MUME WA MTU AFA AKIWA NA MKE WA MTU
![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcIkwe79Xf*bMKoF4R9FbewQXeyINX6RzAGzhSuWOwPYDD5JgyVpjIVKOxRsXcX26sWJiOYVK9626gtBKHQVuzb2/mkewamtusumu.jpg?width=650)
NI gumzo la aina yake ndani ya mji wa Kibaha mkoani Pwani ambapo mume wa mtu aliyejulikana kwa jina la Vedasto Ager (43) amefariki dunia baada ya kupata ajali ya kugongwa na gari aina ya Fuso akiwa amempakiza mke wa mtu kwenye pikipiki. Mwili wa marehemu Vedasto Ager ukiwa kwenye jeneza tayari kwa kuagwa. Kifo cha Vedasto kilichotokea Aprili 6, mwaka huu kimeacha maswali kibao kutokana na muda wa tukio hilo kuwa usiku wa saa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7l-wHj5OnnlF5cRYGvWkpSl4m9PC1BWWJURUBuG7NCe3C-dWORDwz6afU38SaEyBzCNWgziybt560lUa1j5zMqi/MYGODZ.jpg)
MY GOD! MKE WA MTU AMWAFGIWA MAHARAGE YA MOTO, KISA NI MUME WA MTU
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Mrema afa na mtu
MWENYEKITI wa Tanzania Labour Party (TLP), Augustine Mrema, amekunjua upya makucha yake yaliyowahi kurarua viongozi wenzake akiwa katika NCCR-Mageuzi na TLP, na sasa amefukuza hadharani madiwani wawili wa chama chake...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa4wc48-rReGE76qrFHy5qUTEiGom15oc5ZZ9pFFg47HZk3-xqkgUZdNa5gVhpsKiY5F*IYhuXJkmXF0hEKj7u51/12.jpg?width=650)
KWA NINI MKE WA MTU ANAKUWA MKE WA WATU?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El9ADcWbV0*s9hceHmhBQ3*xYquB-vEut1oYBy50QwzngRzjhALEQ*0IkLK3eVEZaL7Wl8a7tq8BsspzFwxMnDF5/f.jpg?width=650)
KWA NINI MKE WA MTU ANAKUWA MKE WA WATU-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TL-la4qMC-1vT*zX-Bf*GInnodcrT8l4*gnuztlCu93OJTj4DtQETsRyWtMK5G*k54C1HgkhB6tRbbjaykSaE30DkzGpcmDj/BACKAMANI.jpg?width=650)
MUME WA MTU ALIVYOAIBIKA
11 years ago
Michuzi15 May
Mtu mmoja afa kwa kunyongwa na watu wasiojulikana mkoani Pwani
MLINZI Bakari Mape (70) mkazi wa Mlandizi wilaya ya Kibaha mkoa wa Pwani ameuwawa kwa kunyongwa na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi.
Watu hao ambao idadi yao haikuweza kufahamika mara moja walimwua mlinzi huyo kwa kumvunja shingo kisha kuiba kwenye duka ambalo mlinzi huyo alikuwa akililinda.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani humo Kamishna Mwandamizi Msaidizi (SACP) Ulrich Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea Mei 14 mwaka huu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoOSAWHxohslGdDOfdskTB1sKMFueS5LomF69ziePzlb2vezAFB4vkMxtacqF2tBJm3O7KY49ftfkLbRz8dJstGck/masogange.jpg?width=650)
MASOGANGE: NAOGOPA MUME WA MTU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXrkGkJNd-wu0RS7e0ADQ-P0TUwQBiAFnTuwxTBUQdCS7YR0AvdXJATDoVW2162ezWuTq-gWU938bc4jK3K8k65b/KAJALA.jpg?width=650)
MUME WA MTU AMLIZA KAJALA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsulok50a524A1Yb-jtCFxiOk*pROSe9wF2DuU6DlK-nYmgeQGTBkGCW413dD5kbO6q5Y86O5Id7Vpv-HqIXveyQn/aunty.jpg)
AUNT MUME WA MTU WANASWA!