Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNAMPENDA MTU KISA MASILAHI? JIFUNZE HAPA!

JUMAMOSI nyingine, tunakutana katika uwanja wetu wa kupeana darasa la uhusiano. Naamini kupitia hapa tunapata kujifunza mengi, karibu na leo tujifunze pamoja.Tuanze kuidadavua mada iliyopo mezani. Mapenzi siku zote ni hisia. Raha ya penzi ni kumpata mpenzi akupendaye ambaye nawe unampenda vivyohivyo. Asikwambie mtu, mnapoogelea kwenye penzi ambalo kila mmoja anampenda mwenzake sawasawa na anavyopendwa maisha huwa ni matamu sana....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

UNAMPENDA MTU WA MTU ILI IWEJE?

JUMAMOSI nyingine mpenzi msomaji wa safu hii tunakutana kuweza kujuzana masuala ya mahaba. Hapa tunawekana sawa, wiki  iliyopita tulijifunza namna ambavyo tabia inavyoweza kujenga au kubomoa uhusiano. Nilieleza kwamba, uzuri wa umbo, sura na vitu vingine vinapaswa kuwa chaguo la pili kwa mwanamke au mwanaume. Chaguo la kwanza linapaswa kuwa tabia njema. Ili uweze kudumu na mtu kwenye uhusiano ni vyema mkasomana tabia, ziwe...

 

9 years ago

Vijimambo

UNAMPENDA MTU WA MTU ILI IWEJE?

JUMAMOSI nyingine mpenzi msomaji wa safu hii tunakutana kuweza kujuzana masuala ya mahaba. Hapa tunawekana sawa, wiki iliyopita tulijifunza namna ambavyo tabia inavyoweza kujenga au kubomoa uhusiano.

Nilieleza kwamba, uzuri wa umbo, sura na vitu vingine vinapaswa kuwa chaguo la pili kwa mwanamke au mwanaume. Chaguo la kwanza linapaswa kuwa tabia njema. Ili uweze kudumu na mtu kwenye uhusiano ni vyema mkasomana tabia, ziwe njema na wote mfanane.

Ukimfuata mwanaume au mwanamke kutokana na mvuto...

 

10 years ago

GPL

MY GOD! MKE WA MTU AMWAFGIWA MAHARAGE YA MOTO, KISA NI MUME WA MTU

Stori:  Dustan Shekidele, Morogoro My God! Mke wa mtu, Mwajuma Prima amelazwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro baada ya kumwagiwa mwilini sufuria la maharage yalitokuwa yakichemka jikoni, kisa kupeleka maneno ya umbeya kwa mume wa mtu. Mke wa mtu, Mwajuma Prima akiwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri juzikati majira ya saa 12:00 jioni ambapo mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Fatuma ndiye...

 

10 years ago

Mwananchi

Uraia pacha, masilahi binafsi dhidi ya masilahi ya Taifa

Wanaoendelea kudai uraia pacha, ama hawajasoma Rasimu au wana lao jambo.Salamu zangu kwenu wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, naendelea kuwapa moyo kwamba kazi mnayoifanya ni yetu na ninyi miongoni mwetu mmeonekana wenye sifa na vigezo vya kuitenda kazi hiyo ipasavyo.

 

10 years ago

GPL

ALA KICHAPO KISA MUME WA MTU

Hamida hassan
Dada mmoja aliyefahamika kwa jina la Jamila mkazi wa Kawe jijini Dar hivi karibuni alipata kipigo cha kufa mtu akituhumiwa kuchepuka na mume wa mwanamke mmoja aitwaye Sheila.Tukio hilo lilitokea hivi karibuni ambapo ilielezwa kuwa, Sheila alitonywa na wambeya kuwa Jamila amekuwa akichepuka na mumewe na bila kuchunguza akapanga kumshikisha adabu. Jamila akiwa na jeraha usoni kwa tuhuma zakutembea na mume wa mtu....

 

11 years ago

GPL

ACHOMWA KISU KISA MUME WA MTU!

JESHIla polisi mkoani hapa linamshikilia mwanamke aliyejulikana kwa jina la Pima Mabubu kwa tuhuma za kumchoma kisu mpaka kumjeruhi vibaya mwanamke mwenzake, Amina Hussein akidai ana uhusiano wa kimapenzi na mumewe, Adam Ndekeja, Risasi Jumamosi lina mkasa wote. Amina Hussein akipata matibabu katika hospital ya taifa Muhimbili. Tukio hilo lililowaacha watu vinywa wazi, lilijiri Aprili 22, mwaka huu shambani katika Kijiji cha...

 

11 years ago

GPL

ISABELA ACHEZEA KIPIGO, KISA MUME WA MTU

MAJANGA! Staa wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda alijikuta akichezea kipigo kutoka kwa mke wa kigogo mmoja maarufu jijini Dar baada kutuhumiwa kuwa anaiba penzi la bosi huyo. Staa wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda akipozi. Tukio hilo la aibu lilitokea mwaka 2010 ambapo chanzo cha staa huyo kuumbuka kilikuwa ni meseji aliyomtumia kigogo huyo kisha mkewe kuinasa. Mke huyo akaichukua namba ya Isabela na kuanza...

 

11 years ago

GPL

MKE WA MTU ACHANJWA NYEMBE KISA FUMANIZI

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro MWANAMKE mmoja,  Rehema Juma (21) ambaye ni mke wa mtu, mkazi wa Mtaa wa Msamvu B, Kata ya Kihonda Maghorofani mkoani Morogoro amechanwa na nyembe mwilini na baadaye kutembezwa bila nguo mtaani mchana kweupe akituhumiwa kufumwa na mume wa mtu. ...Aliyekatwa nyembe. Tukio hilo la aina yake  ambalo lilivuta umati mkubwa, lilitokea Julai 5, mwaka huu saa 10 jioni katika Mtaa wa Msamvu B....

 

10 years ago

GPL

AMWAGIWA MAFUTA YA MOTO USONI, KISA MUME WA MTU!

NA WAANDISHI WETU MWANADADA aliyefahamika kwa jina moja la Mbuva, mkazi wa Gongo la Mboto jijini Dar, hivi karibuni amejikuta akiharibiwa uso wake kwa kumwagiwa mafuta ya moto na shosti wake aitwaye Mama Sofia, kisa kikidaiwa ni mume wa mtu. Mbuva, akiwa na majeraha usoni baada ya kumwagiwa mafuta ya moto. Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo inadaiwa mama Sofia alimfanyia mwenzake unyama huo akimtuhumu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani