Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNAMPENDA MTU WA MTU ILI IWEJE?

JUMAMOSI nyingine mpenzi msomaji wa safu hii tunakutana kuweza kujuzana masuala ya mahaba. Hapa tunawekana sawa, wiki iliyopita tulijifunza namna ambavyo tabia inavyoweza kujenga au kubomoa uhusiano.

Nilieleza kwamba, uzuri wa umbo, sura na vitu vingine vinapaswa kuwa chaguo la pili kwa mwanamke au mwanaume. Chaguo la kwanza linapaswa kuwa tabia njema. Ili uweze kudumu na mtu kwenye uhusiano ni vyema mkasomana tabia, ziwe njema na wote mfanane.

Ukimfuata mwanaume au mwanamke kutokana na mvuto...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

UNAMPENDA MTU WA MTU ILI IWEJE?

JUMAMOSI nyingine mpenzi msomaji wa safu hii tunakutana kuweza kujuzana masuala ya mahaba. Hapa tunawekana sawa, wiki  iliyopita tulijifunza namna ambavyo tabia inavyoweza kujenga au kubomoa uhusiano. Nilieleza kwamba, uzuri wa umbo, sura na vitu vingine vinapaswa kuwa chaguo la pili kwa mwanamke au mwanaume. Chaguo la kwanza linapaswa kuwa tabia njema. Ili uweze kudumu na mtu kwenye uhusiano ni vyema mkasomana tabia, ziwe...

 

10 years ago

GPL

UNAJENGA UKARIBU NA MKE, MPENZI WA MTU ILI IWEJE?

Ni wiki nyingine tulivu kabisa tunakutana kupitia safu hii nikiamini umzima bukheri wa afya. Mimi namshukuru Mungu kwa kunipa nguvu na uwezo wa kuandika hiki nilichodhamiria kukufikishia siku ya leo.
Nazungumzia ukaribu ambao baadhi ya watu wamekuwa wakiujenga kwa wake au waume za watu bila hofu yoyote na kuona ni jambo la kawaida tu. Katabia hako kamechipukia huko mtaani ambapo unakuta mtu yuko kwenye ndoa au uhusiano wa...

 

10 years ago

GPL

UNAMPENDA MTU KISA MASILAHI? JIFUNZE HAPA!

JUMAMOSI nyingine, tunakutana katika uwanja wetu wa kupeana darasa la uhusiano. Naamini kupitia hapa tunapata kujifunza mengi, karibu na leo tujifunze pamoja.Tuanze kuidadavua mada iliyopo mezani. Mapenzi siku zote ni hisia. Raha ya penzi ni kumpata mpenzi akupendaye ambaye nawe unampenda vivyohivyo. Asikwambie mtu, mnapoogelea kwenye penzi ambalo kila mmoja anampenda mwenzake sawasawa na anavyopendwa maisha huwa ni matamu sana....

 

10 years ago

GPL

MY GOD! MKE WA MTU AMWAFGIWA MAHARAGE YA MOTO, KISA NI MUME WA MTU

Stori:  Dustan Shekidele, Morogoro My God! Mke wa mtu, Mwajuma Prima amelazwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro baada ya kumwagiwa mwilini sufuria la maharage yalitokuwa yakichemka jikoni, kisa kupeleka maneno ya umbeya kwa mume wa mtu. Mke wa mtu, Mwajuma Prima akiwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri juzikati majira ya saa 12:00 jioni ambapo mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Fatuma ndiye...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Mtu Chee Ft Jux,Deddy — Mtu Tatu

Rappers wanaounda kundi la Mtu Chee, Stamina, Country Boy na Young Killer wameachia wimbo mpya unaitwa “Mtu Tatu” wamewashirikisha Jux na Deddy Studio Kiri Records. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

GPL

MUME WA MTU AFA AKIWA NA MKE WA MTU

NI gumzo la aina yake ndani ya mji wa Kibaha mkoani Pwani ambapo mume wa mtu aliyejulikana kwa jina la Vedasto Ager (43) amefariki dunia baada ya kupata ajali ya kugongwa na gari aina ya Fuso akiwa amempakiza mke wa mtu kwenye pikipiki. Mwili wa marehemu Vedasto Ager ukiwa kwenye jeneza tayari kwa kuagwa. Kifo cha Vedasto kilichotokea Aprili 6, mwaka huu kimeacha maswali kibao kutokana na muda
wa tukio hilo kuwa usiku wa saa...

 

9 years ago

Global Publishers

Shoga; Unapiga picha za utupu ili iweje sasa?

LOVE2Awali ya yote napenda kukupongeza shoga yangu kwa kuuona Mwaka Mpya wa 2016 hivyo hatunabudi kila mmoja wetu kumshukuru Mwenyezi Mungu aliyetuwezesha kuufikia kwani kuna wenzetu walitamani kuuona lakini hatunao.

Kama kawaida ya watu kujiwekea malengo kila tunapouanza mwaka mpya, nawe fanya hivyo ili utakapofika Desemba utembee kifua mbele kwa kufanikisha malengo yako.
Baada ya kusema hayo shoga yangu, sasa narejea kwenye jambo ambalo nimeona ni vyema nikazungumza nawe lengo likiwa ni...

 

10 years ago

GPL

WEMA, AUNT, YOTE HAYA ILI IWEJE SASA?

MIMI ni Mmatengo, kabila moja kubwa katika mkoa wa Ruvuma, lakini lisilo maarufu, tunapatikana katika wilaya kubwa pia, inaitwa Mbinga. Idadi kubwa ya wamatengo ni wakristo, tena wa madhehebu ya Roman Catholic.
Katika moja ya vitu ambavyo wanakijiji wenzangu wanaviheshimu sana, ni makaburi. Wenyewe wanaita Shamba la Bwana. Ili kuonyesha heshima hiyo, makaburi yamepewa ‘ofa’ ya kujengwa mbali kabisa na makazi ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunataka kunusuru mchakato wa katiba mpya ili iweje?

NAKUMBUKA nilipoingia darasani kufundishwa namna ya kutumia kompyuta, mwalimu aliyeingia darasani wa kwanza alianza na sentensi fupi ya kimombo kabla hata hatujasalimiana na kutambulishana. Nakumbuka alisema “garbage in, garbage out.”...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani