ACHOMWA KISU KISA MUME WA MTU!
![](http://api.ning.com:80/files/mza-*42r4qhrG8qQmvDPFRkfuIz4wus7C5gHR03eGue-2p84*QvXBGWriPwtJ5xH-1NUIdcwZP5XlihbWnzQvKNd9rn8eJ3F/kisu.jpg?width=650)
JESHIla polisi mkoani hapa linamshikilia mwanamke aliyejulikana kwa jina la Pima Mabubu kwa tuhuma za kumchoma kisu mpaka kumjeruhi vibaya mwanamke mwenzake, Amina Hussein akidai ana uhusiano wa kimapenzi na mumewe, Adam Ndekeja, Risasi Jumamosi lina mkasa wote. Amina Hussein akipata matibabu katika hospital ya taifa Muhimbili. Tukio hilo lililowaacha watu vinywa wazi, lilijiri Aprili 22, mwaka huu shambani katika Kijiji cha...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5SYuKLMNKFwr*nTJ6hKFEGHogGh8cL1EjHsMMn8ZxSgLnrIDMibNQi6-Y0BWWmUNGfn0*ZDay*mgC93m3s1uY3mJQ43e0*yr/6.jpg?width=650)
ACHOMWA KISU, KISA MGAWO WA FEDHA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7l-wHj5OnnlF5cRYGvWkpSl4m9PC1BWWJURUBuG7NCe3C-dWORDwz6afU38SaEyBzCNWgziybt560lUa1j5zMqi/MYGODZ.jpg)
MY GOD! MKE WA MTU AMWAFGIWA MAHARAGE YA MOTO, KISA NI MUME WA MTU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3VhYbLuVZbXAszpipVmaPWydyzKEFcaw-YHReF-5ufHfXir*qphF1PCNdUEwaAguQayYvvWt2rTivtfJsxg6hCUp/BACKIJUMAA.gif)
ALA KICHAPO KISA MUME WA MTU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCnST9ghfiVbQRo9XI-jMTyKEAS*MDaNNyO8GenSD6pmZkajWcn2aIV02-pYVBSxencwyqigJ5SIVuGmAWj48E7c/isabela.jpg)
ISABELA ACHEZEA KIPIGO, KISA MUME WA MTU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pXWI1kxUZH5doByiFTOS2rGNBHOSzWa9KBY2k**9nV-fmSS*Intj8*BEm4xL0hfPvnwpAVGp9SMdR9-4bfSBzHe2dYNZkSQ0/mume.jpg)
AMWAGIWA MAFUTA YA MOTO USONI, KISA MUME WA MTU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGEL7fUSpggh6kbUgLNTQwLGcYt3pUq7Md6303qUGjZdyS*slmQBiaJZaKRho6YItU5xOJ4CVtaCSFrhWyxoBCGI/achomwaafa.jpg?width=650)
ACHOMWA KISU, AFIA POLISI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JgWHSTt60eu8IdRyLLb35CEFqhAIia2rHbjAvOWRH-Qsih4TjvNh1ZtRyjtI2zxYj2FM2yfnHVgZIW3UTkkufjoWGVC6MlWN/KISU.jpg?width=650)
ACHOMWA KISU AKIMTETEA MKEWE!
10 years ago
CloudsFM06 Mar
BALOZI WA MAREKANI ACHOMWA KISU MKUTANONI
BALOZI wa Marekani nchini Korea Kusini anaendelea kuuguza majeraha baada ya kushambuliwa kwa kisu na mtu mmoja mjini Seoul.
Balozi huyo Mark Lippert alishambuliwa na Mkorea Kim Ki-jong mwenye umri wa miaka 55 wakati mkutano wa kuziunganisha tena Korea Kusini na Kaskazini ukuiendelea. Lippert alijeruhiwa usoni na mkononi kwenye shambulio hilo amelazimika kushonwa nyuzi 80 usoni. Mkorea huyo Ki-jong amewahi kufungwa jela mwaka 2010 baada ya kujaribu kumshambulia balozi wa Japan alipokuwa...
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Mwalimu achomwa kisu akiwa shuleni