UNAANZAJE KUWA NA URAFIKI NA MPENZI MKE WA MTU?
![](http://api.ning.com:80/files/0JM2umRWL9c5KwOk-G*O1NbWOY1nRQyG10W6jjl3COumkZUA7xLrnSQRt1d1ihP2KemwmGpLcOTdq3TwHh4B1Xz0*BwjFPeA/valentinesdayhappycouples_00171162.jpg?width=650)
Niliwahi kuzungumzia kuhusu umuhimu wa kuwa na rafiki. Nikasema kwamba, mtu asiyekuwa na rafiki atakuwa ni mtu wa ajabu sana lakini nikatahadharisha kila mmoja kuwa makini katika kuchagua marafiki. Hata hivyo, tunapozungumzia masuala ya mahusiano, hakuna kitu cha hatari sana kama mimi au wewe kuwa na urafiki na mtu ambaye unajua yuko ndani ya ndoa au ana mpenzi wake. Ni hatari sana! Lakini kabla ya kwenda mbali kulizungumzia...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Oi8IGTb-jSIJHJWLK50TNRdPOS1ObIukevyAMOPfPjAsMwLg8BtSAswL4en3qXKki8U9evKG7HvrDr6mwR75MDQrHCqvUa9w/Ashura.jpg)
MPENZI WA FACEBOOK AMNYONGA MKE WA MTU GESTI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGj5YuX8rc3uVk1mzjvfZGmWhFJsQkjeWesvjknA4yhWAU91ktICdjvXFZe4WqPLPrgSAd6RSpRuTh2t0N*7ywBM/Love.jpg)
UNAJENGA UKARIBU NA MKE, MPENZI WA MTU ILI IWEJE?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwo4XPbesTsl40Adk0puw5x5NmwIxmh-93bxD3n6YJLVD*XtrZUvtCzyNS3Ov6811sBtUpT5Bte-dKBwVG3G1C4V/FRONTUWAZI.jpg)
MPENZI WA FACEBOOK ANAYEDAIWA KUMNYONGA MKE WA MTU GESTI DAR NI HUYU!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zYvUvcLXovBd1prpKBG5zNsGGshOWODPWB8ZZA7VRW-wINc3Afr4QMmAi52GH-jw6uCVibiQ1X-xn*ClTMcpCyTgPopPR2mr/10couplebythebeachmain.jpg?width=650)
MAMBO MA-5 YA KUMTESTI MPENZI KAMA ANAFAA KUWA MKE!
10 years ago
Bongo Movies17 Apr
MAPYA YAJITOKEZA: Yadaiwa kuwa “Mpenzi” wa LULU aliyefariki alikuwa mume wa mtu.
Habari zinazoendelea kutufikia kwenye meza yetu zinadai kuwa marehemu Seki aliyefariki ghafla hapo jana ambaye pia anadaiwa kuwa mpenzi wa mwanadada Elizabeth Michael – LULU alikuwa ni mume wa mtu na ameacha mjane na watoto.
Kwa mujibu wa mtoa habari wetu huyu marehemu Lusekelo maarufu kama seki alikuwa ni mfanyabiashara hapa mjini mwenye biashara kadhaa na alikuwa na uwezo mzuri tu wa kifedha.
Habari za uhakika zinasema kuwa Chanzo cha kifo cha Bw Seck kilisababishwa na kumuokoa mtoto...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tbqUI0THa5g/VTDZ7d9g1NI/AAAAAAABLy4/Gwb18HlInQ4/s72-c/lulu-pic.jpg)
LULU AFUTA AKAUNTI YAKE YA INSTAGRAM KUFUATIA KIFO CHA MTU ALIYEDAIWA KUWA MPENZI WAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-tbqUI0THa5g/VTDZ7d9g1NI/AAAAAAABLy4/Gwb18HlInQ4/s1600/lulu-pic.jpg)
Kufuatia kifo cha kutatanisha cha Lusekelo Samson Mwandenga ‘Secky’, watu wengi walianza kumtukana Lulu wakimhusisha pia na kifo hicho huku pia wakipost picha zinazomuonesha alipokuwa na marehemu.Hata hivyo mujibu wa Global Publishers, familia ya Secky imeweka wazi chanzo halisi cha kifo...
10 years ago
CloudsFM31 Dec
PATCHO MWAMBA AMSAMEHE ALIMZUSHIA KUWA AMEPIGWA BAADA YA KUFUMANIWA NA MKE WA MTU
Msanii maarufu wa bendi na ambaye pia muigizaji wa Bongo Movie, Patcho Mwamba amemsamehe aliyemzushia kuwa amepigwa baada ya kufumaniwa na mke wa mtu kwenye hotel ya Sinza.
Kupitia Uheard ya Clouds fm na Soudy Brown Patcho alitangaza kuwa ataenda sambamba na wote waliomzushia kufumaniwa na kuingiliwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7l-wHj5OnnlF5cRYGvWkpSl4m9PC1BWWJURUBuG7NCe3C-dWORDwz6afU38SaEyBzCNWgziybt560lUa1j5zMqi/MYGODZ.jpg)
MY GOD! MKE WA MTU AMWAFGIWA MAHARAGE YA MOTO, KISA NI MUME WA MTU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El9ADcWbV0*s9hceHmhBQ3*xYquB-vEut1oYBy50QwzngRzjhALEQ*0IkLK3eVEZaL7Wl8a7tq8BsspzFwxMnDF5/f.jpg?width=650)
KWA NINI MKE WA MTU ANAKUWA MKE WA WATU-2