Mkuki moyoni mwangu 18
Catarina amelazwa hospitali ya Ocean Road akisumbuliwa na saratani ya damu, ugonjwa ulioibuka ghafla wakati akifuatilia afya ya Kevin, kijana waliyependana lakini hawakuwahi kuelezana ukweli wa mioyo yao.
Kevin hivi sasa anaendelea vizuri na ametoka hospitali na kurejea nyumbani, wazazi wake wamemkatalia kabisa kumuona Catarina ingawa alitaka jambo hili litokee. Matibabu ya mionzi yameanza kwa Catarina na wazazi wake wameelezwa kwamba yanaweza kuwa na madhara lakini inabidi wakubaliane kwani...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Mkuki moyoni mwangu – 11
Hali ya Catarina bado ni mbaya na amelazwa katika hospitali ya Saratani ya Ocean Road, Jopo la madaktari wakishirikiana na Dk. Ngamila wamefanya matibabu ya awali ya dawa ya mionzi kuona kama angeweza kupata nafuu lakini haikuwa hivyo, Dk. Ngamila analazimika kuwaita wazazi wake na kuwaeleza majibu ya mtoto wao akiwaeleza kwamba pamoja na matibabu ya awali bado vimelea vya Saratani vilikuwepo kwenye damu.
Ushauri pekee anaowaeleza ni kumpandikizia Catarina Uboho kutoka kwa mtu mwingine hivyo...
9 years ago
Bongo516 Oct
Uongozi wa MDB waweka wazi ‘mkuki wa moyoni’ waliochomwa na Young Dee
10 years ago
Bongo Movies21 Dec
ROSE NDAUKA:Nampenda Mwangu, Yeye Ndio Mchizi Wangu!!
Mrembo na muigizaji wa filamu , Rose Ndauke ambae ni mama wa mtoto mmoja , ameleza kwajinsi gani anavyo mpenda mtoto wake na humfanya awe na furaha wakati wote japokuwa anamlea mtoto peke yake kama “single mother” baada ya kuachana na aliekuwa mchumba wake ambae ndio baba wamtoto huyo.
Akionakana mwenye tabasamu pana akiwa amembeba mtoto wake rose alisema;
“Sasa nikiwa nae nachekaje mpaka jino mwisho nakupenda mwanangu na ndio mchizi wanguuuuu”
Jionee baadhi ya picha hapo juu akiwa maeneo...
10 years ago
Habarileo27 Dec
Polisi achomwa mkuki ubavuni
POLISI wa kituo cha Kinesi wilayani Rorya mkoani Mara, Konstebo Deogratius amejeruhiwa kwa kuchomwa mkuki ubavuni.
10 years ago
TheCitizen28 Mar
SINGLE IN THE CITY: My warrior with shining ‘mkuki’
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-DwiBss_Bb-s/VJ6bfgpCBnI/AAAAAAAAFyE/IL1uMMTZ-So/s72-c/Ernest%2Bmangu%2BIGP(1).jpg)
ASKARI ACHOMWA MKUKI WA UBAVU MARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-DwiBss_Bb-s/VJ6bfgpCBnI/AAAAAAAAFyE/IL1uMMTZ-So/s640/Ernest%2Bmangu%2BIGP(1).jpg)
Na Samson Chacha - MaraAskari polisi Deogratius wa Kituo cha Polisi, Kinesi Wilayani Rorya mkoani Mara, amechomwa mkuki na wananchi waliovamia mgodi wa dhahabu wa ACACIA North Mara kwa lengo la kupora mawe.
Kamanda wa Polisi wa Tarime Rorya, ACP Lazaro Mambo, alisema jana kuwa, askari huyo alijeruhiwa na kundi la watu zaidi ya 2,000 lililovamia kwenye mgodi huo Jumanne ya wiki hii....
10 years ago
Mwananchi14 Apr
Saidi Idd: Nimechomwa mkuki na mama yangu mzazi
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
CCM, mkuki ni kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu?
HIVI karibuni Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilitoa waraka unaojadili mapendekezo ya katiba mpya nje ya Bunge Maalumu la Katiba na kuujadili kwenye vikao vya Umoja wa Wabunge wa CCM (Part...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Zitto atoa ya moyoni
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (CHADEMA), amewaomba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba watakaporejea Agosti 5, wapitishe rasimu ya pili ya katiba kama njia ya kumuenzi mama yake Shida...