Shilole kuchora tattoo nyingine ya Nuh Mziwanda kalioni!
Hivi karibuni Zuwena Mohamed ‘Shilole’ alichora tattoo yenye jina la boyfriend wake Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ kwenye kifua chake, ikiwa ni ishara ya kuwa mapenzi yao yanazidi kushamiri. Kama vile haitoshi Shishi bado ana mpango wa kuongeza mchoro mwingine kwenye sehemu za siri. Akizungumza na Global Publishers, Staa huyo wa mduara, Shishi amesema ana mpango […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
NUH MZIWANDA: NITAKWENDA KABURINI NA TATTOO YA SHILOLE
10 years ago
Bongo504 Sep
Shilole naye achora Tattoo ya jina la mpenzi wake Nuh Mziwanda (Picha)
10 years ago
GPL
SHILOLE KUMCHORA NUH KALIONI
11 years ago
Bongo507 Oct
Picha: Nick Cannon aifunika Tattoo ya Mariah Carey kwa kuchora nyingine juu yake
9 years ago
Bongo505 Jan
Una mpango wa kuchora tattoo ya mpenzi wako? Shilole ana ushauri kuhusu hilo

Shilole a.k.a Shishi baby ametoa ushauri kwa watu kutochora tattoo za wapenzi wao, ili isije kuwapa shida pale watakapoachana kama ilivyomtokea yeye na aliyekuwa mpenzi wake Nuh Mziwanda.
Shishi ametoa ushauri huo baada ya kumwagana na aliyekuwa mpenzi wake Nuh Mziwanda.
“Sina tattoo tena nimeamua tu kuifuta,tutapendana tu kama ni mapenzi tutapeana ya rohoni,mambo ya kuchorana tattoo nimeshaacha,nishaona hakuna sababu ya kuchora unaweza kuchora tattoo ukazuia mambo yako mengi yanayopita.”...
9 years ago
Mtanzania02 Jan
Shilole achekelea kufuta tattoo ya Nuh
NA CHRISTOPHER MSEKENA
DIVA matata kwenye muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amesema anajisikia fahari kufuta tattoo iliyokuwa na jina la aliyekuwa mpenzi wake, Nuh Mziwanda.
Akibonga na Swaggaz, Shilole alisema kwa muda mrefu alikuwa kwenye uhusiano usio na maana, lakini sasa anafurahi kujiondoa kwa Nuh na kufanikiwa kufuta tattoo yenye jina la zilipendwa wake huyo.
“Ni maamuzi tu, huu ni mwili wangu kwahiyo wakati nilipokuwa naye niliamua kuandika jina lake na sasa nimeondoa...
10 years ago
GPL
SHILOLE ATOBOA SIRI TATTOO YA NUH
11 years ago
GPL
SHILOLE, NUH MZIWANDA
10 years ago
GPL
SHILOLE: SASA NAMZALIA NUH MZIWANDA