Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi achomwa mkuki ubavuni

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Tarime/Rorya, Lazaro MambosasaPOLISI wa kituo cha Kinesi wilayani Rorya mkoani Mara, Konstebo Deogratius amejeruhiwa kwa kuchomwa mkuki ubavuni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

ASKARI ACHOMWA MKUKI WA UBAVU MARA

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania Ernest ManguBaadhi ya picha za matukio ambayo jeshi la polisi hupamba nayo.
Na Samson Chacha - MaraAskari polisi Deogratius wa Kituo cha Polisi, Kinesi Wilayani Rorya mkoani Mara, amechomwa mkuki na wananchi waliovamia mgodi wa dhahabu wa ACACIA North Mara kwa lengo la kupora mawe.

Kamanda wa Polisi wa Tarime Rorya, ACP Lazaro Mambo, alisema jana kuwa, askari huyo alijeruhiwa na kundi la watu zaidi ya 2,000 lililovamia kwenye mgodi huo Jumanne ya wiki hii....

 

11 years ago

GPL

ACHOMWA KISU, AFIA POLISI

Stori: Denis Mtima na Mayasa Maliwata INATISHA sana! Renard Mabula, mkazi wa Kiluvya jijini Dar es Salaam amekufa ndani ya Kituo cha Polisi cha Gogoni, Kinondoni jijini Dar es Salaam baada ya kukimbilia hapo kufuatia kuchomwa kisu tumboni na mtu aliyetajwa kwa jina la Moleli (22), Uwazi lina mkanda kamili. Kwa mujibu wa habari za kipolisi, tukio hilo lilijiri Februari 11, mwaka huu, Gogoni ambako ndiko kwenye makazi ya mtuhumiwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Madaktari waunda masikio toka ubavuni

Kijana wa miaka 9 aliyezaliwa bila maskio apata viungo hivyo baada ya madaktari kuziunda kutoka Ubavuni mwake

 

9 years ago

Global Publishers

Mkuki moyoni mwangu 18

Catarina amelazwa hospitali ya Ocean Road akisumbuliwa na saratani ya damu, ugonjwa ulioibuka ghafla wakati akifuatilia afya ya Kevin, kijana waliyependana lakini hawakuwahi kuelezana ukweli wa mioyo yao.

Kevin hivi sasa anaendelea vizuri na ametoka hospitali na kurejea nyumbani, wazazi wake wamemkatalia kabisa kumuona Catarina ingawa alitaka jambo hili litokee. Matibabu ya mionzi yameanza kwa Catarina na wazazi wake wameelezwa kwamba yanaweza kuwa na madhara lakini inabidi wakubaliane kwani...

 

9 years ago

Global Publishers

Mkuki moyoni mwangu – 11

Hali ya Catarina bado ni mbaya na amelazwa katika hospitali ya Saratani ya Ocean Road, Jopo la madaktari wakishirikiana na Dk. Ngamila wamefanya matibabu ya awali ya dawa ya mionzi kuona kama angeweza kupata nafuu lakini haikuwa hivyo, Dk. Ngamila analazimika kuwaita wazazi wake na kuwaeleza majibu ya mtoto wao akiwaeleza kwamba pamoja na matibabu ya awali bado vimelea vya Saratani vilikuwepo kwenye damu.

Ushauri pekee anaowaeleza ni kumpandikizia Catarina Uboho kutoka kwa mtu mwingine hivyo...

 

10 years ago

TheCitizen

SINGLE IN THE CITY: My warrior with shining ‘mkuki’

>I hear the rains have enraptured our city; I am guessing plenty of cuddling is ensuing. What with temperatures cooling and body warmth preferred. You see I’m out visiting my soul sister Shukria in Kenya; she’s a journalist like me.

 

10 years ago

Mwananchi

Saidi Idd: Nimechomwa mkuki na mama yangu mzazi

Mtaa wa Mwatulole, wilayani Geita mkoani Geita, ndiko anakopatikana mtoto Saidi Idd , (so jina lake halisi), mwanafunzi wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Mwatulole mwenye umri wa miaka saba.

 

9 years ago

Bongo5

Uongozi wa MDB waweka wazi ‘mkuki wa moyoni’ waliochomwa na Young Dee

Uongozi wa Millian Dollar Boys unaomiliki studio za Authentic za jijini Dar es Salaam umesikitishwa na kitendo cha ukosefu wa fadhila na shukrani, kilichofanywa na rapper Young Dee aliyekuwa chini yake. Millian Hivi karibuni Young Dee alidai kuwa uongozi huo pamoja na mambo mengine ulimzuia kuwa member wa kundi la Mtu Chee. CEO wa kampuni […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani