Young Killer ajiunga na kundi la Mtu Chee, achukua nafasi ya Young Dee aliyejitoa
Baada kuwa kimya kwa takribani miaka miwili, Kundi la Mtu Chee lililokuwa linaundwa na rappers watatu, Ibrahim Mandingo a.k.a Country Boy, David Genzi a.k.a Young Dee pamoja na Boniventure Kabogo a.k.a Stamina linarudi rasmi likiwa na mabadiliko. Country Boy Member na mmoja wa waanzilishi wa kundi hilo Country Boy amesema kuwa Mtu Chee imepata member […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo502 Nov
Stamina aondoa utata kuhusu Young Killer kuziba nafasi ya Young D kwenye Mtu Chee
![mtu chee2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mtu-chee2-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo513 Oct
Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram
9 years ago
Bongo521 Oct
Uliokuwa uongozi wa Young Dee watoa ofa ya video moja kwa kundi alilojitoa la Mtu Chee
9 years ago
Bongo513 Oct
Young Dee aeleza kwanini alijiondoa ‘Mtu Chee’
9 years ago
Bongo502 Oct
Mtu Chee (Stamina,Country Boy na Young Dee) waingia studio
11 years ago
GPL25 Feb
GLOBAL TV ONLINE; MTU KATI NA YOUNG KILLER
11 years ago
Michuzi18 Feb
9 years ago
Mtanzania15 Sep
Kundi la Mtu Chee kuundwa upya
NA CHRISTOPHER MSEKENA
BAADA ya kuwa kimya kwa miaka miwili, kundi la muziki wa hip hop nchini, Mtu Chee, linatarajiwa kurudi kwa kasi kubwa katika tasnia ya muziki.
Kundi hilo linaloundwa na wasanii Boniventure Kabogo, ‘Stamina’, Ibrahim Mandingo ‘Country Boy’ na David Genzi ‘Young Dee’, linarudi baada ya maombi ya wadau mbalimbali wa muziki nchini.
Kwa niaba ya wenzake, Country Boy alisema wameshaanza kurekodi kwa prodyuza Rash Don studio ya Kiri Record, ili kurudisha upya kundi hilo...
11 years ago
GPL20 Jul