefuta ile tattoo aliyochora kifuani kwake miezi kadhaa iliyopita, yenye jina la ‘Nuh’ na kuchora UA juu yake.

SHISHI tattoo mpya
Tattoo mpya

shishiiiii

SHISHI tattoo zamani
Tattoo iliyofutwa

Kipindi cha karibuni wawili hao hawaonekani pamoja kama ilivyozoeleka, na kila...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole

Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.

‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani