DALILI 5 KWAMBA MPENZI WAKO ANA WA KUMCHUNA!
![](http://api.ning.com:80/files/gDF3S0THO9xctIYvZS*E76imeYRRmUKPDAUhucylSLuqR5maF5qb7MuiwRt1wLPE9uXOZz4LvjrcBJYaJQu4Tm2RU8-vt793/Womanwithmobilephone1537768.jpg?width=650)
Mapenzi ya sasa yamejaa usanii wa hali ya juu. Wapo wanaume ambao wana wapenzi wao lakini ukiwafuatilia utagundua wana ‘mashuga mami’ ambao wanawapa jeuri ya fedha. Ukiachilia mbali hao wanaume, wapo mabinti ambao licha ya kuwa na wapenzi wao wanaowapenda, pembeni wana wanaume wa kuwachuna.Utajuaje kama wa kwako naye ana mtu anayemchuna? Dalili hizi 5 ni kati ya nyingi zinazoweza kukupa mwanga. Ana simu zaidi ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xkVCMRT4uG9PAJjc7fDVlV40CAdl7JDDJqil*4qEDvUHciEsKLkQPKPGOe-XvxPJRgPOijEj4wbU6atCg4kT61GujEwj2zlV/7.jpg?width=650)
KAMA MPENZI WAKO ANA WIVU, HII INAKUHUSU SANA!
9 years ago
Bongo505 Jan
Una mpango wa kuchora tattoo ya mpenzi wako? Shilole ana ushauri kuhusu hilo
![shishi nw](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/shishi-nw-300x194.jpg)
Shilole a.k.a Shishi baby ametoa ushauri kwa watu kutochora tattoo za wapenzi wao, ili isije kuwapa shida pale watakapoachana kama ilivyomtokea yeye na aliyekuwa mpenzi wake Nuh Mziwanda.
Shishi ametoa ushauri huo baada ya kumwagana na aliyekuwa mpenzi wake Nuh Mziwanda.
“Sina tattoo tena nimeamua tu kuifuta,tutapendana tu kama ni mapenzi tutapeana ya rohoni,mambo ya kuchorana tattoo nimeshaacha,nishaona hakuna sababu ya kuchora unaweza kuchora tattoo ukazuia mambo yako mengi yanayopita.”...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/skuCKHlxf8WKh9A9-7Mih3X-kOBAevxksVUml2GVsp6mMYI6**G9ymgtXhCkmlJxqAp3B01Fo098R4ZTk8jQfM5qEzcfdlgu/love.jpg)
HAJIBU MESEJI, HAPOKEI SIMU, MAPENZI YAMEPUNGUA, ANA SIFA ZA KUWA MPENZI WAKO? JIONGEZE!
9 years ago
Bongo514 Sep
Video: Hemedy ana ushauri kwa wanaume wa jinsi ya kumfanya mpenzi wako asikuache kamwe!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NRpz*rV1U-vHG5-bX4LbVa95GsjByp9eIalFdEcex08MnkcVS7hhQtEhspSDBslRHD5*4LBKICQuh6Lgj7OwIh*yLGlCTidh/love.jpg)
MPENZI WA ZAMANI WA MPENZI WAKO ANAPOKUWA KIRUSI HATARI!
9 years ago
Vijimambo21 Aug
DALILI 10 ZA MKE/MPENZI ANAYEKUSALITI?
![](http://api.ning.com/files/bGawF3RRkadbiWKTR-YM-Wajh7hyjzGC1iUgS6O1kxq*6NCsGsmXwQUxWHPO8WyRGjWlHAT9q2mlOcoW0YucN4Otj-B5s*w2/clip_image001_thumb2.jpg?width=650)
Hii inatokea kwa sababu huenda muda mwingi uko kazini kwako na yeye kazini kwake au umemuacha nyumbani.
Sasa katika mazingira hayo utajuaje kama anakusaliti? Ni rahisi sana kama utanisoma kwa makini kwani hizi ndiyo dalili za mpenzi wa kike ambaye anakusaliti.
Haoneshi mapenzi anapokuwa na wewe
Wanawake wengi wanafanana...