Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DALILI 10 ZA MKE/MPENZI ANAYEKUSALITI?

Dunia siku hizi imeharibika, wanawake nao ni mahodari wa kusaliti ndoa zao au mapenzi yao na wanaume hushindwa kuwagundua kwa sababu ya kutokuwa na muda mwingi wa kuwa nao.

Hii inatokea kwa sababu huenda muda mwingi uko kazini kwako na yeye kazini kwake au umemuacha nyumbani.
Sasa katika mazingira hayo utajuaje kama anakusaliti? Ni rahisi sana kama utanisoma kwa makini kwani hizi ndiyo dalili za mpenzi wa kike ambaye anakusaliti.

Haoneshi mapenzi anapokuwa na wewe

Wanawake wengi wanafanana...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

DALILI 10 ZA MKE/MPENZI ANAYEKUSALITI?

Dunia siku hizi imeharibika, wanawake nao ni mahodari wa kusaliti ndoa zao au mapenzi yao na wanaume hushindwa kuwagundua kwa sababu ya kutokuwa na muda mwingi wa kuwa nao. Hii inatokea kwa sababu huenda muda mwingi uko kazini kwako na yeye kazini kwake au umemuacha nyumbani.
Sasa katika mazingira hayo utajuaje kama anakusaliti? Ni rahisi sana kama utanisoma kwa makini kwani hizi ndiyo dalili za mpenzi wa kike ambaye...

 

10 years ago

GPL

DALILI 5 KWAMBA MPENZI WAKO ANA WA KUMCHUNA!

Mapenzi ya sasa yamejaa usanii wa hali ya juu. Wapo wanaume ambao wana wapenzi wao lakini ukiwafuatilia utagundua wana ‘mashuga mami’ ambao wanawapa jeuri ya fedha. Ukiachilia mbali hao wanaume, wapo mabinti ambao licha ya kuwa na wapenzi wao wanaowapenda, pembeni wana wanaume wa kuwachuna.Utajuaje kama wa kwako naye ana mtu anayemchuna? Dalili hizi 5 ni kati ya nyingi zinazoweza kukupa mwanga. Ana simu zaidi ya...

 

10 years ago

GPL

MPENZI WA FACEBOOK AMNYONGA MKE WA MTU GESTI!

KWELI mchepuko siyo dili! Kauli hii imedhihirika kufuatia mwanadada, Ashura Maulid, mkazi wa Ilala jijini Dar, kukumbwa na mauti kwa madai ya kunyongwa ndani ya gesti na mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Charles ambaye inasemekana ni mpenzi waliyekutana kwenye mtandao wa kijamaii wa Facebook. Marehemu Ashura Maulid enzi za uhai wake. Tukio hilo lililojaa majonzi tele na kuacha maswali mengi, hasa kwa mume wa marehemu,...

 

9 years ago

GPL

UNAANZAJE KUWA NA URAFIKI NA MPENZI MKE WA MTU?

Niliwahi kuzungumzia kuhusu umuhimu wa kuwa na rafiki. Nikasema kwamba, mtu asiyekuwa na rafiki atakuwa ni mtu wa ajabu sana lakini nikatahadharisha kila mmoja kuwa makini katika kuchagua marafiki. Hata hivyo, tunapozungumzia masuala ya mahusiano, hakuna kitu cha hatari sana kama mimi au wewe kuwa na urafiki na mtu ambaye unajua yuko ndani ya ndoa au ana mpenzi wake. Ni hatari sana!
Lakini kabla ya kwenda mbali kulizungumzia...

 

10 years ago

GPL

UNAJENGA UKARIBU NA MKE, MPENZI WA MTU ILI IWEJE?

Ni wiki nyingine tulivu kabisa tunakutana kupitia safu hii nikiamini umzima bukheri wa afya. Mimi namshukuru Mungu kwa kunipa nguvu na uwezo wa kuandika hiki nilichodhamiria kukufikishia siku ya leo.
Nazungumzia ukaribu ambao baadhi ya watu wamekuwa wakiujenga kwa wake au waume za watu bila hofu yoyote na kuona ni jambo la kawaida tu. Katabia hako kamechipukia huko mtaani ambapo unakuta mtu yuko kwenye ndoa au uhusiano wa...

 

9 years ago

GPL

MAMBO MA-5 YA KUMTESTI MPENZI KAMA ANAFAA KUWA MKE!

Niwiki nyingine tulivu kabisa tunakutana kupitia safu hii nikiamini kwamba umzima na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku kama kawaida.Leo mpenzi msomaji wangu nitazungumzia mambo ambayo mwanaume anaweza kuyafanya katika kubaini kama mwanamke aliyenaye anafaa kuwa mke au amuweke pembeni atafute mtu mwingine. Nimeamua kuandika makala haya nikiamini kwamba, si kila unayeingia naye kwenye uhusiano anafaa kuwa mkeo. Wengine...

 

10 years ago

GPL

MPENZI WA FACEBOOK ANAYEDAIWA KUMNYONGA MKE WA MTU GESTI DAR NI HUYU!

Stori: Makongoro Oging’ na Mayasa Mariwata
MAPYA tena! Yale mauaji ya mke wa mtu, Ashura Maulid yaliyotokea kwa kunyongwa gesti na mwanaume anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake wa kwenye mtandao wa kijamii Facebook, Charles Raphael (pichani), sasa Uwazi limepata picha yake na mengine yameibuka. Charles Raphael anayedaiwa kumnyonga mke wa mtu gesti. MTUHUMIWA WA MAUAJI
Taarifa kutoka chanzo makini zimeeleza kuwa, mwanaume...

 

10 years ago

GPL

MPENZI WA ZAMANI WA MPENZI WAKO ANAPOKUWA KIRUSI HATARI!

Niwazi kila mmoja wetu ana historia katika maisha yake ya kimapenzi. Huenda mpaka sasa wewe msomaji ulishawahi kuwa na uhusiano na watu zaidi ya mmoja. Wala siyo ajabu! Yawezekana pia kati ya wale uliowahi kuwa nao wapo uliomwagana nao kwa shari lakini wapo pia ulioachana nao kiroho safi. Jambo ambalo leo nataka kulizungumzia ni hili la mtu kuendelea kuwa na mawasiliano na mpenzi wake wa zamani eti kwa sababu waliachana kwa...

 

11 years ago

Michuzi

MKE WA RAIS MAMA MWANAMWEMA AKUTANA MKE WA MFALME MUSWATI

Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Mama Mwanamwema Shein (kulia) akisalimiana na Mke wa Kwanza wa Mfalme Muswati wa Swasiland Mama Nomsa Matsebula,alipofika Ikulu ya Migombani na ujume wake leo,akiwa katika ziara ya siku mbili nchini. Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Mama Mwanamwema Shein (kulia) akizungumza na Mke wa Kwanza wa Mfalme Muswati wa Swasiland Mama Nomsa Matsebula,alipofika Ikulu ya Migombani na ujume wake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani