Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madaktari waunda masikio toka ubavuni

Kijana wa miaka 9 aliyezaliwa bila maskio apata viungo hivyo baada ya madaktari kuziunda kutoka Ubavuni mwake

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

Madaktari Bingwa wa Moyo toka India , Wanatarijiwa kupambana na ugonjwa wa Moyo wa kuzaliwa kwa Watoto



Na Mwandishi Wetu ,Kutokea kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki. Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.Watoto ...

 

9 years ago

Michuzi

MADAKTARI BINGWA WA MOYO TOKA INDIA, WANATARIJIWA KUPAMBANA NA UGONJWA WA MOYO WA KUZALIWA KWA WATOTO



Na Mwandishi Wetu ,KUTOKEA  kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki.
 Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.
Watoto wenye...

 

10 years ago

Habarileo

Polisi achomwa mkuki ubavuni

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Tarime/Rorya, Lazaro MambosasaPOLISI wa kituo cha Kinesi wilayani Rorya mkoani Mara, Konstebo Deogratius amejeruhiwa kwa kuchomwa mkuki ubavuni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali ifungue masikio

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinaendelea na mikutano ya kujiimarisha mikoani chini ya Operesheni M4C Pamoja Daima, huku hoja kubwa ikiwa ni kuishinikiza serikali kuboresha daftari la kudumu la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Macho, masikio sasa Chalinze

HATIMAYE uchaguzi wa ubunge Jimbo la Kalenga umepita na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia mgombea wake, Godfrey Mgimwa, ameibuka mshindi dhidi ya mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),...

 

10 years ago

Africanjam.Com

UKWELI KUHUSU USIKIVU WA MASIKIO YAKO

Sikio ka kulia hua linasikia vizuri zaidi maongezi mbalimbali na hotuba na sikio la kushoto linasikia zaidi muziki.

 

11 years ago

GPL

UKAWA MSIZIBE MASIKIO; SAUTI ZINAWALILIA

NIANZE safu hii kwa kumshukuru Mungu kwa kutulinda mmoja mmoja na hata taifa letu. Hakika yeye ni mwema. Nikumbushe tu kwamba viongozi wengi wa kisiasa, baadhi ya wananchi, taasisi za kiraia na madhehebu ya dini wanapaza sauti  kuwasihi Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) warejee bungeni. Mwenyekiti wa Ukawa, Freeman Mbowe. Ni wito wa kila mpenda amani kuwataka wajumbe wa kundi hilo kuitikia ombi hilo na kuwaomba waache...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali isizibe masikio changamoto za elimu

Matokeo ya Kidato cha nne yametoka huku wengi wakisema mengi kama ilivyo kawaida. Duniani hakuna jambo jipya lisilo na ngoma. Kila jambo na nyimbo zake. Hivi sasa zipo nyimbo za ufaulu umeshuka, huku wengine wakisema ufaulu umepanda.

 

9 years ago

Michuzi

TIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR

  Dokta Gao Yun Lai akimpima presha na sukari bwana Mohd Ali mkazi wa Kisauni upimaji huo ulifanyika katika kijiji  cha kisauni Zanzibar.   Dokta Fadhil Mohd ambae ni dokta dhamana kanda ya Unguja akitoa maelezo kwa waandishi wa habari hawapo pichani.Wananchi mbalimbali wakipatawa  huduma za matibabu katika kijiji cha Kisauni zanzibar.Picha na Abdalla Omar habari maelezo zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani