UNAJENGA UKARIBU NA MKE, MPENZI WA MTU ILI IWEJE?
![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGj5YuX8rc3uVk1mzjvfZGmWhFJsQkjeWesvjknA4yhWAU91ktICdjvXFZe4WqPLPrgSAd6RSpRuTh2t0N*7ywBM/Love.jpg)
Ni wiki nyingine tulivu kabisa tunakutana kupitia safu hii nikiamini umzima bukheri wa afya. Mimi namshukuru Mungu kwa kunipa nguvu na uwezo wa kuandika hiki nilichodhamiria kukufikishia siku ya leo. Nazungumzia ukaribu ambao baadhi ya watu wamekuwa wakiujenga kwa wake au waume za watu bila hofu yoyote na kuona ni jambo la kawaida tu. Katabia hako kamechipukia huko mtaani ambapo unakuta mtu yuko kwenye ndoa au uhusiano wa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/lovingcouple.jpg?width=650)
UNAMPENDA MTU WA MTU ILI IWEJE?
9 years ago
Vijimambo12 Sep
UNAMPENDA MTU WA MTU ILI IWEJE?
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/lovingcouple.jpg?width=650)
Nilieleza kwamba, uzuri wa umbo, sura na vitu vingine vinapaswa kuwa chaguo la pili kwa mwanamke au mwanaume. Chaguo la kwanza linapaswa kuwa tabia njema. Ili uweze kudumu na mtu kwenye uhusiano ni vyema mkasomana tabia, ziwe njema na wote mfanane.
Ukimfuata mwanaume au mwanamke kutokana na mvuto...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0JM2umRWL9c5KwOk-G*O1NbWOY1nRQyG10W6jjl3COumkZUA7xLrnSQRt1d1ihP2KemwmGpLcOTdq3TwHh4B1Xz0*BwjFPeA/valentinesdayhappycouples_00171162.jpg?width=650)
UNAANZAJE KUWA NA URAFIKI NA MPENZI MKE WA MTU?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Oi8IGTb-jSIJHJWLK50TNRdPOS1ObIukevyAMOPfPjAsMwLg8BtSAswL4en3qXKki8U9evKG7HvrDr6mwR75MDQrHCqvUa9w/Ashura.jpg)
MPENZI WA FACEBOOK AMNYONGA MKE WA MTU GESTI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwo4XPbesTsl40Adk0puw5x5NmwIxmh-93bxD3n6YJLVD*XtrZUvtCzyNS3Ov6811sBtUpT5Bte-dKBwVG3G1C4V/FRONTUWAZI.jpg)
MPENZI WA FACEBOOK ANAYEDAIWA KUMNYONGA MKE WA MTU GESTI DAR NI HUYU!
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
Tunataka kunusuru mchakato wa katiba mpya ili iweje?
NAKUMBUKA nilipoingia darasani kufundishwa namna ya kutumia kompyuta, mwalimu aliyeingia darasani wa kwanza alianza na sentensi fupi ya kimombo kabla hata hatujasalimiana na kutambulishana. Nakumbuka alisema “garbage in, garbage out.”...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/TARUKDkBK7oZRGIVKgIWh1dt2uNaHJbToqfyxGMPeK31FY3q7dmX35nA-x2R*qEL2ocQY4Luun-liQZ9oc4yaL6dA73-v9VN/MAMAWEMAh.jpg?width=650)
WEMA, AUNT, YOTE HAYA ILI IWEJE SASA?
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Shoga; Unapiga picha za utupu ili iweje sasa?
Awali ya yote napenda kukupongeza shoga yangu kwa kuuona Mwaka Mpya wa 2016 hivyo hatunabudi kila mmoja wetu kumshukuru Mwenyezi Mungu aliyetuwezesha kuufikia kwani kuna wenzetu walitamani kuuona lakini hatunao.
Kama kawaida ya watu kujiwekea malengo kila tunapouanza mwaka mpya, nawe fanya hivyo ili utakapofika Desemba utembee kifua mbele kwa kufanikisha malengo yako.
Baada ya kusema hayo shoga yangu, sasa narejea kwenye jambo ambalo nimeona ni vyema nikazungumza nawe lengo likiwa ni...
10 years ago
Bongo Movies13 Jun
Johari: Nina mtoto sawa, mnataka kumjua baba yake ili iweje?
Staa wa Bongo Movies, Blandina Chagula ‘Johari’ amedai kushangazwa na watu wanaoshindwa kufanya mambo yao binafsi na kuanza kufuatilia maisha yake pamoja na mtoto wake.
ohari ameiambia Bongo5 kuwa anaishi kwa furaha na mwanae licha baadhi ya watu kumfuatilia na kutaka kujua mtoto wake amezaa na nani kitu ambacho hapendi kukiweka wazi kwa sasa.
“Sidhani kama kuna mtoto ambae anakosa baba,” amesema muigizaji huyo.
“Siku nitapokuwa tayari nitamweka wazi baba yake ili waridhike. Kwa sababu...