ACHOMWA KISU, AFIA POLISI

Stori: Denis Mtima na Mayasa Maliwata INATISHA sana! Renard Mabula, mkazi wa Kiluvya jijini Dar es Salaam amekufa ndani ya Kituo cha Polisi cha Gogoni, Kinondoni jijini Dar es Salaam baada ya kukimbilia hapo kufuatia kuchomwa kisu tumboni na mtu aliyetajwa kwa jina la Moleli (22), Uwazi lina mkanda kamili. Kwa mujibu wa habari za kipolisi, tukio hilo lilijiri Februari 11, mwaka huu, Gogoni ambako ndiko kwenye makazi ya mtuhumiwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
ACHOMWA KISU AKIMTETEA MKEWE!
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Mwalimu achomwa kisu akiwa shuleni
10 years ago
GPL
MWENYE MKE ACHOMWA KISU NA MGONI!
11 years ago
GPL
ACHOMWA KISU KISA MUME WA MTU!
10 years ago
CloudsFM06 Mar
BALOZI WA MAREKANI ACHOMWA KISU MKUTANONI
BALOZI wa Marekani nchini Korea Kusini anaendelea kuuguza majeraha baada ya kushambuliwa kwa kisu na mtu mmoja mjini Seoul.
Balozi huyo Mark Lippert alishambuliwa na Mkorea Kim Ki-jong mwenye umri wa miaka 55 wakati mkutano wa kuziunganisha tena Korea Kusini na Kaskazini ukuiendelea. Lippert alijeruhiwa usoni na mkononi kwenye shambulio hilo amelazimika kushonwa nyuzi 80 usoni. Mkorea huyo Ki-jong amewahi kufungwa jela mwaka 2010 baada ya kujaribu kumshambulia balozi wa Japan alipokuwa...
10 years ago
GPL
ACHOMWA KISU, KISA MGAWO WA FEDHA
10 years ago
GPL
DENTI MWENZAKE LULU ACHOMWA KISU, AFARIKI
10 years ago
Habarileo27 Dec
Polisi achomwa mkuki ubavuni
POLISI wa kituo cha Kinesi wilayani Rorya mkoani Mara, Konstebo Deogratius amejeruhiwa kwa kuchomwa mkuki ubavuni.
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Mke wa polisi afia nyumbani kwa dereva wa bodaboda