Una mpango wa kuchora tattoo ya mpenzi wako? Shilole ana ushauri kuhusu hilo
Shilole a.k.a Shishi baby ametoa ushauri kwa watu kutochora tattoo za wapenzi wao, ili isije kuwapa shida pale watakapoachana kama ilivyomtokea yeye na aliyekuwa mpenzi wake Nuh Mziwanda.
Shishi ametoa ushauri huo baada ya kumwagana na aliyekuwa mpenzi wake Nuh Mziwanda.
“Sina tattoo tena nimeamua tu kuifuta,tutapendana tu kama ni mapenzi tutapeana ya rohoni,mambo ya kuchorana tattoo nimeshaacha,nishaona hakuna sababu ya kuchora unaweza kuchora tattoo ukazuia mambo yako mengi yanayopita.”...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo514 Sep
Video: Hemedy ana ushauri kwa wanaume wa jinsi ya kumfanya mpenzi wako asikuache kamwe!
9 years ago
Bongo517 Oct
Shilole kuchora tattoo nyingine ya Nuh Mziwanda kalioni!
9 years ago
Bongo504 Jan
Sitochora tena tattoo ya jina la mpenzi wangu – Shilole
![shilole-2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/shilole-2-300x194.jpg)
Shilole ameapa kutorudia tena kuchora tattoo yenye jina la mpenzi wake.
Hivi karibuni muimbaji huyo alilazimika kuifuta tattoo ya jina la aliyekuwa mpenzi wake, Nuh Mziwanda.
Shilole amesema kujichora tattoo ya jila Nuh kumemharibia issue kibao.
“Tattoo hapa ni empty,” aliambia 255 katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Jumatatu hii.
“SiwezI tena kuchora tattoo kwaajili ya mapenzi. Nimeamua kama tutapendana tutapenda rohoni kwa sababu nishaona hakuna sababu ya kuchora tattoo. Unaweza...
9 years ago
Bongo504 Sep
Shilole naye achora Tattoo ya jina la mpenzi wake Nuh Mziwanda (Picha)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ge9WkNua4ToGidVhNGCmHOnxKb0l5EZAcmp7crKk8l66zh06sVPWI1*kbqfmHTRj-DmA1tsLcbSTql4qIxMgftvY*WHYpOFx/wapendanao.jpg?width=650)
MPENZI WAKO AKIKULALAMIKIA UNA WIVU WA KIJINGA KWAKE... UJUE ANAKUSALITI-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gDF3S0THO9xctIYvZS*E76imeYRRmUKPDAUhucylSLuqR5maF5qb7MuiwRt1wLPE9uXOZz4LvjrcBJYaJQu4Tm2RU8-vt793/Womanwithmobilephone1537768.jpg?width=650)
DALILI 5 KWAMBA MPENZI WAKO ANA WA KUMCHUNA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xkVCMRT4uG9PAJjc7fDVlV40CAdl7JDDJqil*4qEDvUHciEsKLkQPKPGOe-XvxPJRgPOijEj4wbU6atCg4kT61GujEwj2zlV/7.jpg?width=650)
KAMA MPENZI WAKO ANA WIVU, HII INAKUHUSU SANA!