Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Music: Mtu Chee Ft Jux,Deddy — Mtu Tatu

Rappers wanaounda kundi la Mtu Chee, Stamina, Country Boy na Young Killer wameachia wimbo mpya unaitwa “Mtu Tatu” wamewashirikisha Jux na Deddy Studio Kiri Records. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Kundi la Mtu Chee kuundwa upya

young deeNA CHRISTOPHER MSEKENA

BAADA ya kuwa kimya kwa miaka miwili, kundi la muziki wa hip hop nchini, Mtu Chee, linatarajiwa kurudi kwa kasi kubwa katika tasnia ya muziki.

Kundi hilo linaloundwa na wasanii Boniventure Kabogo, ‘Stamina’, Ibrahim Mandingo ‘Country Boy’ na David Genzi ‘Young Dee’, linarudi baada ya maombi ya wadau mbalimbali wa muziki nchini.

Kwa niaba ya wenzake, Country Boy alisema wameshaanza kurekodi kwa prodyuza Rash Don studio ya Kiri Record, ili kurudisha upya kundi hilo...

 

9 years ago

Bongo5

Young Dee aeleza kwanini alijiondoa ‘Mtu Chee’

Young Dee amesema aliamua kuachana na kundi la Mtu Chee baada ya kuona halina malengo ya mbele. Young Dee ameimbia 255 ya XXL kuwa ameshauriwa na watu wake wa karibu kuachana na project za kundi hilo na kusimama yeye mwenyewe. “Haina u-serous katika kazi,” alisema. “Mfumo wake wa kazi ni ule wa mizuka, watu ambao […]

 

9 years ago

Bongo5

Mtu Chee (Stamina,Country Boy na Young Dee) waingia studio

Rappers wanaounda kundi la Mtu Chee, Stamina, Country Boy na Young Dee ameingia studio za Kiri Records kuandaa kazi mpya za kundi hilo. Kupitia ukurasa wa Instagram, Stamina alipost picha na kuandika: Current situation,,,,right now,,,ndani ya Kirirecordstz tupo na mtu mbayaaaa Rashdontz project mpyaaaaaaa ya MTU CHEE,MTU NOMA,MTU 3,yale majibu ya maswali yenu sasa yako […]

 

9 years ago

Bongo5

Uliokuwa uongozi wa Young Dee watoa ofa ya video moja kwa kundi alilojitoa la Mtu Chee

Baada ya uongozi wa Million Dollar Boys (MDB) uliokuwa ukimsimamia Young Dee kusitisha kufanya kazi na rapper huyo, CEO wa kampuni hiyo na studio za Authentic, Millian ametoa ofa ya video kwa kundi la Mtu Chee ambalo Young Dee pia amejitoa. Kundi la Mtu Chee lililoanzishwa na rappers Stamina, Country Boy na Young Dee, leo […]

 

10 years ago

GPL

MY GOD! MKE WA MTU AMWAFGIWA MAHARAGE YA MOTO, KISA NI MUME WA MTU

Stori:  Dustan Shekidele, Morogoro My God! Mke wa mtu, Mwajuma Prima amelazwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro baada ya kumwagiwa mwilini sufuria la maharage yalitokuwa yakichemka jikoni, kisa kupeleka maneno ya umbeya kwa mume wa mtu. Mke wa mtu, Mwajuma Prima akiwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri juzikati majira ya saa 12:00 jioni ambapo mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Fatuma ndiye...

 

11 years ago

GPL

MUME WA MTU AFA AKIWA NA MKE WA MTU

NI gumzo la aina yake ndani ya mji wa Kibaha mkoani Pwani ambapo mume wa mtu aliyejulikana kwa jina la Vedasto Ager (43) amefariki dunia baada ya kupata ajali ya kugongwa na gari aina ya Fuso akiwa amempakiza mke wa mtu kwenye pikipiki. Mwili wa marehemu Vedasto Ager ukiwa kwenye jeneza tayari kwa kuagwa. Kifo cha Vedasto kilichotokea Aprili 6, mwaka huu kimeacha maswali kibao kutokana na muda
wa tukio hilo kuwa usiku wa saa...

 

9 years ago

Bongo5

Young Killer ajiunga na kundi la Mtu Chee, achukua nafasi ya Young Dee aliyejitoa

Baada kuwa kimya kwa takribani miaka miwili, Kundi la Mtu Chee lililokuwa linaundwa na rappers watatu, Ibrahim Mandingo a.k.a Country Boy, David Genzi a.k.a Young Dee pamoja na Boniventure Kabogo a.k.a Stamina linarudi rasmi likiwa na mabadiliko. Country Boy Member na mmoja wa waanzilishi wa kundi hilo Country Boy amesema kuwa Mtu Chee imepata member […]

 

9 years ago

Bongo5

Stamina aondoa utata kuhusu Young Killer kuziba nafasi ya Young D kwenye Mtu Chee

mtu chee2Kulikuwa na utata kuhusu member mpya wa kundi la Mtu Chee ambalo hapo mwanzo liliundwa na rappers watatu, Stamina, Young D na Country Boy. Baada ya taarifa za Young Dee kuondoka kwenye kundi hilo, kulikuwa na taarifa kuwa Young Killer ambaye ameshiriki kwenye wimbo mpya wa kundi hilo, ‘Mtu Tatu’, kuwa ndio member mpya wa […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Mtuchee Ft Jux & Deddy – Mtutatu

AWWWWW

Ma rapper watatu wanao unda kundi la Mtu Chee, Stamina, Country Boy, Young Killer wameachia video mpya ya wimbo unaitwa” Mtu Tatu” wamewashirikisha Jux na Deddy. Video imeongozwa na Khalfani.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani